green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
-
- #21
Wanamtegea mabomuDonald Trump akikabidhiwa ofisi hiizi vita za kiduanzi zitakosa support ,ndio maana wanafos the escalation with all their power ila mwamba akiingia kitengoni akute ngoma ngumu
Zee pumbavu sana lile mara lipasoti ushogaBiden kabakiza miezi 2 ikulu kaona alipize kisasi kwa kuchochea vita kumkomoa Trump.
hakitakuwa kisasi tena, dunia ipo hatarini kuingia ww3
Wale ni Warusi siyo Waizirael wanamwaga ovyo mabomu paka kwenye kambi za wakimbizi wasiyo na chochote cha kuhami.athari zozote, majeruhi, vifo ni vingapi
Hashtuki kaingizwa cha kike afu Kunguru kafunga Ubalozi Kiev kakimbia kwa mwendo wa ngiri mkia juu huku anamwagq kinyesi kwa uwoga wa mashambulizi toka RussiaZelezinky ni Fala. BIDEN YUPO HUKO MBALI anamdanganya tu.Wanaoteseka ni waukrain. January ifike Trump amalize hii vita
Bado kumbe upo tulijihisi uliodoka na maandamano ya kumpinga mtawala wako aise!!! karibu tena, Mrusi ataendelea kuwaonyesha wanavikoba mpaka sasa hawazungumzi lugha moja. Anayetia aibu ni USA utamwambiaje mwanaume mwenzio alipige baunza halafu wewe unakimbilia kutangazia dunia kufunga ubalozi huoni huyu ndiye katia aibu huku mnamwita super power bule kabisa.Makobaz bado mna Imani na Urusi licha ya aibu yote, kweli mna subira.
Unahangaika na hako kajamaa mkuu unapoteza mda wako tu๐ค ๐ค ๐ค ....Kila anachokisapoti huwa kinafeli kwhyo asikuhangaishe akili kabisa....Bado kumbe upo tulijihisi uliodoka na maandamano ya kumpinga mtawala wako aise!!! karibu tena, Mrusi ataendelea kuwaonyesha wanavikoba mpaka sasa hawazungumzi lugha moja. Anayetia aibu ni USA utamwambiaje mwanaume mwenzio alipige baunza halafu wewe unakimbilia kutangazia dunia kufunga ubalozi huoni huyu ndiye katia aibu huku mnamwita super power bule kabisa.
Kimeshamaliza term yake ya urais kipo vitani....sijui kama hata kimetekeleza hata 20% ya alichowaahidi wananchi wake....idara Yao ya vipepeo weusi hapa iliteleza sana kumuacha hyu comedian mpk akawa rais....kuna kazi hazihitaji majaribio hasa ukiwa kwny maeneo Fulani ya kimkakati ya duniaHawa ma Zionist wanajidai wababe sana huyo Zelenskyy na Shetanyahu akili zao zimefanana.
Waukraine ni watu wazuri sana walifanya kosa kumchagua huyo comedian, ana act anavyo ambiwa na US wamemsifu yeye ni Rambo akamini akataka ku act kuliko yule Sylvester Stallone ๐คฃ
Mkuuuu ๐๐๐Hapa sasa saafi sio anapiga kelele ashushe hayo mavyuma mfululizo bwana Putin
Silaha unatengeneza wakati umefika unaogopa tena!!! fyatua vyuma hivyoMkuuuu ๐๐๐
Imani ni kubwa sana kwasababu anazo Nyuklia za kutosha afyatue tu wale upinde wapungue dunianiMakobaz bado mna Imani na Urusi licha ya aibu yote, kweli mna subira.
na kabla ya phase ya v kanisa tutakuwa tumemlaki Bwana mawinguni na kwenda kukaa na Bwana milele. Dunia itapitia dhiki kuu, atakuja antichrist atafanya mambo makubwa sana, ...Hi vita inaingia phase ya pili ambao kila mtu ataonyesha ubabe wake phase lll itakua ya kutimia nuclear ya iv itakus 3rd world war.
Ila kama hii siku ipo kweli natamani ifike. Maana dunia hii imejaa uchafu mwingi sana na dhuluma.na kabla ya phase ya v kanisa tutakuwa tumemlaki Bwana mawinguni na kwenda kukaa na Bwana milele. Dunia itapitia dhiki kuu, atakuja antichrist atafanya mambo makubwa sana, ...
Ila mnapenda vita!๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ๐ท๐บ
Mtoto ka utaka acha apakatwe atulie.
Jeshi la Urusi limeanza kuitwanga Ukraine kwa makombora tiifu ya RS 26 linaloweza kusafiri bara moja hadi Jingine bila kuzuiliwa lenye kasi march 5 ambayo hakuna air defence yoyote ya NATO iliyopo Ukraine inaweza ku puch.
๐ท๐บ"RUSSIA โFIRES INTERCONTINENTAL BALLISTIC MISSILEโ AT UKRAINE"
The missile, which has never been used in combat before, was launched from Astrakhan and targeted critical infrastructure in the central Ukrainian city of Dnipro.
The RS-26 Rubezh, which can carry both conventional and nuclear warheads, has not been used in combat before, according to Western missile experts.
It is said to fly at five times the speed of sound, making it harder for Kyivโs US-supplied Patriot missile systems to shoot down.
The US and the UK have allowed Ukraine to use Atacms and Storm Shadow missiles against targets in Russia.
This is Russia's retaliation and warning.
Source: Telegraph
ipo boss wangu, Nakuhakikishia. ni swala la muda tu.Ila kama hii siku ipo kweli natamani ifike. Maana dunia hii imejaa uchafu mwingi sana na dhuluma.
km ukraine angeruhusiw kupiga ndani ya Urus bas mpk ss Putin angekuwa mafichoni , muda utaongea zaidHi vita inaingia phase ya pili ambao kila mtu ataonyesha ubabe wake phase lll itakua ya kutimia nuclear ya iv itakus 3rd world war.
ukivamiwa unafanyaj ww km kiongoz ?Zelezinky ni Fala. BIDEN YUPO HUKO MBALI anamdanganya tu.Wanaoteseka ni waukrain. January ifike Trump amalize hii vita