Ruto: Mahakama ya Arusha inaniyumbisha, Waamue kuruhusu kuwafurusha Jamii ya Mau Forest au Kenya ijitoe uanachama

Ruto: Mahakama ya Arusha inaniyumbisha, Waamue kuruhusu kuwafurusha Jamii ya Mau Forest au Kenya ijitoe uanachama

Mahakama ipo kwetu lakini wamasai wa ngorongoro walifukuzwa Kwa fimbo kama ng'ombe na mama Samia lakini hakuna mtu yeyote aliyeenda mahakamani kuzuia.kweli wakenya wametuzidi Kila kitu
 
Raha ipi utakayoishi ukitolewa kwenye eneo lako la asili?

Je wameenda Kwa hiari ama Kwa lazima?
Ngorongoro crater siyo eneo la asili la binaadam yeyote.

Wametolewa kwa hiyari na sasa wanafurahia maisha mapya. Aliyekataa hajatolewa lakini haruhusiwi kujenga huko crater, akae na simba na Ng'ombe zake wawe chakula cha fisi.
 
Mahakama ipo kwetu lakini wamasai wa ngorongoro walifukuzwa Kwa fimbo kama ng'ombe na mama Samia lakini hakuna mtu yeyote aliyeenda mahakamani kuzuia.kweli wakenya wametuzidi Kila kitu
Muongo mkubwa wewe, weka ushahidi kama u mkweli.
 
Ngorongoro crater siyo eneo la asili la binaadam yeyote.

Wametolewa kwa hiyari na sasa wanafurahia maisha mapya. Aliyekataa hajatolewa lakini haruhusiwi kujenga huko crater, akae na simba na Ng'ombe zake wawe chakula cha fisi.
Mbona unatetea waarabu na sio wamasai wewe bibi?

Tangu tunakula Leo hii ndo mmejua kuwa wamasai hawapaswi kuishi ngorongoro? Acheni unaa!! Au mlikodiwa nn?
 
Kama wanaharibu mazingira hata mimi namuubga mkono awafurushe tu, kwani mahakama ndiyo nini huku mazingira yanaendekea kuharibika?.
Ni sawa na wale ndugu zetu wanaoishi kwenye hifadhi, inabidi waame ili kulinda hifadhi.
 
Ni sawa na wale ndugu zetu wanaoishi kwenye hifadhi, inabidi waame ili kulinda hifadhi.
NO!.
Hawa wa kwetu hawalimi, hawapandi, hawavuni na hawafanyi jambo lolote la maendeleo, ukiangalia hawa wa kwetu hadi simba, milia, nyari, swala nk wanakuja kulala na ng'ombe kwenye mahame yao.

Huoni ekolojia ilivyo tofauti na wale?.
 
Hayo ni maneno ya William Ruto Rais wa Kenya akitishia kujitoa kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Haki za binadamu ya Afrika -Arusha.

Chanzo Cha vitisho hivyo vya Ruto ni sakata la Mahakama hiyo kuamuru na kuzuia kufurushwa Kwa watu wa jamii ya Ogir wanaoishi kwenye msitu wa Mau ambapo Kenya inadai wanaharibu Mazingira na inataka kuwatoa.

Jamii hiyo ilifungua kesi hapo Arusha kuzuia Serikali ya Ruto Kuwafurusha kwenye Ardhi Yao ya Asili

Swali.
Kuna haja gani ya kuwa na mahakama ikiwa Nchi Zina uhuru wa kujiunga na kujiondoa?

--

Kenyan President William Ruto this week threatened to pull the country out of the Arusha-based African Court on People’s and Human Rights (ACPHR) over the pressure by residents of a part of the Rift Valley region to be allowed to occupy forest land despite caveats blocking such use.

A minority community, Ogiek, claim the Mau Forest as their ancestral land, a position the African Court entrenched in a decision in 2017, after which political and legal tussles ensued, impacting land registration and development in the region.

On Monday, while addressing the public in Kuresoi, Nakuru County in the Central Rift, the matter came up and the President expressed his frustration with the orders from the continental court restricting the use of the land.

“There is a court in Arusha. They have been taking me in circles, but I have told them they have two options: Either they lift the caveat, or we withdraw membership from that court,” the Kenyan leader said.

Source: Why it’s not so easy for Kenya to quit African Court
Rutto anajaribu kuingilia Uhuru wa mahakama akitumia vitisho kuwa atajitoa pale maamuzi asiyoyapenda yatakapotolewa, hii sio sawa kabisa.

Wanasiasa waache kuzishinikiza mahakama zitoe hukumu za kuwafurahisha
 
NO!.
Hawa wa kwetu hawalimi, hawapandi, hawavuni na hawafanyi jambo lolote la maendeleo, ukiangalia hawa wa kwetu hadi simba, milia, nyari, swala nk wanakuja kulala na ng'ombe kwenye mahame yao.

Huoni ekolojia ilivyo tofauti na wale?.
Ile kuzaliana na kuongeza makazi, kuni za kupikia n.k hii pia ni changamoto
 
Mbona watu wa loliondo hawakuenda kushtaki hapo maakamani au hawaijui
 
Back
Top Bottom