Hao wakenya ndio hovyo kabisa katika siasa na uchaguzi, wewe umeona wapi kiongozi wa siasa ni makamo mwenyekiti wa chama lakini ameanzisha chama kingine na ndiye mgombea wa hicho chama kipya, huku bado ni makamo mwenyekiti wa chama kingine?, Kenya hakuna siasa ila ni kila mtu kujitafutia maisha