Ruto, sadaka haitolewi Ikulu kama ni safi au chafu ipelekwe madhabahuni itakaswe

Huvi kifo ni kipino cha dhambi au adhabu anayopewa mtu baada ya kufanya dhambi? Au ndio njia pekee ya kwenda mbinguni kisha matendo yako ndio yataamua huende motoni au peponi.

Akili zinazoamini kuwa kifo cha mwili ni adhabu ni akili mufilisi maana hakuna njia ya kwenda mbinguni zaidi ya kifo na wao watakufa ni swala la wakati tu.
 
Naamini the same
 
Mbona Watokwa na povu sehemu zako za wazi zote mwilini? Halafu KabiRA ndo maana yake nini kwa Kiswahili? Badala uombe ada uende shule unakaa kwa shemejiyo miguu kwenye meza unakuna mapum** na kunusa huku unaandika uharo kama huu.....🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mamlaka za Adolf Hitler na Makaburu wa South Africa zilitoka kwa Mungu?
Wewe utakua ni mpumbavu, unasema ujinga ilihali wewe ndo mjinga, hakuna mamlaka isiyo toka kwa MUNGU kwa makusudi yake, wewe unaita ujinga? Farasi wewe
 
Waganga wanaumia. Wanaona wanakosa mapato. Ndo sababu ya kuanzisha huu uzi majini hayajapewa pesa na damu so yameingia chuki na wivu.
 
sifi leo, maneno yako haya utu wala utanzania. Hizo shutuma zako leo hii ukikamatwa hazina ushahidi na wewe huna ushahidi. Juzi kati hapa tumesikia kuna mtanzania alikutwa kafariki nyuma ya ofisi za PCCB je tuseme Raid Samia alimuua huyo mtu akamuweka nyuma ya ofisi za PCCB???

Nadhani ktk maisha yako utaishi na kinyongo ambacho kitakutesa maisha yako yote. Dkt Magufuli aliishi maisha ya kuipenda Tanzania na kwa uzalendo, na wale wote waliotumia jina lake kufanya maovu malipo yapo hapa hapa.

Kama Mungu aliamua amchukue mapema inawezekana ni kwa sababu lengo alilomtuma kulifanya kwa ajili ya Tanzania lilitimia.
 
Hivi mwakumbuka ujinga wa kuita viongozi wa Dini Ikulu na kupiga nao stori za kijinga, uku akiishia kuwawekea SADAKA zilizojaa DAMU za watu walio kuwa wanauliwa na kutupwa kwenye viroba na kutupwa jalalani kulikotokea enzi za mwendazake?
Mie nikienda kusali ni kumwamudu Mungu wangu na sio kuwafuata tena hawa tunaowaita viongozi wa dini!
Wameacha kabisa wajibu wao wa ki- Mungu na wamekuwa wachumia tumbo!
 
Ukishawanunua viongozi wa dini umeshamaliza kazi. Watawaambia kondoo wao huyu ndie chaguo la Mungu
Ndiyo kazi ya viongozi wa dini, kuwasujudu wakuu wa nchi na kuwalazimisha waumini nao wawasujudu wakuu wa nchi.
Kwamba "Rais huyu ni chaguo la Mungu"
 
Kwani wewe hutakufa na kuoza na kuliwa na mende na hakuna atakayejuwa umekufa kama watz tunavyomfahamu mzalendo jpm?
 
Alikuwa Yesu aliyeitwa mwana wa Mungu sembuse Magufuli! Sembuse Ruto?!
 
Husimzalau husiye mjuha
 
Huko kwenye dini anapojifichia anatafuta nini
 
Kiongozi yeyeto anaejificha udhaifu wake kwenye dini ni mtu mbaya sana
Acha ujinga basi. Ruto na mkewe ni Wakristo. Ulitaka wakatambike mizimu? Kwa hiyo Mkristo akiwa rais aache Ukristo wake? Akiishi imani yake inakuwa tatizo?

Walewale wanaopata shida na ushungi wa Rais Samia. Ujinga plus plus!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…