Ruto's philanthropy exposed

Ruto's philanthropy exposed

Even the elmolo and rendiles deserve a chance to serve as PSs,it's not a question of qualifications, but rather equality.

Budaa hii hawawezi kuona. Gikuyu think are the only develop and civilized tribe in kenya. I think they are right because they own kenya and Kenyans.
 
Do people in Luxembourg, Monaco etc have 100 acres of coffee? Ole Kina is just a hater of Mt Kenya people.
Land is just a means of production like many other means of production not yours to own forever.

People in Marsabit, Mandera, Turkana have 1,000s of hectares but are still asking for money from a region smaller than a ward in Wajir county.
What is the population of those mentioned countries?, at least be logic , the truth is that because of the huge population of the kikuyu community hawatoshei kule central maana hata viwanja havipo Kenyatta kachukua Vyote kwa hivyo wanahitaji kuishi nje ya mipaka Yao na ndio wakubalike lazima waache uthamaki ambao hauwasaidii na wajifunze kuishi na watu wengine,pili Kuna makabila mengi tu ambayo yapo qualified than kikuyu sema tu huyu kilaza ambaye yupo Statehouse ni mkabila ,anaiba hela za covid-19 Hadi na wapwa zake.
 
Are these PSs unqualified to hold the positions? Or what's so special with the other tribes that the Kikuyu's can't do?
Usituambie mambo ya qualifications jomba. Mimi nilisomea computer science with first class from moi but I've realized jobs Kenya si qualifications. It's all about tribalism, nepotism, corruption name them.
 
Usituambie mambo ya qualifications jomba. Mimi nilisomea computer science with first class from moi but I've realized jobs Kenya si qualifications. It's all about tribalism, nepotism, corruption name them.

Eish..kwani wakati Gikuyu wana fight for independence hizo tribe zingine walikuwanga wapi? Hatuwezi toka nao sare joo...wako na contribution kubwa so they deserve a large portion of cake.
 
Eish..kwani wakati Gikuyu wana fight for independence hizo tribe zingine walikuwanga wapi? Hatuwezi toka nao sare joo...wako na contribution kubwa so they deserve a large portion of cake.
Stop trying to instigate hatred u fool.
 
What is the population of those mentioned countries?, at least be logic , the truth is that because of the huge population of the kikuyu community hawatoshei kule central maana hata viwanja havipo Kenyatta kachukua Vyote kwa hivyo wanahitaji kuishi nje ya mipaka Yao na ndio wakubalike lazima waache uthamaki ambao hauwasaidii na wajifunze kuishi na watu wengine,pili Kuna makabila mengi tu ambayo yapo qualified than kikuyu sema tu huyu kilaza ambaye yupo Statehouse ni mkabila ,anaiba hela za covid-19 Hadi na wapwa zake.
NFD(Mandera, Wajir, Garissa) Turkana, Marsabit, Narok etc counties have very low populations and very huge tracks of land in relation to their populations. So they should be rich according to Senator Ledama Ole Kina. Most citizens in the mentioned counties own thousands of Hectares unlike central where not everyone can get 100 hectares of coffee. Yet when it comes to revenue allocation formula the said 'big' counties want the small counties where people dont even have land to give them their taxes in the name of marginalisation.

Central land has also been stolen by politicians such as Kenyatta family so if there should be someone complaining it should be the Kikuyus.
But what do Kikuyus do. Instead of sitting down and complaining is they go out of their region and to other counties ie. Lamu, Isebania in migori, Transzoia, Mombasa, Mandera and virtually everywhere in the world you'll find a Kikuyu guy making something out of him/herself.

Again Uhuru Kenyatta and William Rutos Jubilee goverment should be blamed for appointments going on not Kikuyu community. The regime is the worst corruption hit government in Kenya's history.

The deputy president has become a billionaire in less than a decade with no product or invention to show. Uhuru na yeye anajenga Northlands expanding family business. This fakers should all go home come 2022. The cabinet of Kenya is made up of individuals who choose people not a community chooses people.
 
Usituambie mambo ya qualifications jomba. Mimi nilisomea computer science with first class from moi but I've realized jobs Kenya si qualifications. It's all about tribalism, nepotism, corruption name them.
I have my bachelors too na sijapata kazi. Am actually a self employed guy with no steady income. Should i blame my fellow Kikuyus who are unemployed like me for my joblessness or should i blame the government?
 
