It may look stupid yes but it shows how our democratic space has grown in comparison to most African states, Tanzania includedHuu ni upumbavu au kitu gani. Kumtusi Rais ni kipimo cha kukomaa kisiasa? Tangu lini matusi yakawa ukomavu kwenye tribalist shithole?
Siasa za kenya ni siasa za Afrika mashariki na Aftika kwa ujumla.Me nimeanza kufuatilia siasa za Kenya tangu 2007,nimegundua hili jukwaa watanzania hamjui siasa za kenya mnabahatisha tu.
Kivip sas asimamekwa muda ulio baki Raila Odinga anapaswa ajisimamie yeye kama yeye bila kutaka support ya Uhuru......hili ndio linalo mpotezea umaarufu.
Unaweza kudhani Uhuru anamsaidia Odinga kumbe ndio anamdidimiza zaidi Odinga.
Odinga alitakiwa asimame yeye kama yeye bila backup ya Uhuru.
Nonsense kbsa ameongea huyuUfasaha wa lugha ya Kiswahili ndo kigezo cha kupigiwa Kura Kenya?
Kama Kutakuwa na presidential debate ni vyema Odinga akashiriki.Kivip sas asimame
Mleta mada nimegundua unaokota okota tu vihabari na kwakuwa umejikuta unampenda Ruto basi unaona kila kitu kwake kiko sawa[emoji3]Kama Kutakuwa na presidential debate ni vyema Odinga akashiriki.
Wewe bora unyamaze tu. The moment nimeona ukisema Sonko anacontrol kura za ukambani, Nairobi na Mombasa hapo ndio nikajua hujui unachosema. Siasa/kura za Ukambani yapo mikononi mwa Kalonzo na amekuwa akizincontrol kwa muda mrefu sana. Ndio maana Odinga na Ruto walijaribu sana kumsawishi Kalonzo ajiunge na timu zao ila mwishowe ni Odinga ndiye aliwezakumshawishi zaidi. Huo muda wote Ruto na Raila hawakushugulika na Sonko kwa sababu walijua mahali kifunguu ya kura ya ukambani ilipo!Ruto anashinda hii Ngoma....dakika za Mwisho amempata mtu anaeitwa SONKO....Ile ni mashine hatari sana....jamaa ana ushawishi ni balaa....anakusa ya Kijiji kama chote....Mombasa, Nairobi, ukambani kote Sonko anasomba Kijiji kinampigia Ruto.Jamaa kaingia juzi upepo umebadilika gafla. Yule mzee hata bahati na mabaya zaidi mlima Kenya hauko upande wake na mbaya zaidi kamteua mtu ambae watu wa mlima Kenya ( wakuyu) hawaoni future.Wakikuyu wanaamini wao ndo tabaka linalozaa viongozi wa nchi na wako tayari kuzichapa ili mradi wasitawaliwe na mtu yoyote. So hili ndo kosa la uhuru kumteua Raila instead of another candidate kutoka mlima Kenya. Na anavozidi kumpigia debe Raila ndo anamharibia zaidi Bora anguchuna tu.
Sonko pia ameenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha ugavana huko Mombasa amebaki na biashara ya sembe tu. DEBE TUPUWewe bora unyamaze tu. The moment nimeona ukisema Sonko anacontrol kura za ukambani, Nairobi na Mombasa hapo ndio nikajua hujui unachosema. Siasa/kura za Ukambani yapo mikononi mwa Kalonzo na amekuwa akizincontrol kwa muda mrefu sana. Ndio maana Odinga na Ruto walijaribu sana kumsawishi Kalonzo ajiunge na timu zao ila mwishowe ni Odinga ndiye aliwezakumshawishi zaidi. Huo muda wote Ruto na Raila hawakushugulika na Sonko kwa sababu walijua mahali kifunguu ya kura ya ukambani ilipo!
Siasa za Nairobi nazo zimekuwa ni za Odinga tangu 2002. Kibaki hakuwahishinda Raila Nairobi 2007. Uhuru na Ruto pia hawakufaulu kumshinda Raila Nairobi kwa chaguzi zote mbili za 2013/17. Sasa Sonko ndio awe maarufu Nairobi kuwashinda Kibaki, Uhuru na Ruto ambao wote Raila amewalemea Nairobi?
