Ruto's philanthropy exposed

Ruto's philanthropy exposed

Kama ni coffee sector wame right off madeni Mara ngapi? Hebu nambie wakulima wa miwa na mahindi Kama wanafanyiwa hivyo? Ingekua miwa zinalimwa central wange right off madeni yote ,wakulima wa miwa magharibi na kwale wamefilisika na serikali hii ambayo inaongozwa na mlevi na mwizi namba one, ana import sukari halafu anaipeleka uganda then badae wanaileta hapa eti ni ya east Africa community hawalipi ushuru wanabakia kunyanyasa wajasiriamali na wamachinga yani familia mzima ni wezi Hadi wajukuu.
Engineer nimekuelewa kabisa kw hilo, cz upendeleo upo na haujaanzia kenya..
Tatizo ukiangalia mafisadi wakuu wa hayo mashamba sio wakikuyu pekeake
 
Oh that's nice. Watamu is such a serene place.
I also have my extended family in Mpeketoni Lamu. They moved there in the 1970s due to landlessness.

Pia wao wamechoka na jubilee tena mbaya. Especially after kunyanyaswa na al-shabaab bila mandeleo.

What i like about people from there is they don't sympathize with terrorists. Watawasema kwa polisi.
Hahaaa!!watamu ni tamu, we acha tu....
Nenda ukatembee siku moja
 
Gikuyu are blessed, you can`t compare them with other tribes... we both know that Gikuyu are the Jews of Kenya. So don`t get twisted when you find them on top of every sector. They own this country..other tribes are surviving because of their favor.
Utakuta hadi Kenyatta na maafisa wengine wa juu selikalini wana akili kama hizi,
 
Umegonga ndipo kabisa, sijawai skia mtu akisema wakale ni wezi na wakati moi pia alijimilikisha vingi.

Na hii miaka minane imefungua watu wengi akili, manake pia our great guka ni mkikuyu aliye reside watamu tangia uhuru na akaoa hko hko mpka kuwazaa mababu zetu..
So nko na ndugu pia vile vile na mashemeji wasapere, na wanachokiongea kw sasa utashanga..

Hata tuko na family group kw whatsapp ma cousins wote kutoka(molo, nakuru, gilgil, nairobi, mombasa, malindi, watamu, lamu)
..so najua kile ninachokiongea
Moi aliiba Wala hatupingi hilo yeye na biwoti na kulei ni mabilionaire ,hebu nambie mkalenjini mwengine ambaye amepata utajiri wake kutokana na wizi wa Mali ya umma tofauti na hao na labda huyu Ruto ambaye wanasema ni mwizi?, Ni wapi umesikia ikisemekana moi anamiliki mashamba size ya mkoa wa nyanza Kama una ushahid huo Leta,wizi wa mashamba ulifanyika 1963 baada ya uhuru Yale mashamba ambayo yalikua yamenyakuliwa na wazungu yalinyakuliwa na Kenyatta and likes of njonjo, wakikuyu kuishi lamu sio eti walienda kwa hiari ni Kenyatta aliwapeleka baada ya kuwanyang'anya mashamba kule central,Mimi hapa Babu mzaa mama ni mkikuyu alikua na shamba githunguri kiambu, kenya ilipopata uhuru 1963 kwa sababu alikua close to Kenyatta alipewa hekari Mia mbili nyandarua Hadi leo Hilo shamba lipo tumeuzauza kidogo Kama hekari 50 hivi ,yani kinachonikera mtu anapewa tu shamba kisa na maana yupo karibu na kiongozi wa nchi, ukaenda pwani leo squatters ni wengi haswa kilifi ,taita taveta mashamba mengi yanamilikiwa kilifi na watu wa bara na waarabu kutoka Oman na Kenyatta kayaruhusu hayo ,mwarabu ambaye yupo Oman anamiliki mashamba kenya ilihali wazawa ni squatters.
 
