Nengla ndangla ndani ya tumbo eeeTemolo etejolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nengla ndangla ndani ya tumbo eeeTemolo etejolo
Sempede zedesiso matulebe ngaboNengla ndangla ndani ya tumbo eee
Sempede zedesiso matulebe ngabo
Huwa nawaambia watu Mwamerika ni kiumbe hatari wao hawaelewiKama hii habari ni ya kweli basi intelligence ya Marekani inatisha
Taarifa zinasema wanazidi kusonga mbele katika miji mingine ya Krasnodar na Volgograd bila resistance kubwa !Hili swala la Wagner sijui likoje, ila watu wanajifunza zaidi huwezi tumia vikundi na ukawapa silaha ukategemea hawatakugeuka
Ndiyo maana wajomba walikua wanalalamika kunyimwa silaha.. kumbe walikua na lengo lao huenda walikua wanapewa silaha wanapeleka getoKatika muendelezo wa kinachoonekana ni uasi kwa serikali ya Urusi Wagner group wanaripotiwa kutekea na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mji wa Rostov. Misururu ya wapiganaji wa Wagner katika maeneo mbalimbali inazidi kuoenkea ndani ya Urusi, kwa sasa wapo Voronezh na kuna taarifa wanataka kuelekea Moscow.
Katika upande mwingine, vyombo vya Usalama vya Urusi vimevamia makao makuu ya Wagner huko St. Petersburg.
Prigozhin alikutana na manaibu wa waziri wa Ulinzi na GRU akiwasilisha madai yake ya kukabidhiwa Waziri wa Ulinzi, Shoigu na mkuu wa majeshi, Gerasimov ili Wagner wasitishe operation yao ndani ya Urusi.
Helicopter kadha zimeshambuliwa na kuangushwa maeneo mbalimbali ndani ya Urusi ila hazijajulikana ni za upande gani. Kuna video nyingi pia zilizogaa zikidaiwa na Wagner ni jeshi la Urusi linashambulia kambi za Wagner ndani ya Ukraine na misafara yake ya wapiganaji ndani ya Urusi.
Putin anatarajiwa kutoa kauli muda mfupi ujao kuhusu hali inavyoendelea ndani ya Urusi. Utawala wa Biden umetoa taarifa unafuatilia kwa karibu yanayoendelea ndani ya Urusi.
---
Rais Vladimir Putin amemtuhumu Mmiliki wa Jeshi Binafsi la Wagner, Yevgeny Prigozhin, juu ya jaribio la mapinduzi dhidi ya Majeshi ya Urusi baada ya Wagner kudai Serikali inahusika na mauaji ya Wapiganaji wa Wagner
Kwa mujibu wa ABCNews, Rais Putin amejulishwa rasmi kuwa Vikosi vya Wagner vimetangaza kuuteka Mji wa Rostov-on-Don pamoja na kushikilia kambi zote za Majeshi ya Urusi zilizopo eneo hilo
Kupitia taarifa ya Video, Prigozhin amekaririwa akiitaka Ikulu ya Urusi (Kremlin) kumkabidhi kwake Mkuu wa Vikosi vya Kijeshi vya Urusi vinginevyo wataingia Jijini #Moscow na kufanya mashambulizi kwa yeyote anayewaingilia
Ikumbukwe Russia na Wagner Group walikuwa na makubaliano ya ushirika katika Vita dhidi ya Ukraine ambapo Wagner walikuwa msaada mkubwa kwa Serikali ya Rais Putin tangu kuanza kwa Vita hiyo.
Mh huendaSio dili hili la Putin kujiondoa Ukraine
😂😂😂Ndiyo maana wajomba walikua wanalalamika kunyimwa silaha.. kumbe walikua na lengo lao huenda walikua wanapewa silaha wanapeleka geto
Nato na wagner urafiki unanukiaNa naona nato watatafuta namna za kuwaunga mkono wagner
Wanajeshi wanaunga mkono Wagner ili vita iishe UkraineTaarifa zinasema wanazidi kusonga mbele katika miji mingine ya Krasnodar na Volgograd bila resistance kubwa !
Putin anatafuta dirisha la kutokea tu. Kipigo huko Ukraine kinaanza kumwelemea; na bado, atakaoma sana mwaka huu.Sio dili hili la Putin kujiondoa Ukraine