Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Lete huo ushahidiMimi shahidi, Mtumishi mwanzoni uliisifia Sana Nato, lakini kwa ustadi wa hali ya juu umeweza kuruka "mstari mwekundu" na kuhamia Urusi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete huo ushahidiMimi shahidi, Mtumishi mwanzoni uliisifia Sana Nato, lakini kwa ustadi wa hali ya juu umeweza kuruka "mstari mwekundu" na kuhamia Urusi!!
Wa ukraine wa buza hao🤣🤣🤣 Hamchoki tu na uongo wenu....
Put in kaput in kweli
Huyo mmarekani wa buza huyo unatarajia akupe taarifa inayoegemea upande wa mrusi"Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao"
ok, ngoja tusubiri.
🤣🤣🤣 Wanajipa matumainiWa ukraine wa buza hao
Unajiabisha mkuu....
wanajiita strong woman,ku contro kichwa cha mwanalumumba praises team wa maraika mkuu sio kazi ndogo.mihemko kama yote huyu mwamba inshort hajielewiWanawake kiukweli mna pepo yenu spesho Mbinguni kwa jinsi mlivyokuwa na ubinadamu na utu.yani chizi kama huyu unakubali kuolewa nae na kumzalia mtoto ili aitwe baba mtaani.kiukweli mna huruma sana na kila kiumbe hapa duniani.
Kumbe source ni Slovakia? EU member?Russia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine
Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma
Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine
Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine
Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao
Source:vyombo vya habari vya Slovakia
Nikishaona tu hiyo RT ninakosa kabisa hamu ya kusoma kwa sababu Russia hamna vyombo vya habari vyote ni vya Putin tu, havina tofauti na hivi vya kwetu.Hehehe jamaa unahangaika sana.......kwa taarifa yako wanajeshi wa Ukraine waliojificha kwenye hiko kiwanda wapo hai hadi sasa sababu ya huruma ya Putin.......majenerali walitaka wamalize kazi mapema wawafyekelee mbali aliewazuia ni PutinView attachment 2197746
Kwa sasa amini tu upande unaotaka hushikiwi mtutu hata wengine tukiona ni cnn au bbc tunapita tu tunajua ni matango pori ya wamagharibi......maisha murua kabisa..........hapa ni RT na Sputnik baaaasNikishaona tu hiyo RT ninakosa kabisa hamu ya kusoma kwa sababu Russia hamna vyombo vya habari vyote ni vya Putin tu, havina tofauti na hivi vya kwetu.
Vyombo huru vya habari viko magharibi ambako hadi rais anazira lkn hana namna halafu ndio mtu anatuletea habari za RT utafikiri umetoroka kutoka Mirembe.
Magharibi wakitangaza kuwa mrusi kateka mariupol mbona mnaamini au wakitangaza mazingira kiwanda mbona mnaaminiKwa sasa amini tu upande unaotaka hushikiwi mtutu hata wengine tukiona ni cnn au bbc tunapita tu tunajua ni matango pori ya wamagharibi......maisha murua kabisa..........hapa ni RT na Sputnik baaaas
Dunia ni maslahi tu blaza.........mbona weye unaletaga hizo ngonjera zako za kutunga na maisha yanaendaMagharibi wakitangaza kuwa mrusi kateka mariupol mbona mnaamini au wakitangaza mazingira kiwanda mbona mnaamini
Mfano vyombo vyote vya Urusi havionekani duniani ikiwemo TanzaniaDunia ni maslahi tu blaza.........mbona weye unaletaga hizo ngonjera zako za kutunga na maisha yanaenda
Wewe unazo ndo maana kila siku unahangaika na hizo taarabu zako.......hata ukitoa povu kama mtu anachezea kichapo anachezea tu povu lako halibadili kitu chochoteKwa hiyo unaamini vyombo vya Magharibi kama CNN, BBC nk vikitangaza Ukraine inapigwa?
Ila vikisema Russia anapigwa ni propaganda za vyombo vya Magharibi wewe akili huna
Utakufa[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kihoro we nyumbu ona unavohangaika utafkiri kuku wa mdondoRussia yasimasmisha mashambulizi Mariupol kiwanda cha chuma kilichoko Ukraine
Moscow magenerali wataka vita iishe warudi Putin Agoma
Kiwanda hicho kinamilikiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa Jeshi la Russia kupitia proxies wao walioko Ukraine
Putin anataka kishambuliwe kupiga Askari wa Ukraine walioko kiwandani. Magenerali wamegoma Wanataka na vita yenyewe iishe majeshi ya Urusi yaondoke Ukraine
Taarifa kamili kutolewa baada ya masaa nane toka sasa sababu wako kwenye vikao
Source:vyombo vya habari vya Slovakia
Piga Gaykrania haoSLAVA UKRAINI SLAVA UKRAINI SLAVA UKRAINI SLAVA UKRAINI [emoji1] [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2197738
nikithibitisha tukufanye nini!?chagua mwenyewe!!Lete huo ushahidi
Baada ya kujimega inapaswa kuitwa Gaikrania bila shaka [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] nalog offPiga Gaykrania hao
Slava Russiye
Z