Hiyo laumu serikali ya Britain na Kenya sio Wakikuyu

They way i see it ni kwamba na wewe unafaidika na hii regime ya jayden na burukenge wenzie. You can't hide your true colour... lazima mtolewe round hii.
 
Oh that's nice. Watamu is such a serene place.
I also have my extended family in Mpeketoni Lamu. They moved there in the 1970s due to landlessness.

Pia wao wamechoka na jubilee tena mbaya. Especially after kunyanyaswa na al-shabaab bila mandeleo.

What i like about people from there is they don't sympathize with terrorists. Watawasema kwa polisi.
Usisingizie Jubilee eti imewanyima maendeleo, jubilee ndio ya kwanza kujenga barabara ya lami huko lamu , Kwani Kenyatta senior aliyewapeleka lamu baada ya kuwanyang'anya mashamba aliwapea maendeleo yapi? Kwani lamu ndio imekuepo Leo chini ya utawala wa Jubilee? Serikali ya jomo iliendeleza sera za mkoloni za kubagua watu, huu ukabila na upendeleo serikalini ulipandwa na Kenyatta Sasa hichi kikojozi chake kilevi kinapalilia tu alichokipanda babake.
 
Macho ni yako you can see whatever you want

We are tired with your thievery. Yani miaka 6 mko mnajaza matumbo yenyu tu eti imebaki 2yrs ndio mnakumbuka big four agenda... mchomeke na moto kabisa..Riswaa
 
The so called deep state, sijui system chuma Chao kimotoni . murathe and Atwoli the urinator they will be in for a rude shock,we can not afford to take this country back to the dogs.

I wonder what he will come up with after the 14 days leave of his cabinet. I know hii will come up with new faces of looters and greedy hyenas and counting to milk this nation to try
 
Moi aliiba Wala hatupingi hilo yeye na biwoti na kulei ni mabilionaire ,hebu nambie mkalenjini mwengine ambaye amepata utajiri wake kutokana na wizi wa Mali ya umma tofauti na hao na labda huyu Ruto ambaye wanasema ni mwizi?, Ni wapi umesikia ikisemekana moi anamiliki mashamba size ya mkoa wa nyanza Kama una ushahid huo Leta,wizi wa mashamba ulifanyika 1963 baada ya uhuru Yale mashamba ambayo yalikua yamenyakuliwa na wazungu yalinyakuliwa na Kenyatta and likes of njonjo, wakikuyu kuishi lamu sio eti walienda kwa hiari ni Kenyatta aliwapeleka baada ya kuwanyang'anya mashamba kule central,Mimi hapa Babu mzaa mama ni mkikuyu alikua na shamba githunguri kiambu, kenya ilipopata uhuru 1963 kwa sababu alikua close to Kenyatta alipewa hekari Mia mbili nyandarua Hadi leo Hilo shamba lipo tumeuzauza kidogo Kama hekari 50 hivi ,yani kinachonikera mtu anapewa tu shamba kisa na maana yupo karibu na kiongozi wa nchi, ukaenda pwani leo squatters ni wengi haswa kilifi ,taita taveta mashamba mengi yanamilikiwa kilifi na watu wa bara na waarabu kutoka Oman na Kenyatta kayaruhusu hayo ,mwarabu ambaye yupo Oman anamiliki mashamba kenya ilihali wazawa ni squatters.
Mbna tu najua km kenyatta kachemsha, ukisema eti nikutajie wakale zaidi ya hao ulionitajia itakua si fair, kw sababu ukiangalia wakikuyu wengi walifanya kugawia na kenyatta..lkn akina moi waliendekeza siasa za umimi so mm sio tofauti kabisa na hao majamaa hku kenyatta akiwa ndio worse kabisa
 
Sikumchagua Uhuru Kenyatta wala babake sijui kwa nini unanilaumu.

