Kenya 2022 Rutto wa Kenya anatumia mbinu za Hayati Magufuli katika kampeni za Urais, atashinda hakika

Kenya 2022 Rutto wa Kenya anatumia mbinu za Hayati Magufuli katika kampeni za Urais, atashinda hakika

Kenya 2022 General Election

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama unafuatilia kwa karibu kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya utagundua kuwa Naibu Rais Dr William Rutto anatumia mbinu zilizompa Rais Magufuli ushindi wa 84%

Rutto anasimama kila anapokutana na kundi la Vijana au akina mama na kufanya mikutano ya papo hapo akiwa juu ya gari.

Raila Odinga anatumia mbinu zilizomfelisha mzee Lowassa 2015.

Sabato njema!
 
Kama unafuatilia kwa karibu kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya utagundua kuwa Naibu Rais Dr William Rutto anatumia mbinu zilizompa Rais Magufuli ushindi wa 84%

Rutto anasimama kila anapokutana na kundi la Vijana au akina mama na kufanya mikutano ya papo hapo akiwa juu ya gari.

Raila Odinga anatumia mbinu zilizomfelisha mzee Lowassa 2015.

Sabato njema!
Kwani maguli aliwahi kushinda kura zozote!! Tofautisha wizi na ushima kima wewe
 
Kama unafuatilia kwa karibu kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya utagundua kuwa Naibu Rais Dr William Rutto anatumia mbinu zilizompa Rais Magufuli ushindi wa 84%

Rutto anasimama kila anapokutana na kundi la Vijana au akina mama na kufanya mikutano ya papo hapo akiwa juu ya gari.

Raila Odinga anatumia mbinu zilizomfelisha mzee Lowassa 2015.

Sabato njema!
Ndoto za matobolwa...
 
Uhuru Kenyata ndo atakaeamua nani awe Rais. Kwa sasa Rais ajae ni Raila Odinga.
nikuulize swali wwe!
Uhuru kwani alijichagua ndio akawa prezo??
Ujue sahii amekasirisha watu waliomchagua kwa kumpendelea Raila!!!kuliko Ruto!!
 
Hta moi alitaka uhuru awe rais, 2002 lkn haikua.
Sema uhuru kenyata anatka aendelee kuwa Rais Kwa backdoor
Sema moi aliruhusu demokrasia. Ila Kenyata as far as ndo aliyeko madarakani akitaka Raila ashinde atashinda tu hata kwa kuiba kura.
 
Back
Top Bottom