Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Sababu wakoloni wanajisifu sana. Cheki tu UEFA liver ilipata upinzani kila kona.
Pia ule ubishi wa ligi bora duniani nao umechangia,England wamejaza kikosi toka EPL wakati la liga na wengineo (wachezaji wao wengi) wameshatoka world cup zaman
Pia ule ubishi wa ligi bora duniani nao umechangia,England wamejaza kikosi toka EPL wakati la liga na wengineo (wachezaji wao wengi) wameshatoka world cup zaman
England itawashangaza wengi itakapomtoa croatia.
Halafu sielewi kwa nini watu wengi duniani hawaipendi england