YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Russia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine
Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma
Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine
Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine
Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao
Source:vyombo vya habari vya Slovakia
Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma
Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine
Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine
Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao
Source:vyombo vya habari vya Slovakia