Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

hawa england kama watachukua ubingwa huu naamini hata pale qatar wanaweza chukua tena maana kikosi chao bado kibichi mno
halafu hii ndio timu ya kwanza duniani kufuzu kwenda kombe la dunia
 
Nimegundua humu watu wengi wana chuki na England na wala hawashughulishi vichwa vyao kuangalia uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wa England na uzoefu walionao.
Wachezaji wa England wengi ni wachanga kwenye mechi za kimataifa na wapo pale kutengeneza jina na wala sio kuwabeba Fans. Timu toka imechaguliwa mpk inaondoka ilikuwa haipewi nafasi ya kufika hata nusu fainali, waingereza wenyewe waliipa mpk robo fainali lkn vijana wameonesha uwezo na kujituma kwa hali ya juu.
Pressure ambayo wanayo timu ya France na Belgium ni tofauti kabisa na pressure waliyonayo waingereza sababu Belgium alishapewa nafasi kubwa sana ya kufanya vizuri. Wafaransa hawakupewa nafasi kubwa lkn wameandikwa sana kama timu yenye wachezaji vijana wenye vipaji ambao wanahitaji kuunganishwa tu ili wafike mbali.
Mechi ya Croatia na England, wengi mnaipa Croatia nafasi ya kushinda sababu ina Modric pale kati, mnasahau kuwa waingereza ni mabingwa wa mipira mirefu na cross. Hivyo kuipa Croatia nafasi ya kushinda dhidi ya England 'eti' kwa sababu tu kuna majina matatu makubwa mnakuwa hamjitendei haki, matokeo yake England akishinda mnakuja hapa na kusema inacheza na timu rahisi......kwenye kombe la dunia hakuna timu rahisi, kungekua na timu rahisi basi Spain na German wangekuwepo mpk leo
Brilliant analysis! Absolutely spot on. Hongera sana mkuu Mtimti. Umesema vyema ilhali ukiwa objective kwa kuangalia pande zote mbili za shilingi.
 
Dada kumbe nawe mwanamichezo sijawahi kuona pande hizi.

Una Mkeka wako nini? [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaa!! Mie mwanamichezo mama, hapana sina mkeka[emoji85] [emoji85]
 
36776579_1621981294596743_2074567193646858240_n.jpg
 
Ooh. Hivyo we ni team Croatia Dada.

Nitakuwa mwenzio siku hiyo sababu England haijawahi nishawishi kuipenda. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mie Ureno, England sitaki wachukue kombe ndio maana nipo upande wa Croatia.
 
hawa england kama watachukua ubingwa huu naamini hata pale qatar wanaweza chukua tena maana kikosi chao bado kibichi mno
halafu hii ndio timu ya kwanza duniani kufuzu kwenda kombe la dunia
Kuna watoto wamechukua WC under 21...hao ndio utawaona Qatar...akina Solanke
 
Ngoja niangalie FC lupopo vs As Club Vita,..Tp Mazembe Leo anashabikia mpinzani,maana anapoteza ubingwa akishinda As Vita Club
 
Back
Top Bottom