NFD(Mandera, Wajir, Garissa) Turkana, Marsabit, Narok etc counties have very low populations and very huge tracks of land in relation to their populations. So they should be rich according to Senator Ledama Ole Kina. Most citizens in the mentioned counties own thousands of Hectares unlike central where not everyone can get 100 hectares of coffee. Yet when it comes to revenue allocation formula the said 'big' counties want the small counties where people dont even have land to give them their taxes in the name of marginalisation.

Central land has also been stolen by politicians such as Kenyatta family so if there should be someone complaining it should be the Kikuyus.
But what do Kikuyus do. Instead of sitting down and complaining is they go out of their region and to other counties ie. Lamu, Isebania in migori, Transzoia, Mombasa, Mandera and virtually everywhere in the world you'll find a Kikuyu guy making something out of him/herself.

Again Uhuru Kenyatta and William Rutos Jubilee goverment should be blamed for appointments going on not Kikuyu community. The regime is the worst corruption hit government in Kenya's history.

The deputy president has become a billionaire in less than a decade with no product or invention to show. Uhuru na yeye anajenga Northlands expanding family business. This fakers should all go home come 2022. The cabinet of Kenya is made up of individuals who choose people not a community chooses people.
Narok has low population,but it's contribution is huge , how much do you think maasai Mara adds to the national exchequer?Narok is one of the leading wheat basket in the country,do you really want to ignore that and assume that two kikuyus in kiamba should be given a dispensary and one maasai in Narok should not? Look at Tsavo ni taita , how much does it add to the treasurer? Those NFD counties have very low population because of marginalisation for the last 40 years something the new Constitution is trying to get rid off that's why we even have equalization fund for the ASAL counties . kenya is big my friend if we manage to distribute development to all parts of the country you won't see congestion in kiambu, what we are agitating for is that we want fair or equal distribution of development in all parts of kenya sio eti nyang'anya Peter upee Fred na unafurahi eti wewe ni shujaa maana umetoa kilifi ukapeleka kirinyaga.
 
NFD(Mandera, Wajir, Garissa) Turkana, Marsabit, Narok etc counties have very low populations and very huge tracks of land in relation to their populations. So they should be rich according to Senator Ledama Ole Kina. Most citizens in the mentioned counties own thousands of Hectares unlike central where not everyone can get 100 hectares of coffee. Yet when it comes to revenue allocation formula the said 'big' counties want the small counties where people dont even have land to give them their taxes in the name of marginalisation.

Central land has also been stolen by politicians such as Kenyatta family so if there should be someone complaining it should be the Kikuyus.
But what do Kikuyus do. Instead of sitting down and complaining is they go out of their region and to other counties ie. Lamu, Isebania in migori, Transzoia, Mombasa, Mandera and virtually everywhere in the world you'll find a Kikuyu guy making something out of him/herself.

Again Uhuru Kenyatta and William Rutos Jubilee goverment should be blamed for appointments going on not Kikuyu community. The regime is the worst corruption hit government in Kenya's history.

The deputy president has become a billionaire in less than a decade with no product or invention to show. Uhuru na yeye anajenga Northlands expanding family business. This fakers should all go home come 2022. The cabinet of Kenya is made up of individuals who choose people not a community chooses people.
Sio kikuyu tu ambao wametembea hii kenya,watu wengi tu kutoka makabila tofauti ni wapambanaji,kwa mfano hata ukaenda Boston utapata wakisii kibao so usije hapa kupiga vifijo ukadhani wewe wakwanza wapo waliokutangulia , ukweli ni kwamba central province Hakuna mashamba ya kutosha na usipiganie eti pesa zipelekwe kiambu au nyeri ukasahau kuwa yupo njeri kule lamu pia yuwahitaji sipitali pale au hata shule.
 
