Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema siasa zikome inamaanisha na wanasiasa wakome. Rais mwenyewe ni kiongozi wa kisiasa. Shughuli za siasa haimaanishi mikutano pekee yake.Ni kweli hajapiga marufuku lakini mtazamo wake ndo unaoendana na Magufuli. Mtazamo wa kwamba kuna wakati wa siasa na wakati wa kazi. Na kwamba wakati siasa ukiisha siasa inatakiwa zikome ili waliochaguliwa wafanye kazi.
Ndugu yangu, nadhani kuna kitu hakipo sawa upande wako. Ina maana huelewi kama Mh. Mbowe ni kiongozi mkuu wa kitaifa wa CHADEMA, na eneo lake la kazi ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Uliskia alitaka kufanya mkutano Dar kama mbunge wa Hai? Panua uelewa wako.Ndiyo bado tupo tunaojiuliza Mh Mbowe kama mbunge kwanini alishindwa kufanya mikutano katika jimbo lake, ambako kuna wananchi wake waliomchagua ila akawa anang'ang'ana na Dar? Je! Hakukuwa na haja ya kuwasikiliza wananchi wake? Wapiga kura wake hawakuwa na changamoto zozote?
Panua uelewa wako.Sababu ulizoweka hapa hazijitoshelezi kueleza kwanini katika jimbo lake hakutaka kufanya mikutano na wananchi wake waliomchagua! Labda uniambie wapigakura wake hawakuitaji mikutano cos walishajutosheleza na hawakuwa na changamoto zozote
May be ila kitendo chawewe pia kutojali mahitaji ya wapiga kura wake wa Hai kinatia warakini maana wao ndiyo waliokampa dhamana yakwenda huko Bungeni.Ndugu yangu, nadhani kuna kitu hakipo sawa upande wako. Ina maana huelewi kama Mh. Mbowe ni kiongozi mkuu wa kitaifa wa CHADEMA, na eneo lake la kazi ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Uliskia alitaka kufanya mkutano Dar kama mbunge wa Hai? Panua uelewa wako.
RUTO kaiba UCHAGUZI..Uliwahi kuisikia kashfa ya goldenberg?
Kaiba vipi? Kwa tume ile na mahakama yao angewezaje kuiba!RUTO kaiba UCHAGUZI..
Nimelazimika kuweka hizi Paragraph chache ili wale Chadema wanasema wanaiga mambo ya demokrasia ya Kenya...kwamba waige na hii....Kutoka tovuti ya Nation:
![]()
Kenya has only one President and it is me, William Ruto tells Raila Odinga
President says he will not be sucked into politics, noting that he is focused on fixing the economy.nation.africa
Huku kwetu bahati mbaya busara hii ya kutenga muda wa siasa na muda wa kazi imeonekana haina maana. Kampeni zisizokwisha zinaungwa mkono sasa.
View attachment 2497913
So 🤷Kutoka tovuti ya Nation:
![]()
Kenya has only one President and it is me, William Ruto tells Raila Odinga
President says he will not be sucked into politics, noting that he is focused on fixing the economy.nation.africa
Huku kwetu bahati mbaya busara hii ya kutenga muda wa siasa na muda wa kazi imeonekana haina maana. Kampeni zisizokwisha zinaungwa mkono sasa.
View attachment 2497913
Ndivyo katiba inavyosema !?! Au ni katiba ya mzirankende inavyosema !!!?? Je vyama visivyo na wabunge na madiwani vitafanyeje mikutano yake??! Yaani mambo mengine ni ushamba na ulimbukeni wa kimadaraka tu . .. katiba inasema hv lkn kwakuwa amepakia makasi kichwani yy anakuja na Sheria za kikamasi kamasiKuna kitu bado najiuliza!
2016 ni kweli Rais Magufuli aliweka zuio la kufanya mikutano ya siasa kiholela! Kwa maana kila mbunge afanye kwenye eneo lake la utawala sio nje ya eneo lake, ila sasa ilikuwaje mtu kama Mh Mbowe asifanye ata mikutano mi10 tu pae Hai kwenye jimbo lake ila mwisho wa siku ndani ya miaka 5 alifanya mikutano miwili tu ila akawa anataka kuja Dar kufanya mikutano ya kisiasa?
Kwanini Dar na sio Hai? Mbona Msigwa alifanya sana mikutano katika jimbo lake?
Hiyo mliyokapewa mlifanya? Si mlikumbia kwenye majimbo yenu kutwa mko Dar ndo mnawahamasisha waandamane!Ndivyo katiba inavyosema !?! Au ni katiba ya mzirankende inavyosema !!!?? Je vyama visivyo na wabunge na madiwani vitafanyeje mikutano yake??! Yaani mambo mengine ni ushamba na ulimbukeni wa kimadaraka tu . .. katiba inasema hv lkn kwakuwa amepakia makasi kichwani yy anakuja na Sheria za kikamasi kamasi
Katiba unaijua, au unasimuliwa tu?Ndivyo katiba inavyosema !?! Au ni katiba ya mzirankende inavyosema !!!?? Je vyama visivyo na wabunge na madiwani vitafanyeje mikutano yake??! Yaani mambo mengine ni ushamba na ulimbukeni wa kimadaraka tu . .. katiba inasema hv lkn kwakuwa amepakia makasi kichwani yy anakuja na Sheria za kikamasi kamasi
Magufuli hakuwahi kuwa na Busara yoyoteKutoka tovuti ya Nation:
![]()
Kenya has only one President and it is me, William Ruto tells Raila Odinga
President says he will not be sucked into politics, noting that he is focused on fixing the economy.nation.africa
Huku kwetu bahati mbaya busara hii ya kutenga muda wa siasa na muda wa kazi imeonekana haina maana. Kampeni zisizokwisha zinaungwa mkono sasa.
View attachment 2497913
Je hayo maneno ya Ruto ni ya busara au si ya busara?Magufuli hakuwahi kuwa na Busara yoyote
hatujui ila kuhusu Magufuli kuwa na busara ni uongoJe hayo maneno ya Ruto ni ya busara au si ya busara?
On the contrary Magufuli was a mentally deranged person. Mwaka 2015 TISS walifanya kazi yao vizuri ila Waziri wa Utawala Bora Chikawe alificha faili linaloonyesha kuwa Magufuli alikuwa na kichaa, hakulifikisha Kamati Kuu ya CCM. Na zawadi ya Chikawe ilikuwa ni kupewa UbaloziMagufuli hakuwahi kuwa na Busara yoyote