Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vichaa peke yaoHivi kuna aliyedhani Croatia watapona?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Argentina chini ya King Messi,lazima kombe liende Buenos aires.
Mpira umeisha, France bingwa mpya qa WC after 20yrs[emoji108] [emoji108]Mbapeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
[emoji137] [emoji137]Belgium au France inachukua kombe
[emoji41] [emoji41]Nampenda mfaransa,ila mjerumani akichukua kombe fresh tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chuma the german mashine inanyanyua kwapa tena
[emoji41] [emoji41]Naona Ujerumani akibeba Kombe huko Russia.
Sitaki hoja ni mawazo yangu.
YapShekilango wapi, hapo legho kwa kitimoto ya kuchoma??
Kongole mkuuTimu ya mabingwa Ufaransa
Tumbili aliyekatwa mkia alisema ukweli, siyo!Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.
Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?
Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
Yaani ni kweli tupu, wala sio uongo[emoji23] [emoji23]До свидания от Стадиона Лужники
Who care'$Whether you like it or not, Giroud is a world cup winner! It coes down to history like that!