Narok has low population,but it's contribution is huge , how much do you think maasai Mara adds to the national exchequer?Narok is one of the leading wheat basket in the country,do you really want to ignore that and assume that two kikuyus in kiamba should be given a dispensary and one maasai in Narok should not? Look at Tsavo ni taita , how much does it add to the treasurer? Those NFD counties have very low population because of marginalisation for the last 40 years something the new Constitution is trying to get rid off that's why we even have equalization fund for the ASAL counties . kenya is big my friend if we manage to distribute development to all parts of the country you won't see congestion in kiambu, what we are agitating for is that we want fair or equal distribution of development in all parts of kenya sio eti nyang'anya Peter upee Fred na unafurahi eti wewe ni shujaa maana umetoa kilifi ukapeleka kirinyaga.
Do you really understand how the formula works. There is no county that has taken money from another county. The said 'marginilised' counties are asking for money and they have already been given the equalization fund.
We cannot give eqalization fund + marginilization fund.
Thats why there was the ONE MAN ONE SHILLING DEBATE.
NFD and the huge counties have been getting both funds since 2013 and according to parliament sitting the marginilzation fund was supposed to stop going to the above counties starting this financial year which i fully support.

Treasury said "The national government will raise share of allocations to the devolved units that increase their own internal revenue collection during the preceding financial year"

Nairobi has less toilets per capita than Mandera. Nairobi has more poor people than NFD combined.
 
Sio kikuyu tu ambao wametembea hii kenya,watu wengi tu kutoka makabila tofauti ni wapambanaji,kwa mfano hata ukaenda Boston utapata wakisii kibao so usije hapa kupiga vifijo ukadhani wewe wakwanza wapo waliokutangulia , ukweli ni kwamba central province Hakuna mashamba ya kutosha na usipiganie eti pesa zipelekwe kiambu au nyeri ukasahau kuwa yupo njeri kule lamu pia yuwahitaji sipitali pale au hata shule.
Its not a competition and i dont know why you are so bitter with Kikuyus. Kisii's also have a very small county and were set to gain in the new revenue allocation formula because they do more business and collect more taxes. Lamu is also a gainer because the county collects more taxes.

Na mimi ntapigania pesa ambayo inaokotwa Kiambu ipelekewe watu wa Kiambu sio watu wa Mandera. Sijaskia mtu wa Kiambu akisema apewe pesa ya mtu wa Mandera. We are in a capitalist nation tusikule jasho ya mwingine tafadhali.
 
Do you really understand how the formula works. There is no county that has taken money from another county. The said 'marginilised' counties are asking for money and they have already been given the equalization fund.
We cannot give eqalization fund + marginilization fund.
Thats why there was the ONE MAN ONE SHILLING DEBATE.
NFD and the huge counties have been getting both funds since 2013 and according to parliament sitting the marginilzation fund was supposed to stop going to the above counties starting this financial year which i fully support.

Treasury said "The national government will raise share of allocations to the devolved units that increase their own internal revenue collection during the preceding financial year"

Nairobi has less toilets per capita than Mandera. Nairobi has more poor people than NFD combined.
Basi acha ubishi maana hujui chochote,zile county hazijaitisha hela nyengine Ila wanachopigania ni zile pesa wanazopewa zisipunguzwe formula ya Irungu kang'ata ikikubaliwa pesa ambazo hizo county zinapewa zitapunguzwa na kwa taarifa yako Sina chuki na mkikuyu Ila Sina upendeleo nataka kila mtu apate haki na ajihisi kuwa mkenya Wala si kwa kuvumilia,hayo maeneo mengine yako marginalised because serikali ya Kenyatta senior wali adopt zile mbinu za mabeberu baada ya uhuru .mfano huu hapa
Screenshot_2020-08-16-22-20-02-71_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Its not a competition and i dont know why you are so bitter with Kikuyus. Kisii's also have a very small county and were set to gain in the new revenue allocation formula because they do more business and collect more taxes. Lamu is also a gainer because the county collects more taxes.

Na mimi ntapigania pesa ambayo inaokotwa Kiambu ipelekewe watu wa Kiambu sio watu wa Mandera. Sijaskia mtu wa Kiambu akisema apewe pesa ya mtu wa Mandera. We are in a capitalist nation tusikule jasho ya mwingine tafadhali.
Naomba unipe orodha ya miradi ambazo zimewekezwa mkoa wa Kati this financial year na ulinganishe na mkoa wa kasikazini mashariki au hata mkoa wa pwani na serikali kuu licha ya kuwa wakaazi wa maeneo haya wanalipa Kodi pia , Kama utataja mradi wa zaidi ya million Mia tano ambao umewekezwa mandera na serikali kuu this financial year,sasa hivi nitaomba namba yako ya mpesa nikupe 3000 lakini central Ni mabillion ya hela halafu tu vimilioni vichache tu ndugu zenu wakipewa angalau pia wajiendeleze vinawatoa povu,si huo ni uhayawani jamani??
 
