Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba dogo anasikika sana redioni boss mkuu mamake😀Itakuwa boss mkuu ni mama yako
Bakini na umaskini wenu.Ruvuma tuandamane ili tupate nn?
1. Songea Mjini, Tunduru, Peramiho, Mbinga, Nyasa kote ni kijani.
2. Mbolea, Pembejeo ruzuku kama zote.
3. Lami mpaka ziwa Nyasa .
Ngoni migrants hamna sababu sio Watanganyika endeleeni kulima mahindi 🤣🤣🤣Ruvuma tuandamane ili tupate nn?
1. Songea Mjini, Tunduru, Peramiho, Mbinga, Nyasa kote ni kijani.
2. Mbolea, Pembejeo ruzuku kama zote.
3. Lami mpaka ziwa Nyasa .
Hamna mtu anasubiri wasiojitambua kuandamana, nyie subirini mletewe maendeleo kwa hisani.Hatuandamani Ng'o
Nyie endeleeni kulima mahindi, mkileta hapa mjini tunanunua gunia kwa shilingi 25,000. Mtaendelea kuumia sana sisi tuko mjini tunanunua mazao yenu kwa bei ya kutupa na hakuna kitu mtafanya.Tupo bize na tamasha la utamaduni
Ruvuma tuandamane ili tupate nn?
1. Songea Mjini, Tunduru, Peramiho, Mbinga, Nyasa kote ni kijani.
2. Mbolea, Pembejeo ruzuku kama zote.
3. Lami mpaka ziwa Nyasa .
Ruvuma Nyerere aliiweka tu kubalance ramani ya Tanganyika,ila hamna chochote mnachocgangia kwenye pato la taifaRuvuma tuandamane ili tupate nn?
1. Songea Mjini, Tunduru, Peramiho, Mbinga, Nyasa kote ni kijani.
2. Mbolea, Pembejeo ruzuku kama zote.
3. Lami mpaka ziwa Nyasa .
Big 4? Ipe tu nafasi ya kwanza kwakua ujinga ni fanaka!Big 4 Ruvuma ndani