Tunawaendekeza sana Mamba.
Anzeni kuwatega na kuwala watakimbia hayo maeneo.
Nyasa ni ziwa kubwa halafu haliruhusiwi kuoga.
Yaani tunawaendekeza mamba kuliko binadamu.
Kuleni hao mamba ni watamu sana na watatoweka kabisa watu watumie mali asili ya ziwa kwa manufaa yao.