Ruvuma: Afikishwa mahakamani kwa kuzaa na binti yake. Alimlaghai kwa kumwambia anamtibu kupitia uume wake

Ruvuma: Afikishwa mahakamani kwa kuzaa na binti yake. Alimlaghai kwa kumwambia anamtibu kupitia uume wake

Nyanda za juu kusini wnaa mambo ya ajabu sana.

Juzi jamaa amembaka mama yake na kisha baba yake akamuwekeza dhamana na jamaa ametoweka kusikojulikana.

Yaani ubake mama yako kisha baba yako aje kukuwekeza zamana halafu utoweke kusikojulikana.

Kwa ufupi ni kwamba baba na mtoto walifanya ama walikula njama dogo ambake mama yake.

Ukiuliza utaambiwa ni mganga alisema.
Walitoweka wote kusikojulikana baba na mtoto aliembaka mama yake,
 
Nyanda za juu kusini wnaa mambo ya ajabu sana.

Juzi jamaa amembaka mama yake na kisha baba yake akamuwekeza dhamana na jamaa ametoweka kusikojulikana.

Yaani ubake mama yako kisha baba yako aje kukuwekeza zamana halafu utoweke kusikojulikana.

Kwa ufupi ni kwamba baba na mtoto walifanya ama walikula njama dogo ambake mama yake.

Ukiuliza utaambiwa ni mganga alisema.
Huyo jamaa aliyembaka mama yake alishakamatwa na tayari kaianza safari ya hukumu yake
 
Mkazi wa kijiji cha Luhagala, kata ya Litumbandyosi wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma, Aleyanda Mdendemi (54) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wake wawili na kuzaa na mmoja kati yao.

Akisomewa mashtaka hayo na mwendesha mashtaka wa polisi, Inspekta Seilf Kilungwe mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Ally Mkama amedai kuwa mbali na kufanya mapenzi na mabinti zake, pia anatuhumiwa kumuachisha masomo binti yake wa shule ya sekondari.

Mshtakiwa huyo ambaye ni baba mzazi wa watoto hao wawili anadaiwa kutenda makosa hayo katika nyakati tofauti ambapo katika faili la kwanza anatuhumiwa kufanya mapenzi na binti yake (17) mwanafunzi wa kidato cha tatu, Desemba mwaka jana shambani kwao Kata ya Amani Makolo akidai anamtibu kupitia uume wake, kwani binti huyo alikuwa mgonjwa.

Aidha, mwendesha mashtaka ameendelea kudai kuwa mshtakiwa aliendelea kumlaghai binti huyo na kuendelea kufanya naye kitendo hicho kwa kipindi chote wakiwa shambani mpaka waliporudi kijiji cha Luhagala tayari binti yake alikuwa mjamzito na kisha kujifungua mtoto.

Credit: Swahili Times
Ah jamaa kaona bora vizuri ale mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣
 
Shetani kabisa.
Si mnaonaga sifa kusifiana ushetani, msifieni sasa mwenzenu kawawakilisha.
 
Mkazi wa kijiji cha Luhagala, kata ya Litumbandyosi wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma, Aleyanda Mdendemi (54) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wake wawili na kuzaa na mmoja kati yao.

Akisomewa mashtaka hayo na mwendesha mashtaka wa polisi, Inspekta Seilf Kilungwe mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Ally Mkama amedai kuwa mbali na kufanya mapenzi na mabinti zake, pia anatuhumiwa kumuachisha masomo binti yake wa shule ya sekondari.

Mshtakiwa huyo ambaye ni baba mzazi wa watoto hao wawili anadaiwa kutenda makosa hayo katika nyakati tofauti ambapo katika faili la kwanza anatuhumiwa kufanya mapenzi na binti yake (17) mwanafunzi wa kidato cha tatu, Desemba mwaka jana shambani kwao Kata ya Amani Makolo akidai anamtibu kupitia uume wake, kwani binti huyo alikuwa mgonjwa.

Aidha, mwendesha mashtaka ameendelea kudai kuwa mshtakiwa aliendelea kumlaghai binti huyo na kuendelea kufanya naye kitendo hicho kwa kipindi chote wakiwa shambani mpaka waliporudi kijiji cha Luhagala tayari binti yake alikuwa mjamzito na kisha kujifungua mtoto.

Credit: Swahili Times
Yaani Wanawake water hao Waliojaa, unamtamani Binti Yako Hadi Kuzaa naye?!
Mzee aende TU zaidi ya Miaka 30!
Hakuna haja ya Kesi Hapo! Ni kupoteza TU Muda.....
 
Mzee ni too much akale miaka 30 ila Msichana wa miaka 17 naye ni mbumbumbu....
 
Alafu bado utakuta kuna binadamu wanamtetea kwenye kesi yake...
 
Mkazi wa kijiji cha Luhagala, kata ya Litumbandyosi wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma, Aleyanda Mdendemi (54) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wake wawili na kuzaa na mmoja kati yao.

Akisomewa mashtaka hayo na mwendesha mashtaka wa polisi, Inspekta Seilf Kilungwe mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Ally Mkama amedai kuwa mbali na kufanya mapenzi na mabinti zake, pia anatuhumiwa kumuachisha masomo binti yake wa shule ya sekondari.

Mshtakiwa huyo ambaye ni baba mzazi wa watoto hao wawili anadaiwa kutenda makosa hayo katika nyakati tofauti ambapo katika faili la kwanza anatuhumiwa kufanya mapenzi na binti yake (17) mwanafunzi wa kidato cha tatu, Desemba mwaka jana shambani kwao Kata ya Amani Makolo akidai anamtibu kupitia uume wake, kwani binti huyo alikuwa mgonjwa.

Aidha, mwendesha mashtaka ameendelea kudai kuwa mshtakiwa aliendelea kumlaghai binti huyo na kuendelea kufanya naye kitendo hicho kwa kipindi chote wakiwa shambani mpaka waliporudi kijiji cha Luhagala tayari binti yake alikuwa mjamzito na kisha kujifungua mtoto.

Credit: Swahili Times
duh hatari.
 
Back
Top Bottom