Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngorongoro crater siyo eneo la asili la binaadam yeyote.Raha ipi utakayoishi ukitolewa kwenye eneo lako la asili?
Je wameenda Kwa hiari ama Kwa lazima?
Muongo mkubwa wewe, weka ushahidi kama u mkweli.Mahakama ipo kwetu lakini wamasai wa ngorongoro walifukuzwa Kwa fimbo kama ng'ombe na mama Samia lakini hakuna mtu yeyote aliyeenda mahakamani kuzuia.kweli wakenya wametuzidi Kila kitu
Mbona unatetea waarabu na sio wamasai wewe bibi?Ngorongoro crater siyo eneo la asili la binaadam yeyote.
Wametolewa kwa hiyari na sasa wanafurahia maisha mapya. Aliyekataa hajatolewa lakini haruhusiwi kujenga huko crater, akae na simba na Ng'ombe zake wawe chakula cha fisi.
Wamasai wamejifanya ile mali yao, hakuna, Ile ni mali ya simba na fisi.Mbona unatetea waarabu na sio wamasai wewe bibi?
Tangu tunakula Leo hii ndo mmejua kuwa wamasai hawapaswi kuishi ngorongoro? Acheni unaa!! Au mlikodiwa nn?
UmekodiwaWamasai wamejifanya ile mali yao, hakuna, Ile ni mali ya simba na fisi.
Kuna tofauti kubwa kati ya raia wa Tz na KEMbona wenzetu wa Ngoro hawajatumia hiyo nafasi ya hiyo Mahakama hapo A town
Ni sawa na wale ndugu zetu wanaoishi kwenye hifadhi, inabidi waame ili kulinda hifadhi.Kama wanaharibu mazingira hata mimi namuubga mkono awafurushe tu, kwani mahakama ndiyo nini huku mazingira yanaendekea kuharibika?.
kwani mimi mbowe?Umekodiwa
NO!.Ni sawa na wale ndugu zetu wanaoishi kwenye hifadhi, inabidi waame ili kulinda hifadhi.
Hatari sana
Rutto anajaribu kuingilia Uhuru wa mahakama akitumia vitisho kuwa atajitoa pale maamuzi asiyoyapenda yatakapotolewa, hii sio sawa kabisa.Hayo ni maneno ya William Ruto Rais wa Kenya akitishia kujitoa kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Haki za binadamu ya Afrika -Arusha.
Chanzo Cha vitisho hivyo vya Ruto ni sakata la Mahakama hiyo kuamuru na kuzuia kufurushwa Kwa watu wa jamii ya Ogir wanaoishi kwenye msitu wa Mau ambapo Kenya inadai wanaharibu Mazingira na inataka kuwatoa.
Jamii hiyo ilifungua kesi hapo Arusha kuzuia Serikali ya Ruto Kuwafurusha kwenye Ardhi Yao ya Asili
Swali.
Kuna haja gani ya kuwa na mahakama ikiwa Nchi Zina uhuru wa kujiunga na kujiondoa?
--
Kenyan President William Ruto this week threatened to pull the country out of the Arusha-based African Court on People’s and Human Rights (ACPHR) over the pressure by residents of a part of the Rift Valley region to be allowed to occupy forest land despite caveats blocking such use.
A minority community, Ogiek, claim the Mau Forest as their ancestral land, a position the African Court entrenched in a decision in 2017, after which political and legal tussles ensued, impacting land registration and development in the region.
On Monday, while addressing the public in Kuresoi, Nakuru County in the Central Rift, the matter came up and the President expressed his frustration with the orders from the continental court restricting the use of the land.
“There is a court in Arusha. They have been taking me in circles, but I have told them they have two options: Either they lift the caveat, or we withdraw membership from that court,” the Kenyan leader said.
Source: Why it’s not so easy for Kenya to quit African Court
Ile kuzaliana na kuongeza makazi, kuni za kupikia n.k hii pia ni changamotoNO!.
Hawa wa kwetu hawalimi, hawapandi, hawavuni na hawafanyi jambo lolote la maendeleo, ukiangalia hawa wa kwetu hadi simba, milia, nyari, swala nk wanakuja kulala na ng'ombe kwenye mahame yao.
Huoni ekolojia ilivyo tofauti na wale?.
Uliwahi kwenda Ngorongoro mkuu au kupita?.Ile kuzaliana na kuongeza makazi, kuni za kupikia n.k hii pia ni changamoto
Mwaka jana nilikuwa huko, wenyeji wako huku juu baada ya kuingia langoni ila kule chini kwenye 'crater' hawapoUliwahi kwenda Ngorongoro mkuu au kupita?.
Sawa sawa ila huku ambarwey wapo na kuna ndg tumeongea nao.Mwaka jana nilikuwa huko, wenyeji wako huku juu baada ya kuingia langoni ila kule chini kwenye 'crater' hawapo