Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Sisi tukikaa mbele huwa hatujaribu kuchuma tembele kama nyie.Unakumbuka msimu uliopita mlipojaribu kuchuma tembele ilikuwaje?Sawa kumbuka na nyie mnapambana mkae mbele, hivyo siku ambayo mtakuwa mbele na Yanga nao watakuwa matakoni kwenu kama ilivyosasa kwa Simba. Jitahidi kupambana kukaliwa nyuma na nyie