- Thread starter
- #21
Kwahiyo Uhuru alimteua mkora?! maana ukimtusi DP utakuwa umemtusi Kiongozi wake.Soma Alama za Nyakati. Ruto ni juzi litaiba/kuuza Ardhi zaidi
Kama Uhuru alimteua Ruto kuwa DP wake maana yake alimwamini kuwa ana qualify kuwa next President/ his predecessor