Russia yavurugana na Wagner Group, waanza kutuhumiana kwa Uasi

Murusi wa Mbutu Kigamboni anaendekea kuishiwa pumzi haamini masikio na macho yske....shwain Nyerere
 
Nchi utavurugika Ile, ht km hili litapita madhara yake yataishi mda mrefu na yatakuwa na madhara sana kwa stability ya nchi
 
Wanajeshi wa Chechnya wa Kadyrov wamejiunga na jeshi la nchi kupambana na Wagner

Kadyrov mr showoff, since hii vita imeanza ni side mbili tu zimekuwa realy commited RF na wagner only
 
Urusi tuliwa over rate! Wameshindwa kupigana objectively na kuishia kupigana vita isiyo na mwisho ambayo inawateketeza.

Wangetafuta exit way then wapige propaganda waachane na vita.

Wakiondoka Ukraine wataipa nafasi NATO kujitanua zaidi na kuwa tishio kwa usalama wao.
Hawana option nyingine zaidi ya kuendelea na mapambano
 
Nasikia askari wa mamluki katika vita ya Urusi na Ukraine wakiitwa Wagner. Hawa ni watu gani hasa na motive yao ni nini katika vita hii?
 
Hicho kikundi kitajuta kuundwa, russia atakifyagilia mbali hakina utii ni waasi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…