Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
-
- #41
mkuu hizo baraka nilizokuorodheshea bado unahisi ni laana!!Unazipimaje baraka hizo, yaani pamoja na izo laana jamaa kaorodhesha still unaamin ktk kubarikiwa kwa hao wabantu?
Luto anatokea kabila la kalenjini ambalo ni nilotic kama makabila ya sudani kusini , wajaluo, wamasai haya yote si makabila ya kubantusasa unanichanganya, umeandika Ruto, Museveni na Kagame wana conspire dhidi ya Wabantu, nikakuuliza kwa nini Museveni awe dhidi ya Wabantu wakati na yeye ni Mbantu? Ungeandika Ruto au Raila ningeweza kuelewa kwa maana wao siyo Wabantu …
Ndio maana mkuu nikakwambia ukiwa hujui uwe mpole sio kujifanya mjuaji!!
Wabantu ni watu wanaoongea lugha ya kibantu (nadhani hivi ndivo unavofahamu)
Lakin pia wabantu wanashare genetic ya bantoid
hivo kusema wabantu waliitwa wabantu kwasababu licha ya kua wanatofautiana makabila lakini kuna similarity ya lugha zao kuashiria kwamba yamkini mwanzo ilikua lugha moja.
Pia wabantu wana share genetic similarities inayosuggest walikua na original moja.
hivo
msomali akiongea kiswahili hakimfanyi kua mbantu ila anakua anaongea bantu language
Ww ukiongea kiarabu hakikufanyi uwe muarabu genetically ingawa utakua unaongea lugha ya kiarabu.
sijui umeelewa.
Ndivo ilivo kenya au tanzania au rwanda
Watusi ni cushites walioadapt kihutu ambacho baadae ndio kilikuja kuitwa kinyarwanda
Huzijui nchi za Afrika Mashariki?East africa ukimaanisha nchi gan
Luto anatokea kabila la kalenjini ambalo ni nilotic kama makabila ya sudani kusini , wajaluo, wamasai haya yote si makabila ya kubantu
We jamaa hufahamu vingi hivo itakua ngumu kukuelekeza ukaelewa ,,,,mifano yako bado haijibu maswali, msomali akiongea kiswahili sitamuita Mbantu kwa maana Kisomali kipo sasa swali langu kwako ni basic hiyo lugha ya wanyarwanda ilienda wapi? what happened mpaka lugha yao ife na wao ku adapt kibantu? katika languages ambazo ni extint sijawahi kusikia kwamba kinyarwanda ni mojawapo …
sasa mbona sehemu nyingine huelewi😂😂😂sawa kabisa 100%, Ruto au Raila siyo Wabantu …
hata somalia ethiopia djibout ni East africa na hazina wabantu au wapo 0.1%Huzijui nchi za Afrika Mashariki?
yeah sure viongozi wengi wa Africa ni wana tamaa, Wanafiki na sio wazalendo they are easily gullible pia tumeshindwa ku unite wakati wote sisi ma negro ila ndo we hate each other mpaka tunauana kisa mali look at what happens in Congo, SA,Haiti Etc so sadHuwa natamani wakoloni warudi yaani, maana wabantu, waliosoma hadi viongozi ni zero in leadership tumeshindwa kujitawala, kila sehemu afrika ni matatizo makubwa.
yeah sure viongozi wengi wa Africa ni wana tamaa na sio wazalendo they are easily gullible pia tumeshindwa ku unite wakati wote sisi ma negro ila ndo we hate each other mpaka tunauana kias mali look at Congo, SAHuwa natamani wakoloni warudi yaani, maana wabantu, waliosoma hadi viongozi ni zero in leadership tumeshindwa kujitawala, kila sehemu afrika ni matatizo makubwa.
Hatari mkuu,,yeah sure viongozi wengi wa Africa ni wana tamaa na sio wazalendo they are easily gullible pia tumeshindwa ku unite wakati wote sisi ma negro ila ndo we hate each other mpaka tunauana kias mali look at Congo, SA
Hata wazungu naoa wangekua masikini wangegawanywa!!yeah sure viongozi wengi wa Africa ni wana tamaa, Wanafiki na sio wazalendo they are easily gullible pia tumeshindwa ku unite wakati wote sisi ma negro ila ndo we hate each other mpaka tunauana kisa mali look at what happens in Congo, SA,Haiti Etc so sad
Wabantu ni watu wa hovyo Duniani, ukiona Binadamu wana Pua pana, Nywele ngumu na Lips pana basi wanakuwa na akili za hovyo
Wanakuwa Hawapendani, Wanarogana, Wanaoneana wivu yaani bora akuue kuliko uendelee kumzidi na hawana Umoja
Tizama wasio wabantu wanavyopendana hata kama si Matajiri lakini wana Umoja, Tazama Wasomali, Wamasai, Wahindi, Waarabu n.k
Mabantu ni Mabantu tu
Ni kweli richa ya kwamba wengine wana umoja lakini ndio kwanza wamekua wakimbizi kwene nchi nyingineUmoja wa wasomali na wamasai unewafikisha wapi? Mbona wapo nyuma sana kuliko wabantu.
Umewezaje kuzitumia baraka hizo kwa ajili ya kuendeleza vizazi vyako?mkuu hizo baraka nilizokuorodheshea bado unahisi ni laana!!
Ardhi kubwa ambayo wageni wanaililia
Madini
maziwa na mito ( hamna ukame sehemu mkubwa wanayoishi)
mafuta
wanyama pori
haya ebu niambie sehemu gan duniani imebarikiwa ya hivo
Hapo sasa ndipo inahitaj utashi na akili!!Umewezaje kuzitumia baraka hizo kwa ajili ya kuendeleza vizazi vyako?
self hatewatu weusi wamelaanika
mkuu uko 50% 50%waafrika watu weusi sote tuna matatizo. tofauti baina yetu ni kwamba kuna wenye unafuu unafuu. kwangu wabantu wako juu kuliko cushites na nilotics. angazia Nigeria wabantu yoruba na igbo mfano mzuri wa jamii za kibantu.