MICHAEL JACKSONN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 226
- 229
Ni kweli.
maana hata waovu wakiweka mtu wao ni Mungu karuhusu hilo litokee na si vinginevyo.
maana hata waovu wakiweka mtu wao ni Mungu karuhusu hilo litokee na si vinginevyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Mungu ndio aliamua Fashist Jiwe , Mwendakuzimu ndio atangazwe sio ?Naibu wa Rais wa Kenya ambaye ni mgombea Urais wa nchi hiyo Dr Ruto amesema kwa mujibu wa Bible kura hupigwa ili kupata matokeo lakini Uamuzi wa mwisho nani ni mshindi hufanywa na Mungu wa Mungu wa mbinguni
Ruto amesema hayo leo akiwa kanisani wakati akiwashukuru kwa kufanya uchaguzi kwa amani
Ruto aliwataka waumini wasome Mithali 16:33
Source Citizen tv
Huyu jamaa anavaa saa ya hublot!!!
Uamuzi huo ndio hutoka kwa Mola. Sio huo anaouzungumzia jamaa hapo. It means unapoenda kupiga kura, already huo utashi wa nani umpatie kura yako, Mola anakuwa ameridhia.Mimi imewahi kunitokea nikabadili uamuzi wa nani nimpe kura yangu baada ya kufika kwenye chumba cha kupigia kura yaani nikampigia mwingine sio yule niliyekuwa nimeshafanya uamuzi wa kumpa kura!! Labda vitu vya namna hii ndio vilikusudiwa katika hayo maandiko !!
Usipopiga kura ni sawa na kwamba umempigia kura mpinzani wako (usiyempenda). Umeelewa sasa?Mie ndio maaana sipigagi kura nasitokuja kupiga kura maisha yangu yote hapa duniani
Anakumbuka blanket wakati kumeshakucha tayari? Wakati anapora aridhi za wanyonge wasio na hatia hakujua kuwa kuna Mungu ambaye ndiye mtetezi wa wanyonge?Naibu wa Rais wa Kenya ambaye ni mgombea Urais wa nchi hiyo Dr Ruto amesema kwa mujibu wa Bible kura hupigwa ili kupata matokeo lakini Uamuzi wa mwisho nani ni mshindi hufanywa na Mungu wa Mungu wa mbinguni
Una uhakika?Kweli kabisa Magufuli alikuwa chaguo la Mungu
Wanasiasa waongo sana huyu Mungu kazi anayoNaibu wa Rais wa Kenya ambaye ni mgombea Urais wa nchi hiyo Dr Ruto amesema kwa mujibu wa Bible kura hupigwa ili kupata matokeo lakini Uamuzi wa mwisho nani ni mshindi hufanywa na Mungu wa Mungu wa mbinguni
Ruto amesema hayo leo akiwa kanisani wakati akiwashukuru kwa kufanya uchaguzi kwa amani
Ruto aliwataka waumini wasome Mithali 16:33
Source Citizen tv
Tuendelee kupiga kura tu ipo siku Mungu atakuwa upande wa wapiga kura na hakuna atakaye badili matokeo !! Itakuwa ni uamuzi wa Mungu pia !!!Mie ndio maaana sipigagi kura nasitokuja kupiga kura maisha yangu yote hapa duniani
Kabisa ! Anaogopa yasitokee yale ya kupelekwa ICC tena ! Safari hii akipelekwa hachomoki !Namuona Ruto ameanza kucheza na pyschology ya supporters wake wajiandae kwa lolote.
Everything is happening for a reason !! Ili kuwepo na mchana lazima giza liwepo na ili liwepo giza lazima mchana uwepo !!Una uhakika?
Huyu mwamba hajawahi kunenepa, sijui anakulaga nini!
Githeri hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaHuyu mwamba hajawahi kunenepa, sijui anakulaga nini!
It means watu wanafanya matendo yao kwa siri, ila Mola ndiye mwamuzi atakayewahukumu siku ya mwisho. Umeelewa sasa wewe mtoto wa Iblis Bin Shetan ?Mithali 16 33 " kura hupigwa kwa siri lakini kila Uamuzi wake hutoka kwa BWANA"
Sawasawa na Mithali 16 33Ni kweli.
maana hata waovu wakiweka mtu wao ni Mungu karuhusu hilo litokee na si vinginevyo.
Manake sio lazima yeye awe RaisMithali 16 33 " kura hupigwa kwa siri lakini kila Uamuzi wake hutoka kwa BWANA"
Hahahaha yule jambazi aliyetukuka analetwaje na Mungu labda munguHata Magufuli tuliambiwa kaletwa na MUNGU
So mkuu una maana Mungu anatetea wanyonge pekee? So matajiri hawana mtetezi?Anakumbuka blanket wakati kumeshakucha tayari? Wakati anapora aridhi za wanyonge wasio na hatia hakujua kuwa kuna Mungu ambaye ndiye mtetezi wa wanyonge?