Ruto, sadaka haitolewi Ikulu kama ni safi au chafu ipelekwe madhabahuni itakaswe

Ruto, sadaka haitolewi Ikulu kama ni safi au chafu ipelekwe madhabahuni itakaswe

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Bandugu hamjambo?

Hivi mwakumbuka suala la kuita viongozi wa Dini Ikulu na kupiga nao stori, huku akiishia kuwawekea SADAKA zilizojaa DAMU za watu walio kuwa wanauliwa na kutupwa kwenye viroba na kutupwa jalalani kulikotokea enzi za mwendazake?

Sikuwai sikia kiongozi wa Dini yoyote aliyejitokeza kupigia kelele unyama huo mpaka wa leo.

Wengi wetu tulimwona Magufuli kama Mungu mtu, viongozi wa Dini ikifika hatua viongozi kama Mwamposa wakaamua kuchagua kabira kubwa la wachaga na kuwatoa kafara hakuna aliyeguswa.

Nauona alio ufanya Magufuli, Rais Ruto na Mkewe wanaurudia ebu tizama picha hii utaona kiongozi wa Dini anaingia mikono mitupu anatoka na bahasha kubwa iliyojaa pesa za walipa Kodi.

Hiyo ni sadaka au kitu gani? Kwa nini isipelekwe madhabauni itakaswe? Bahasha imekuwa kubwa mpaka mchugaji anaonekana kulemewa minoti anashindwa hata kuificha.

Ujumbe wangu Ruto na mkeo peleka sadaka mazabauni Ikulu sio pahala pa ulanguzi.

20220917_121302.jpg
20220917_121259.jpg
 
Sadaka za damu kivipi,ninavyojua mimi Rais analipwa mshahara na Watanzania!

Kwaiyo unataka kusema kwamba zile pesa walizopokea viongozi wa dini Kama sadaka ilikuwa ni pesa iliyotokana na malipo ya kuua watu na kuwaweka kwenye viroba.Ufafanuzi tafadhari!
 
Pale Kenya shetani amekasirika makasiriko makuu.

Mlizoea Ikulu waingie waganga na wachawi kuzindika Ili wampe sadaka ya DAMU,

Saiz watumishi wa Mungu aliye juu ndo wanamsaidia kutawala.

Natabiri neema na baraka ktk Nchi Ile.

Inakuja huku ktk Nchi yangu pia.

Ameeen
 
Bandugu hamjambo?

Hivi mwakumbuka ujinga wa kuita viongozi wa Dini Ikulu na kupiga nao stori za kijinga, uku akiishia kuwawekea SADAKA zilizojaa DAMU za watu walio kuwa wanauliwa na kutupwa kwenye viroba na kutupwa jalalani kulikotokea enzi za mwendazake?
Sikuwai sikia kiongozi wa Dini yyte aliyejitokeza kupigia kelele unyama huo mpk wa leo.
Wengi wetu tulimwona Magufuli kama Mungu mtu,viongozi wa Dini ikifika hatua viongozi kama mwamposa wakaamua kuchagua kabira kubwa la wachaga na kuwatoa kafara hakuna aliyeguswa.

Nauoma ujinga huo alio ufanya Magufuli na Akaishia kufa kifo Cha MENDE, Rais Ruto na Mkewe wanaurudia ebu tizama picha hii utaona kiongozi wa Dini anaingia mikono mitupu anatoka na bahasha kubwa iliyojaa pesa za walipa Kodi.
Hiyo ni sadaka au kitu gani?Kwa nn hisipelekwe mazabauni itakaswe?bahasha imekuwa kubwa mpaka mchugaji anaonekana kulemewa minoti anashindwa hata kuificha
Ujumbe wangu Ruto na mkeo peleka sadaka mazabauni Ikulu sio pahala pa ulanguzi
Ulitaka waende wachawi sasa?
Binadamu sisi hatuna jema
 
Tangu zama za mababu watumishi wa Mungu (mitume na manabii) hufanya kazi chini ya watawa wa nchi (marais/wafalme)

Na watawala wanashirikiana na watumishi wa Mungu kufanikiwa kufanya kazi kwa amani sababu zipo siri au tafsiri za ndoto au maono ambazo hakuna anayeweza kuwa nayo isipokua wale waliokirimiwa na Mungu



Acha amani itawale
 
Bandugu hamjambo?

Hivi mwakumbuka ujinga wa kuita viongozi wa Dini Ikulu na kupiga nao stori za kijinga, uku akiishia kuwawekea SADAKA zilizojaa DAMU za watu walio kuwa wanauliwa na kutupwa kwenye viroba na kutupwa jalalani kulikotokea enzi za mwendazake?
Sikuwai sikia kiongozi wa Dini yyte aliyejitokeza kupigia kelele unyama huo mpk wa leo.
Wengi wetu tulimwona Magufuli kama Mungu mtu,viongozi wa Dini ikifika hatua viongozi kama mwamposa wakaamua kuchagua kabira kubwa la wachaga na kuwatoa kafara hakuna aliyeguswa.

Nauoma ujinga huo alio ufanya Magufuli na Akaishia kufa kifo Cha MENDE, Rais Ruto na Mkewe wanaurudia ebu tizama picha hii utaona kiongozi wa Dini anaingia mikono mitupu anatoka na bahasha kubwa iliyojaa pesa za walipa Kodi.
Hiyo ni sadaka au kitu gani?Kwa nn hisipelekwe mazabauni itakaswe?bahasha imekuwa kubwa mpaka mchugaji anaonekana kulemewa minoti anashindwa hata kuificha
Ujumbe wangu Ruto na mkeo peleka sadaka mazabauni Ikulu sio pahala pa ulanguzi
Wewe utakua ni mpumbavu, unasema ujinga ilihali wewe ndo mjinga, hakuna mamlaka isiyo toka kwa MUNGU kwa makusudi yake, wewe unaita ujinga? Farasi wewe
 
Wewe kilaza Marais sio na Wafalme wa kale, halafu dunia imepiga hatua sana kutoka zama za giza za ujinga mwingi.
Tangu zama za mababu watumishi wa Mungu (mitume na manabii) hufanya kazi chini ya watawa wa nchi (marais/wafalme)

Na watawala wanashirikiana na watumishi wa Mungu kufanikiwa kufanya kazi kwa amani sababu zipo siri au tafsiri za ndoto au maono ambazo hakuna anayeweza kuwa nayo isipokua wale waliokirimiwa na Mungu



Acha amani itawale
 
duh...hebu twende taratibu kwanza...tatizo ni watumishi wa Mungu kupewa sadaka ama kuna tatizo lingine....hivi kama nalipwa milioni 100(mshahara+marupurupu) na bado nilikuwa na biashara zangu zingine nikiamua mwezi huu mshahara wangu wote nawapa watumishi wa Mungu kuna ubaya gani au labda mimi ndio sielewi labda alipaswa kuwapa waganga,kweli tunatofautiana uelewa kiasi kikubwa sana
 
Back
Top Bottom