Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto anaongoza katika kura za maoni Kenya dhidi ya mpinzani wake mkubwa Raila Odinga Katika kinyanganyiro cha kugombea nafasi ya urais utakaofanyika mwezi Agosti mwaka huu.
Ruto mpaka ikulu⚡
Na ujue hustlers wanaoanza maisha hawakuwagi online,wenye washa hustle ndio wako online,hiyo kura ya maoni ni ya online hustlers,ngoja sasa uchaguzi
Ruto 70%🔥🔥
Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga ametangaza kwamba atagombea urais katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo mwaka wa 2022. Alitoa tangazo hilo katika kongamano la Azimio la Umoja siku ya Ijumaa. "Ninatangaza kwamba ninakubali kujiwasilisha kama mgombeaji urais," Raila alisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.