Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Muwe mnasoma Habari kabla ya kucomment Mwanafunzi ni wa Darasa la SabaHii sio sawa, miezi 6 tu inatosha, maana huyo mwanafunzi unaweza kuta ana miaka 20 na yupo form 6. Hivyo tafsiri ya kubaka inapungua nguvu, maana amekubali mwenyewe kushiriki, japo kisheria bado ni ubakaji.
Hakuna shida mkuu,nilistuka kidogo nikajua lazima wwe utakua foreigner,hujui la saba kama ni primary ndani ya Tanzania !!basi wameedit sasa hv mkuu mwanzo hawakuandika hayo maelezo
We jamaa una roho ngumu sanaSio miingi saaaaana ,ila Kwa uchache inamtosha
hapana mkuu yaan nilisoma hatua kwa hatua 😀😀 mwandishi hakuweka taarifa yoteHakuna shida mkuu,nilistuka kidogo nikajua lazima wwe utakua foreigner,hujui la saba kama ni primary ndani ya Tanzania !!
nawe uwe unaskiliza hoja kabla ya kuropoka huo uzi umeeditiwa uliza walioanza kuusoma mwanzo kabsaMuwe mnasoma Habari kabla ya kucomment Mwanafunzi ni wa Darasa la Saba
Kwamba nilikurupuka 🤣nawe uwe unaskiliza hoja kabla ya kuropoka huo uzi umeeditiwa uliza walioanza kuusoma mwanzo kabsa
Umewahi kupewa mimba na mwalimu,kwanini useme mwalimu na sio polisi,au hakimu aliyemiga Mvua 60?Ukute mimba ni ya mwalimu yeye kasagiwa kunguni tu
hahahaha sasa jeeKwamba nilikurupuka 🤣