Kenya 2022 Ruto vs Odinga Agosti 9/2022

Kenya 2022 General Election
Soma Alama za Nyakati. Ruto ni juzi litaiba/kuuza Ardhi zaidi
Kwahiyo Uhuru alimteua mkora?! maana ukimtusi DP utakuwa umemtusi Kiongozi wake.
Kama Uhuru alimteua Ruto kuwa DP wake maana yake alimwamini kuwa ana qualify kuwa next President/ his predecessor
 
Ruto ameonekana kuwa mwanasiasa machachari na mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa, naamini ndiye Rais ajaye wa Taifa la Kenya.

Ruto hamna kitu, alianza kampeni miaka minne iliyopita unategemea Nini?. Central ndio itaamua Rais.
 
Kwahiyo Uhuru alimteua mkora?! maana ukimtusi DP utakuwa umemtusi Kiongozi wake.
Kama Uhuru alimteua Ruto kuwa DP wake maana yake alimwamini kuwa ana qualify kuwa next President/ his predecessor

Na baada ya kujua ni mkora katemana naye mazima.
 

Umeisha wapi?. Huu ndio wakati wa Odinga kuwa Rais. Mbona Biden Rais na ana umri mkubwa.
 
Mmmh... aisee Rutto ana balaa... Odinga is past... Naamini Rutto anashinda mapema sana... Ila hofu kubwa ni machafuko.. Hii ngoma ni ngumu sana

Atashinda mapema Sana?. Kwa lipi la maana alilonalo. Ruto anatakiwa aondoke na Kenyatta.
 
Muungano wa KENYA KWANZA chini ya Ruto ni kigezo kingine cha ushindi wake hapo Agosti 9.
Kenya kwanza inaonyesha umoja wa wakenya wote.

Kenya kwanza ni mgawanyiko wa jubilee. Jubilee ilivunja vyama vidogodogo na kinda chama kimoja. Hivyo wengi walijikata na kujiunga UDA ya Ruto
 
Wakenya si kama Waingereza tu wa London?

Kuna ambao hawajui Kiingereza?
 

Hii karata ya umri ndio ilitumika mwaka 2013, kuwachagua Uhuru na Ruto ila ndio hivyo leo watu wanalalamika Maisha magumu. Kenya inahitaji kiongozi sio mbeba chuma.
 
Ruto anapambana na giant wawili wa siasa za Kenya Uhuru na Odinga na bado anawakimbiza kimya kimya.

Ruto alianza kampeni mapema ndani ya miaka minne hasa central Kenya. Ambalo nfiko kutaamua Rais ajaye. Halafu Ruto Hana ubavu kwa Odinga. Ni vile tu alikuwa Makamu wa Rais na Odinga alikuwa upinzani. Angekuwa novice sidhani Kama angemkaribia odinga.
 
Kama uchaguzi utakuwa huru, Haki na uwazi naamini Ruto atashinda kwa kishindo.


Ukiwashindanisha kwa hoja, Ruto ameonyesha uhodari wa hali ya juu ktk kujenga hoja lkn pia ana nguvu ya Ushawishi zaidi ya mpinzani wake.

Hiyo nguvu ya ushawishi umeipima wapi?. Makamu wa Rais anapapambana na kiongozi wa upinzani.
 

Huyu Raila aliyepambana na Ruto na Uhuru Kenyatta kwa pamoja ndio amtegemee Uhuru?. Uhuru mwenyewe alikiri Mambo yalimuelemea akaamua kumuita Raila amsaidie. Bila Raila kumsaidia Kenyatta asingemaliza muda wake. Maana Ruto angemshambulia na Raila angemshambulia.
 
Sijafanikiwa kufuatilia uchaguzi huu wa Kenya kwa karibu (kuanzia kesho August Mosi nitaanza), lakini kwa uchache sana nahisi Raila anaweza kuongoza katika duru ya kwanza (kwa sababu za wazi za kiufundi) wasiwasi wangu ni huu......

1. Kama watakwenda duru ya pili, sijui kama Raila atatoboa. (Nguvu ya kuwaunganisha wapinzani watakaoshindwa katika duru ya kwanza ipo zaidi kwa Ruto)

2. Wasiwasi wa kuzuka ghasia wakati wa matokeo. (Raila na Ruto wote ni mabingwa wa kuamsha ghasia)

3. Kuvurugika kwa uchaguzi ikiwa Tume ya uchaguzi itashindwa kusimamia vyema zoezi la kupiga kura, kuhesabu kura na kutangaza matokeo. (Ruto tayari amejiandaa kuvuruga ikiwa tume itachemsha)

4. Ushindi wowote kupingwa mahakamani.
 
Mwanasiasa mwenye ushawishi Kenya ni Odinga, siku Odinga akistaafu siasa za Kenya zitapoa Sana. Akina Ruto wanapata airtime kwasababu Odinga yupo.
Ruto atapindua meza Agosti 9 utashangaa.

Siasa za nchi za Afrika kwa sasa zinaamuliwa na vijana ambao takwimu zinaonyeaha ndio wapiga kura.......
Vinaja wengi wanataka mabadiliko na wanaonekana kujenga matumaini yao kwa Ruto zaidi kuliko Odinga,
hapa siongelei siasa bali nazungumzia uhalisia uliopo hivi sasa kwenye kinyqng'anyiro.
 
Ruto hatakuja kuwa Rais wa Kenya,labda Kenyatta na Odinga wafe.
 
Kama uchaguzi utakuwa huru, Haki na uwazi naamini Ruto atashinda kwa kishindo.


Ukiwashindanisha kwa hoja, Ruto ameonyesha uhodari wa hali ya juu ktk kujenga hoja lkn pia ana nguvu ya Ushawishi zaidi ya mpinzani wake.
Hapa Duniani uchaguzi ganj uliwahi kuwa guru na haki?
 
Hamna kijana anayeamua MTU yoyote kuwa kiongozi,Kiongozi wa Nchi anachaguliwa na kiundi cha watu wasiozidi 5.Wengine wote tunahidhinisha walichokichagua hao jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…