GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,796
- 4,497
Wakuu heshima mbele!
Leo katika mdahalo Wa kisiasa kupitia STAR TV, uliokwenda kwa mada ya "kumbukumbu miaka 49 mapinduzi ya Zanzibar"; katika kupangua hoja zilizotolewa na wachangiaji wengine, kuwa japo umri Wa Uhuru (miaka 50) wetu ni robo ya umri Wa Uhuru Wa marekani (miaka 200),Lakini bado tupo gizani kiuchumi. huyu Bwana (Mwana ccm mkongwe, Rutalaka) amesisitiza kuwa uchumi Wa Tanzania sasa ni robo ya uchumi Wa marekani.
Sasa wakuu wenye idea na mambo ya uchumi kimataifa watujuze undani Wa hii hoja! Nawasilisha.
Leo katika mdahalo Wa kisiasa kupitia STAR TV, uliokwenda kwa mada ya "kumbukumbu miaka 49 mapinduzi ya Zanzibar"; katika kupangua hoja zilizotolewa na wachangiaji wengine, kuwa japo umri Wa Uhuru (miaka 50) wetu ni robo ya umri Wa Uhuru Wa marekani (miaka 200),Lakini bado tupo gizani kiuchumi. huyu Bwana (Mwana ccm mkongwe, Rutalaka) amesisitiza kuwa uchumi Wa Tanzania sasa ni robo ya uchumi Wa marekani.
Sasa wakuu wenye idea na mambo ya uchumi kimataifa watujuze undani Wa hii hoja! Nawasilisha.