Mombasa kwa sasa ipo chini ya Hassan Joho, na kabla yake alikuwa ni Balala. Sonko hana kura kule wala hatambuliki kule kwa hivyo usidanganywe na mtu
Nimegundua watanzania wengi sana hapa huvutiwa na siasa za Kenya ila wengi pia hawaielewi, ni kuongea tu.
Huyo jamaa amenifanya nicheke sana alipotaja Sonko. Yani kama kuna mtu hana influence yoyote iwe ni Mombasa, Nairobi ama ukambani ni yeye sasa. Ukambani ni ngome ya Kalonzo, Mombasa ni ya Joho nayo Nairobi kwa kiasi kikubwa ni OdingaSonko pia ameenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha ugavana huko Mombasa amebaki na biashara ya sembe tu. DEBE TUPU
Sure, Sonko labda influence imebaki kwa wanunuzi wa sembe lake. Na US wamemlima ban yeye na familia yake. Atulie tu aongeze matejaHuyo jamaa amenifanya nicheke sana alipotaja Sonko. Yani kama kuna mtu hana influence yoyote iwe ni Mombasa, Nairobi ama ukambani ni yeye sasa. Ukambani ni ngome ya Kalonzo, Mombasa ni ya Joho nayo Nairobi kwa kiasi kikubwa ni Odinga
Sonko rides on fame, nothing much. Hana constituency of voters he can claim is his. Hana kabisa. Yani Sonko hata Joho anamshinda mbali sana kwa wafuasi. Sarakasi ndio zake yule jamaaSure, Sonko labda influence imebaki kwa wanunuzi wa sembe lake. Na US wamemlima ban yeye na familia yake. Atulie tu aongeze mateja
nipo kenya na ninafuatilia vyema siasa.Mleta mada nimegundua unaokota okota tu vihabari na kwakuwa umejikuta unampenda Ruto basi unaona kila kitu kwake kiko sawa[emoji3]
Hujui lolote kabisa,tulianipo kenya na ninafuatilia vyema siasa.
angalia umoja wa "Kenya kwanza" unataswira ya umoja wa Taifa la kenya, hiyo ni nguvu tosha ya ushindi.
Afadhari mmekuja wenyeji mnaozijua vizuri siasa za Nchi yenu Kenya,Wabongo walishaanza kutudanganya hapa.Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi wako.Wewe bora unyamaze tu. The moment nimeona ukisema Sonko anacontrol kura za ukambani, Nairobi na Mombasa hapo ndio nikajua hujui unachosema. Siasa/kura za Ukambani yapo mikononi mwa Kalonzo na amekuwa akizincontrol kwa muda mrefu sana. Ndio maana Odinga na Ruto walijaribu sana kumsawishi Kalonzo ajiunge na timu zao ila mwishowe ni Odinga ndiye aliwezakumshawishi zaidi. Huo muda wote Ruto na Raila hawakushugulika na Sonko kwa sababu walijua mahali kifunguu ya kura ya ukambani ilipo!
Siasa za Nairobi nazo zimekuwa ni za Odinga tangu 2002. Kibaki hakuwahishinda Raila Nairobi 2007. Uhuru na Ruto pia hawakufaulu kumshinda Raila Nairobi kwa chaguzi zote mbili za 2013/17. Sasa Sonko ndio awe maarufu Nairobi kuwashinda Kibaki, Uhuru na Ruto ambao wote Raila amewalemea Nairobi?
Mombasa kwa sasa ipo chini ya Hassan Joho, na kabla yake alikuwa ni Balala. Sonko hana kura kule wala hatambuliki kule kwa hivyo usidanganywe na mtu
Nimegundua watanzania wengi sana hapa huvutiwa na siasa za Kenya ila wengi pia hawaielewi, ni kuongea tu.
Karibu mkuuAfadhari mmekuja wenyeji mnaozijua vizuri siasa za Nchi yenu Kenya,Wabongo walishaanza kutudanganya hapa.Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi wako.