Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huwa hajui hata anafanya niniHapo safi sana!! Uku kila siku ni kuteua na kutengua TU. Tangu CHURA kaingia kwa mbeleko magogoni.
KAZI ni kipimo cha UTU
HawajitambuiGraduates wa hapa nyumbani tunakunywa nao Kahawa Vijiweni na wengi wameamua kuwa Chawa.
True.Watu wengi kwenda ngambo kufanya kazi ni faida kubwa mno kwa taifa husika, return ya foreign inakuwa kubwa kweli, pia elewa aondokapo mtu mmoja mara nyingi husaidia watu wasiopungua watano (5).
Ukija bongo taratibu ya kutoka nje ya nchi ni kama adhabu vile, from kupata passport moaka uwanja wa ndege, yaani ni maudhi.Hongera ruto!
Sahihi kabisaWatu wengi kwenda ngambo kufanya kazi ni faida kubwa mno kwa taifa husika, return ya foreign inakuwa kubwa kweli, pia elewa aondokapo mtu mmoja mara nyingi husaidia watu wasiopungua watano (5).
Hii Serikali haijali.Hawajitambui
Kwa lipi? Kucheza na akili za wajinga?Kiongozi wa kuigwa
Kenya wana uraia pacha, hivyo mKenya anaweza kwenda Uingereza akachukua uraia wa huko na kufanya kazi kama mwingereza bila tatizo. Wewe mmatumbi nchi yako inaogopa uraia pacha itayaweza hayo?Kiongozi wa kuigwa
Lissu ndio mdudu gani?HILI WAZO LISSU ALICHUKUWE MAPEMA SANA ILI KU WIN YOUNG POPULATION AMBAO NDIO 70%,YA WAPIGA KURA.
Hakuna anaeondoka kwa kupata kazi nje akaondoka kwa nauli yake.Wakiondoka wengi ndivyo watakavyo iingizia Kenya mapato mengi zaidi.
Sifahamu vijana wa siku hizi kwa nini mnakuwa wajinga kiasi hicho?HILI WAZO LISSU ALICHUKUWE MAPEMA SANA ILI KU WIN YOUNG POPULATION AMBAO NDIO 70%,YA WAPIGA KURA.
Gen Z wa kwetu bado wanabishania Simba na Yanga na ana jezi nzuri. Ndiyo maana serikali inaving'ang'ania hivi vilabu vya Kariakoo.Gen z wa tanzania laiti wangejua kwamba nguvu ya umma ndio kiboko ya hivi viserikali vinavyoteka watu wangeliamsha dude. Huyo ruto katepweta kwasababu ya Gen z .
Uko sahihi. Watanzania wanadhani kujikomba kwa rais na kumsifu ndiko kutamfanya rais aongoze vizuri. Kuna ule mkasa wa wafanyabisha wa kituo cha daladala pale mawasiliano walioambiwa na mkuu wa mkoa waondoke wapishe mwekezaji. Wakaitisha mkutano wakawa wanamlau mkuu wa mkoa halafu wakamwomba rais eti aingilie kati kwani uchaguzi ujao ni ''mitano tena'' kwa Samia. Huu ni ubwege mtozeni wa hali ya juu. Rais akishajua hakuna tishio lakuondolewa kwenye kiti, hawezi kujali chochote juu ya wananchi. Ujinga huu wanao watanzania wengi. Wadhani kujipendekeza ndiyo kutamfanya rais watumikie vizuri.Gen z wa tanzania laiti wangejua kwamba nguvu ya umma ndio kiboko ya hivi viserikali vinavyoteka watu wangeliamsha dude. Huyo ruto katepweta kwasababu ya Gen z .
Na ndiyo maana wanazidi kusota kwa kukosa ajira.Gen Z wa kwetu bado wanabishania Simba na Yanga na ana jezi nzuri. Ndiyo maana serikali inaving'ang'ania hivi vilabu vya Kariakoo.