Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Jifunze herufi
IMG-20180714-WA0012.jpg
 
Mke wangu wamekubinya pua saluni ulipokwenda kusuka na kutoboa pua? Kwa nini hukusema mapema mama watoto ujue mmeo nimekutolea mahali nyingi?
Acha kuwaza kuolewa wewe. Hako kahereni kako hakatakusaidia kupata mabwana.
 
Paka lipstick kabisa. Hako kahereni sikioni hakatoshi.
Ohoo kumbe mama watoto ukipaka lipstick huwa unavutia naona umeniagiza na hereni zingine nikuletee usijali mke wangu ntakunulia ila usisahau kumnyonyesha mtoto kabla ya kulala.
 
Ohoo kumbe mama watoto ukipaka lipstick huwa unavutia naona umeniagiza na hereni zingine nikuletee usijali mke wangu ntakunulia ila usisahau kumnyonyesha mtoto kabla ya kulala.
Unawaza kunyonyesha tu, ha ha ha. Ubwabwa.
 
Naomba kuuliza wajuvi wa mambo,jumla kuu anayopata mshindi wa nne ni dola kiasi gani tafadhali.
 
Denmark jamani iko undermined ila naitabiria mema mwaka huu..... Yaani winga ya chini unamkuta mzee victor Fischer winga ya juu unamkuta blaki pione sisto hapo kati eriksen na schone mbele kuna kasper dolberg wa ajax....defence ndio kabisaaa tuna christensen wa chelsea na vestergaard wa borussia eeh bhana kwa wanaofuatilia soka hiki kikosi hakina majina ila ni kikali mnoooo..... Hapo msisahau Krohn dehli na kjaer wanapanda na kushuka huku striker mkali kabisa wa RB leipzig yousef poulsen akichokoza defence za maadui...... Patakua hapatoshi kabisa

Dah hatari sana hiki kikosi..... Nlikuwa nawakubali sana croatia ila baada ya kuona wanakumbatia wazee na kutosa vijana wenye vipaji kama Alen halilovic nikajua basi tena hawafiki kokote mwaka huu wamejichanganya wenyewe

Anyway tusubiri mtanange nione hivi vitimu vyangu vitafika wapi
Asee JF kweli maktaba Ziroseventytwo ukwapi unaikumbuka hii post ila sikutegemea wangefika kote huku bila kinda hatari Alen halilovic
 
Leo ndio leo Wazungu Weusi Vs Wazungu Wekundu kazi ipo hapo. Watoto wa Watumwa/Wakimbizi wanapopata nafasi ya kuwadhihirishia Ulimwengu kuwa BINADAMU WOTE NI SAWA uwe mweupe ama Mweusi sote ngoma droooo.
 
Asante Mungu kwa kunifikisha siku ya leo......timu zangu zote zimetolewa tayari, leo natamani niwe neutral lakini kamoyo hakana dogo nakaona kameshaanza kuchagua upande....eeh Mungu nisaidie.
 
Hayaaa hayaaa jmn kumekuchaaa
Masaa tu ndo yamebak

Chaa ajabu npo njia panda
Tim zote nazpenda
 
Asante Mungu kwa kunifikisha siku ya leo......timu zangu zote zimetolewa tayari, leo natamani niwe neutral lakini kamoyo hakana dogo nakaona kameshaanza kuchagua upande....eeh Mungu nisaidie.
Upande upi huo?
 
Leo ndio leo Wazungu Weusi Vs Wazungu Wekundu kazi ipo hapo. Watoto wa Watumwa/Wakimbizi wanapopata nafasi ya kuwadhihirishia Ulimwengu kuwa BINADAMU WOTE NI SAWA uwe mweupe ama Mweusi sote ngoma droooo.
Kuna uwezekano mkubwa France akashinda leo ila Croatia wana uwezo wa kushinda pia.
 
Back
Top Bottom