green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Afu kuna mabwege wajukuu wa mkosa nyumba wanasema Russia hana lolote ๐๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ
Jeshi la Russia limetungua makombora 13 ya Israel yaliyolenga mji wa Tartus ilipo Naval Base ya Russia
๐ฎ๐ฑ๐ธ๐พ๐ท๐บ Russia shoots down Israeli missiles?
Israel launched missiles to attack targets in the Syrian city of Tartus, where a Russian naval base is located.
As a result, all 13 Israeli missiles were shot down by Russian air defense.
This is reported by Russians from the scene.
Kama Putin hajawapa silaha Hizbollah sijui!!๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ
Jeshi la Russia limetungua makombora 13 ya Israel yaliyolenga mji wa Tartus ilipo Naval Base ya Russia
๐ฎ๐ฑ๐ธ๐พ๐ท๐บ Russia shoots down Israeli missiles?
Israel launched missiles to attack targets in the Syrian city of Tartus, where a Russian naval base is located.
As a result, all 13 Israeli missiles were shot down by Russian air defense.
This is reported by Russians from the scene.
Wasio na lolote ni zile nchi zilizoamua kumfuata Mhamad peke yake nazo utazikuta Uwarabuni tu na watu wake ni waarabuAfu kuna mabwege wajukuu wa mkosa nyumba wanasema Russia hana lolote ๐
Syria inapewa usaidizi wa kiusalama na Russia.Duh kumbe wote wanasaidiwa? Sasa mbona huwa wanasema Myaudi bila Mmarekani sio lolote?
Taifa lako choka mbaya unaweza kulifananisha na Dubai au Qatar!??Wasio na lolote ni zile nchi zilizoamua kumfuata Mhamad peke yake nazo utazikuta Uwarabuni tu na watu wake ni waarabu
Mkuu, hapa umenigonga nyundo ya uso, kiukweli taifa langu mi na wewe ni choka mbaya, sema tulishaamua kuwa mashabiki wa nchi zisizo zetu ๐๐Taifa lako choka mbaya unaweza kulifananisha na Dubai au Qatar!??
Kuna takataka yeyote hapa Afrika inayoweza kushindana na Kuwait kwa utajiri wa raia mmoja mmoja???
๐๐๐๐๐๐๐Mkuu, hapa umenigonga nyundo ya uso, kiukweli taifa langu mi na wewe ni choka mbaya, sema tulishaamua kuwa mashabiki wa nchi zisizo zetu ๐๐
Mkuu, hapa umenigonga nyundo ya uso, kiukweli taifa langu mi na wewe ni choka mbaya, sema tulishaamua kuwa mashabiki wa nchi zisizo zetu
Kwan blaza nawewe ni mwarabu? Unakaa DOHA mtaa gani? Kha!!! Usikute wewe ni mmakonde wa NANYAMBA unakula ugali na samaki NCHANGA POLE SANA au ile adhana ya asubuhi huwa inakuchanganya?Taifa lako choka mbaya unaweza kulifananisha na Dubai au Qatar!??
Kuna takataka yeyote hapa Afrika inayoweza kushindana na Kuwait kwa utajiri wa raia mmoja mmoja???
Huyu nipo naye uyole tunalima maparachichiKwan blaza nawewe ni mwarabu? Unakaa DOHA mtaa gani? Kha!!! Usikute wewe ni mmakonde wa NANYAMBA unakula ugali na samaki NCHANGA POLE SANA au ile adhana ya asubuhi huwa inakuchanganya?
Russia ni mshirika kiusalama na Syria toka kipindi cha baba yake na huyu Assad, na walisaini makubaliano.Syria inapewa usaidizi wa kiusalama na Russia.
Tangu 2013 wapo hapo,na Russia yupo hapo kutunishiana misuli na USA.
Au hujui kama USA yupo Syria!??
JAPANESE UNCENSORED๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ
Jeshi la Russia limetungua makombora 13 ya Israel yaliyolenga mji wa Tartus ilipo Naval Base ya Russia
๐ฎ๐ฑ๐ธ๐พ๐ท๐บ Russia shoots down Israeli missiles?
Israel launched missiles to attack targets in the Syrian city of Tartus, where a Russian naval base is located.
As a result, all 13 Israeli missiles were shot down by Russian air defense.
This is reported by Russians from the scene.
Na wewe ukiwemo.Taifa lako choka mbaya unaweza kulifananisha na Dubai au Qatar!??
Kuna takataka yeyote hapa Afrika inayoweza kushindana na Kuwait kwa utajiri wa raia mmoja mmoja???
Ila jamaa ni mstarabu sana, ni mwislamu aliyeokoka ๐๐Kwan blaza nawewe ni mwarabu? Unakaa DOHA mtaa gani? Kha!!! Usikute wewe ni mmakonde wa NANYAMBA unakula ugali na samaki NCHANGA POLE SANA au ile adhana ya asubuhi huwa inakuchanganya?
Msikiti Tv...๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ
Jeshi la Russia limetungua makombora 13 ya Israel yaliyolenga mji wa Tartus ilipo Naval Base ya Russia
๐ฎ๐ฑ๐ธ๐พ๐ท๐บ Russia shoots down Israeli missiles?
Israel launched missiles to attack targets in the Syrian city of Tartus, where a Russian naval base is located.
As a result, all 13 Israeli missiles were shot down by Russian air defense.
This is reported by Russians from the scene.
Kwa Hezbollah nahisi inaweza kuwa ngumu,maybe awape Iran ,then Iran awape HezbullahKama Putin hajawapa silaha Hizbollah sijui!!
Huyu mzayuni anajichanganya sana aiseee.