Labda mayele wa Tungi StarsHivi mugalu bado yupo tu, lakini skienda yanga anamuweka bench mayele
Ndio hawa hawa Simba waliingia kipindi cha kwanza kwa nguvu sana wakawa wana press sana hasa wakipoteza mipira halafu wao Ruvu wakawa wanacheza wanapa uhuru wachezaji wa Simba.Hawa Ruvu ndo walicheza na Yanga Dar au si hawa?
Umezoea kuwadanganya wanao sana wewe,uacheBora tumekosa lingechafua CV hili goli
Aliwahi kosa mara moja akiwa na timu ya TaifaNyoni sijawahi kumuona anakosa tuta tangu nimemfahamu
Okay,leo amejichafulia gazetiAliwahi kosa mara moja akiwa na timu ya Taifa
Kuna yule wa Azam Aggrey Moris nae ni mpigaji mzuri.Okay,leo amejichafulia gazeti