Ruto, sadaka haitolewi Ikulu kama ni safi au chafu ipelekwe madhabahuni itakaswe

Heri yako wewe senge usiyefanya ujinga maana hautakufa kamwe, utaishi milele.
 
Kama sio mwizi. Utakua tapeli . au ulifukuzwa kwa vyeti feki.
Nipe sifa mbaya zote upendavyo lkn ukweli unabaki pale pale kwamba dhalimu limeondoshwa kutupisha wenye nchi tuendelee kufurahia nchi yetu
 
Kama yeye alivyopelekea vifo vya kina Ben saanane
Simtetei na sisemi alihusika ama la. Lakini una uthibitisho wowote wa Rais Magufuli kuhusika na vifo vyao?
Just thinking kwamba ndio umekamatwa umepelekwa kama shahidi pale mahakamani ukaambiwa utoe vithibitisho. Utachomoka kweli ndugu yangu?

Najaribu kuwaza kwa sababu wengi husema mengi ila huwa hawaweki vithibitisho, hata kwa maneno tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…