Russia yafungua maonesho ya silaha za NATO zinazotekwa huko Moscow

Russia yafungua maonesho ya silaha za NATO zinazotekwa huko Moscow

Hakuna jipya Ukraine ilishafanya hiko kitu kitambo tu
Kwani akilifanya Ukraine Urusi haruhusiwi kufanya?
Jipya kwa Urusi kwa sababu wao walikua hawajafanya,Sasa ni zamu Yao.
Na Raha zaidi kwa Urusi kwa sababu a anaonesha silaha za collective west,plus Ukraine,NATO ,G7 na wajumbe wengine.
 
Back
Top Bottom