Tetesi: Russia yasimasmisha mashambuliza Mariupol kiwanda cha chuma Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma

Tetesi: Russia yasimasmisha mashambuliza Mariupol kiwanda cha chuma Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Russia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine

Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma

Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine

Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine

Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao

Source:vyombo vya habari vya Slovakia
 
Russia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine

Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma

Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine

Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine

Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao

Source:vyombo vya habari vya Slovakia
Hehehe jamaa unahangaika sana.......kwa taarifa yako wanajeshi wa Ukraine waliojificha kwenye hiko kiwanda wapo hai hadi sasa sababu ya huruma ya Putin.......majenerali walitaka wamalize kazi mapema wawafyekelee mbali aliewazuia ni Putin
Screenshot_20220423-170038_Samsung Internet.jpg
 
Zelensky alikua tayari kuwaachia mateka ya vita ya Urusi ili Askari wanaoishi kwenye mahandaki ndani ya kiwanda cha chuma watoke salama.
Putin akiua askari wa UKRAINE na yeye zenensky awachinja hao wanazi walioshikwa màteka.Kama. Mbuai iwe mbuai🤔
 
Russia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine

Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma

Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine

Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine

Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao

Source:vyombo vya habari vya Slovakia
We jamaa kwamba sisi hatufatilii au?
 
Russia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine

Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma

Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine

Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine

Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao

Source:vyombo vya habari vya Slovakia
Hao SII wakuaminiwa kwani nao ni mateka wa mabeberu wa ulaya na America
 
Russia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine

Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma

Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine

Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine

Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao

Source:vyombo vya habari vya Slovakia
🤣🤣🤣 Hamchoki tu na uongo wenu....
Put in kaput in kweli
 
Back
Top Bottom