Naomba unipe orodha ya miradi ambazo zimewekezwa mkoa wa Kati this financial year na ulinganishe na mkoa wa kasikazini mashariki au hata mkoa wa pwani na serikali kuu licha ya kuwa wakaazi wa maeneo haya wanalipa Kodi pia , Kama utataja mradi wa zaidi ya million Mia tano ambao umewekezwa mandera na serikali kuu this financial year,sasa hivi nitaomba namba yako ya mpesa nikupe 3000 lakini central Ni mabillion ya hela halafu tu vimilioni vichache tu ndugu zenu wakipewa angalau pia wajiendeleze vinawatoa povu,si huo ni uhayawani jamani??
Loan Kubwa sana ambayo tunalipa na tutawahi lipa Kenya ni SGR over $4b tayari na hiyo reli haijapita na haitawahi pitia Central Kenya mahali popote.
Umeskia county ya central yeyote ikiteta?

Port zote mbili kubwa Kenya ziko coast. Zinajengwa na national government to the tune of billions.
Mombasa dongo kundu is the most expensive road in Kenya. Mombasa kuna MGR na SGR.
No one from central bats an eye. Lakini wacha kabarabara kajengwe Muranga. Weeh ni shida.


How much money is spent on securing Mandera County alone police deployment plus kdf.
 
I have my bachelors too na sijapata kazi. Am actually a self employed guy with no steady income. Should i blame my fellow Kikuyus who are unemployed like me for my joblessness or should i blame the government?
Point hapa ni watu wa tribe zote wako qualified. So if you have ten jobs , what would be the criteria for choosing if all ten who get the job turn out to be one tribe? Are you saying no other person from the other around 42 tribes in Kenya qualifies for even one of the PS posts????? Go sell that narrative to kids.
 
Loan Kubwa sana ambayo tunalipa na tutawahi lipa Kenya ni SGR over $4b tayari na hiyo reli haijapita na haitawahi pitia Central Kenya mahali popote.
Umeskia county ya central yeyote ikiteta?

Port zote mbili kubwa Kenya ziko coast. Zinajengwa na national government to the tune of billions.
Mombasa dongo kundu is the most expensive road in Kenya. Mombasa kuna MGR na SGR.
No one from central bats an eye. Lakini wacha kabarabara kajengwe Muranga. Weeh ni shida.


How much money is spent on securing Mandera County alone police deployment plus kdf.
It's funny that somehow ni kama you're suggesting ni fault ya watu wa mandera kudeployiwa hao polisi wote. It shows how much you don't care.

Btw do you know how many people from other places wished they had what you call 'kabarabara' in vain?

I don't know where you come from but clearly, you haven't explored Kenya. I advice you to do so. It may change your perspective on many things
 
It's funny that somehow ni kama you're suggesting ni fault ya watu wa mandera kudeployiwa hao polisi wote. It shows how much you don't care.

Btw do you know how many people from other places wished they had what you call 'kabarabara' in vain?

I don't know where you come from but clearly, you haven't explored Kenya. I advice you to do so. It may change your perspective on many things
Its not my fault as a guy from central region that Mandera is under developed.
Thats the work of the National Goverment and also people from the county themselves.

Also Its their fault to some extent. They sympathize with Al-Shabaab and hate non-locals. TSC teachers are always slaughtered and private businessmen shot dead in quarry's.

No investor wants to go there due to local hostility.
 
Point hapa ni watu wa tribe zote wako qualified. So if you have ten jobs , what would be the criteria for choosing if all ten who get the job turn out to be one tribe? Are you saying no other person from the other around 42 tribes in Kenya qualifies for even one of the PS posts????? Go sell that narrative to kids.
My criteria will be to first look at your qualifications. I cant employ you to be a Doctor whereas you only know how to farm. Tribe will be the last thing to look at.

FYI: There are 44 Permanent secretaries in all ministries.
Only 9-12 of them are Kikuyu. Am not related to any of them and non gives me any favors because am their fellow tribesman.
 
Back
Top Bottom