Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Odinga the 5th!Kwa mtizamo wangu Ruto anazidi hoja na hadi sasa anaonekana kushawishi kundi kubwa la vijana wa kenya.
Mambo makubwa mawili yanayo mbeba Ruto.
1. Ufasaha wa kuongea lugha ya Kiswahili.
Kwenye kampeni zake Ruto anaonekana kutumia lugha ya kiswahili zaidi kunadi sera zake na hivyo kueleweka na wakenya wengi tofauti na mpinzani wake.
2. Umri.
Ruto anafeli sana kumtukana rais UhuruRuto atapindua meza Agosti 9 utashangaa.
Siasa za nchi za Afrika kwa sasa zinaamuliwa na vijana ambao takwimu zinaonyeaha ndio wapiga kura.......
Vinaja wengi wanataka mabadiliko na wanaonekana kujenga matumaini yao kwa Ruto zaidi kuliko Odinga,
hapa siongelei siasa bali nazungumzia uhalisia uliopo hivi sasa kwenye kinyqng'anyiro.
Hilo la kumtukana sina hakika, ila vijembe vya kisiasa huwa haviepukiki haswa kwenye joto linapo panda.Ruto anafeli sana kumtukana rais Uhuru
Nilidhani jamaa ana akili sana kama wanavyosema ila nimeona ana miscalculate hilo swala
Kingine kilichonifanya nikaona Ruto hana akili kama watu wanavyosema ni jinsi alipo mchagua deputy wake Rigathi Gachagua,jamaa ni jambazi 100% na hana akili vilevile,pia hakubaliki kwa popularity
Hayo mawili ndio nimeona biggest miscalculations za Ruto na zitam cost uchaguzi!
Ni no way Wakenya wamchague Gachagua wamuache Martha Karua,that will never happen...Gachagua ni hovyo mno!
alivyomtukana juzi hujaona mzee?Hilo la kumtukana sina hakika, ila vijembe vya kisiasa huwa haviepukiki haswa kwenye joto linapo panda.
Ruto namuona ni mtu humbled sana, anamheshimu sana Uhuru na ndio maana alimuomba radhi.
This time wakenya wanachagua Sera nzuri za kuwakomboa wakenya na kuwawezesha vijana kiuchumi, Ruto ndiye mgombea pekee hadi sasa amenadi sera nzuri zaidi kuliko Odinga.
Huelewi Kenya. Pambana na ishu za Kisiju85%ya wakenya wana zungumza na kuelewa Lugha ya Kiswahili kuliko kizungu, hivyo Ufasaha wa Ruto kuzungumza kiswahili unapelekea wakenya wengi zaidi kumuelewa.
Wewe huelewi siasa za Kenya. Ukitaka kuelewa Siasa za 2022 Kenya lazima urudi 2017.kwa nini Odinga alihepa debate last week?!
jambo hili limemdamage sana Baba Odinga.
Wewe huelewi siasa za Kenya. Hakuna mtu ako na ushawishi mkubwa kisiasa hapa Kenya kumzidi Raila. Hata Rais Uhuru mwenyewe hawezifikia ushawishi wa Raila. Uliza mkenya yeyote atakuambia vivyo hivyoKama uchaguzi utakuwa huru, Haki na uwazi naamini Ruto atashinda kwa kishindo.
Ukiwashindanisha kwa hoja, Ruto ameonyesha uhodari wa hali ya juu ktk kujenga hoja lkn pia ana nguvu ya Ushawishi zaidi ya mpinzani wake.
Mmmh... aisee Rutto ana balaa... Odinga is past... Naamini Rutto anashinda mapema sana... Ila hofu kubwa ni machafuko.. Hii ngoma ni ngumu sana
Gachagua is hopeless. Niliona anahojiwa yule mtu ni hamna kitu, hadi alikuwa na nondo anaangalizia. Maswali mengine anajibu majibu ya kushangaza, all in all Ruto anapenda fujo ataleta vurugu. Sio smart ila bado Odinga sioni kama ni revolutionarist, Kenya haitapata mabadiliko makubwa kivile.Ruto anafeli sana kumtukana rais Uhuru
Nilidhani jamaa ana akili sana kama wanavyosema ila nimeona ana miscalculate hilo swala
Kingine kilichonifanya nikaona Ruto hana akili kama watu wanavyosema ni jinsi alipo mchagua deputy wake Rigathi Gachagua,jamaa ni jambazi 100% na hana akili vilevile,pia hakubaliki kwa popularity
Hayo mawili ndio nimeona biggest miscalculations za Ruto na zitam cost uchaguzi!