Nafaa niulizie nani maendeleo kama sio Kenyan government ambayo iko mikononi mwa Jubilee?
Nikulaumu kwa lipi masikini wa Mungu, ukimuona uhuru ikulu unapandwa na nyege , Waswahili husema nyege na nyege ni kunyegezana Wala sisi hatuna nyege za kuwanyegeza.
 
I wonder what he will come up with after the 14 days leave of his cabinet. I know hii will come up with new faces of looters and greedy hyenas and counting to milk this nation to try
He is not changing the cabinet,ni aibu tu baada ya kuiba pesa za covid-19 Sasa ametafuta kitu Cha kudivert attention ili watu wasifwatilie pesa za covid-19 and Kenyans have short memories they will keep guessing what will happen after 14 days by the time zinaisha watakua wamesahau wizi wa pesa na maisha ya taendelea from next week utaona namba ya maambukizi ikiwa fifty badae watasema no new infections na watu watarecover wote.
 
He is not changing the cabinet,ni aibu tu baada ya kuiba pesa za covid-19 Sasa ametafuta kitu Cha kudivert attention ili watu wasifwatilie pesa za covid-19 and Kenyans have short memories they will keep guessing what will happen after 14 days by the time zinaisha watakua wamesahau wizi wa pesa na maisha ya taendelea from next week utaona namba ya maambukizi ikiwa fifty badae watasema no new infections na watu watarecover wote.

But truth be told the man is so greedy! Yani MOH only get 15% of the total covid funds..nyingine zote amenunulia pombe na kulewea na familia yake.
 
Mbna tu najua km kenyatta kachemsha, ukisema eti nikutajie wakale zaidi ya hao ulionitajia itakua si fair, kw sababu ukiangalia wakikuyu wengi walifanya kugawia na kenyatta..lkn akina moi waliendekeza siasa za umimi so mm sio tofauti kabisa na hao majamaa hku kenyatta akiwa ndio worse kabisa
No mkalenjini is a squatter in rift valley my friend let's be since at least for once , tofauti na wale ambao wanatolewa mau, moi alikua mwizi lakini kidogo alikua na utu sidhani Kama Kuna watu moi amewafurusha kwa mashamba akayachukua au hata kuwapeleka mikoa mingine ili tu abakishe mashamba yao.
 
But truth be told the man is so greedy! Yani MOH only get 15% of the total covid funds..nyingine zote amenunulia pombe na kulewea na familia yake.
The guy is beyond greedy, Nimejaribu kufikiria neno la kutumia nikashindwa, walikua wanasemaga eti Ruto ndio mwizi kipindi hichi Cha covid-19 alijiweka karantini kule Karen Sasa hizi za covid-19 iweje ziliibiwa na Ruto hakukua? Na yule mganga wa vitendawili aliingizwa box akadanganywa eti atapewa urais Sasa ndio Hawa waibe Kama amekimya ,yani sijamuona kilaza Kama yule jamaa wa vitendawili.
 
Hahaha so a non gikuyu is not a Kenyan? That's where your senses of superiority in this nation reach? Wewe ni bure kabisa
Si nilishalisema hilo mm[emoji23][emoji23]
Wewe si mkenya, una nyege za kutaja kujitia ukenya kimaguvu..
Mtu wa ngapi huyo, reasoning tu tayari inaonyesha ni kn unafuata mkumbo alafu unachanganya na vitu ulivyoviskia
 
Si nilishalisema hilo mm[emoji23][emoji23]
Wewe si mkenya, una nyege za kutaja kujitia ukenya kimaguvu..
Mtu wa ngapi huyo, reasoning tu tayari inaonyesha ni kn unafuata mkumbo alafu unachanganya na vitu ulivyoviskia

Sasa tunyegezane.. maana uko na nyege na mimi toka jana..

Mtu akiwa mkweli ndio sio mkenya? So you mean all kenyans are liar? Deaf and blind that they can`t see and hear whats going on in this nation? Nyie ndio mnafanya jayden aendelee kunenepea huku wengine wanazidi kuparara kuruka
 
Back
Top Bottom