mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 664
Umenena kweliMagufuli alishindishwa na tume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena kweliMagufuli alishindishwa na tume
Hata yeye analijua hili kule alipoUmenena kweli
Endelea kuwadanganya mapimbi wenzako. Huelewi chochote kuhusu sheria za vyama na miungano ya kisiasa nchini Kenya. Alichofanya DP Ruto ni kujihusisha tu na chama kipya. Bila ya kutangaza rasmi uanachama wake wala kwamba atakuwa mgombea urais wa chama hicho. Alafu DP Ruto alishafurushwa kwenye chama cha Jubilee. Kisa aliendeleza sera na maadili ya chama kingine.Hao wakenya ndio hovyo kabisa katika siasa na uchaguzi, wewe umeona wapi kiongozi wa siasa ni makamo mwenyekiti wa chama lakini ameanzisha chama kingine na ndiye mgombea wa hicho chama kipya, huku bado ni makamo mwenyekiti wa chama kingine?, Kenya hakuna siasa ila ni kila mtu kujitafutia maisha