Ni no way Wakenya wamchague Gachagua wamuache Martha Karua,that will never happen...Gachagua ni hovyo mno!
hakuna shida, Agosti 9 ni next week, utajua kama sizijui siasa za kenya ama la.Wewe huelewi siasa za Kenya. Hakuna mtu ako na ushawishi mkubwa kisiasa hapa Kenya kumzidi Raila. Hata Rais Uhuru mwenyewe hawezifikia ushawishi wa Raila. Uliza mkenya yeyote atakuambia vivyo hivyo
Agosti 9 ni next week, utajua kama nazifahamu siasa za kenya ama laa, usitoroke tu.Wewe huelewi siasa za Kenya. Ukitaka kuelewa Siasa za 2022 Kenya lazima urudi 2017.
sawa Agosti 9 sio mbali ni next week.Huelewi Kenya. Pambana na ishu za Kisiju
Ukabila asiuchukulie poa umefanya Nini?.Ukabila ni tatizo Kenya tena tatizo kubwa sana, Raila usimchukulie poa ana balaa yule mzee
Kama kuna nchi ina siasa za hovyo ni Tanzania sasa. Actually hiyo yenu sio siasa, ni sarakasi. An election where the president-elect wins by 84% and controls up-to 90% of National Assembly! Vioja tupu!Gc
Gachagua is hopeless. Niliona anahojiwa yule mtu ni hamna kitu, hadi alikuwa na nondo anaangalizia. Maswali mengine anajibu majibu ya kushangaza, all in all Ruto anapenda fujo ataleta vurugu. Sio smart ila bado Odinga sioni kama ni revolutionarist, Kenya haitapata mabadiliko makubwa kivile.
Ila tuachane na Kenya, Nigeria wana siasa za kipuuzi kupindukia. Wana uchaguzi mwakani ila wana ujinga wa hali ya juu sana
Eti timu ya Raila imetunga kesi ya Gachagua?😂😂😂. Wacha tu nicheke. Nyinyi watanzania hamuelewi maswala ya Kenya, haswa siasa zake. Stick to Tanzanian news. Gachagua case has been impending in court na ni hiyo hiyo korti ilimpata na hatia. Odinga anaingiliaje hapo sasa? Our judiciary is independent, sio kama huko kwenu ndio maana ilibatilisha hadi ushindi wa Uhuru in 2017 akiwa kwenye kiti! It's an independent institution.Kwahiyo Wakenya wameamua wamuite Odinga eti mzee Kitendawili😂. Na team yake ilivyotunga kesi ya wizi ya Gachagua ambayo haina mantiki imeharibu, na juzi nikaona bango limechorwa katuni yake linamtaka arudishe hizo KES 200 million. Hizo ndio siasa za majitaka. Ila Gachagua anakubalika
Huu ni upumbavu au kitu gani. Kumtusi Rais ni kipimo cha kukomaa kisiasa? Tangu lini matusi yakawa ukomavu kwenye tribalist shithole?Eti timu ya Raila imetunga kesi ya Gachagua?😂😂😂. Wacha tu nicheke. Nyinyi watanzania hamuelewi maswala ya Kenya, haswa siasa zake. Stick to Tanzanian news. Gachagua case has been impending in court na ni hiyo hiyo korti ilimpata na hatia. Odinga anaingiliaje hapo sasa? Our judiciary is independent, sio kama huko kwenu ndio maana ilibatilisha hadi ushindi wa Uhuru in 2017 akiwa kwenye kiti! It's an independent institution.
Kuhusu hiyo billboard, that's politics. That's how it's played. Your opponent will use every opportunity that presents itself to campaign against you and this happens world over. Siasa zetu zimekomaa, ndio maana unaona hata Uhuru mwenyewe anatusiwa kila siku ila hajali. Sidhani kama hapa Tanzania Rais wenu anawezatusiwa bila mtu kushikwa/kudhulumiwa