Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Ruvuma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Ruvuma una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9 ambayo ni:-
Songea Mjini -
Dkt. Damas Ndumbaro(CCM) - Kura 39,783
Aden Mayala(CHADEMA) - Kura 15,146
Nyasa:
Eng. Stella Manyanya (CCM) - Kura 34,937
Casberth Kiwango(CHADEMA) - Kura 4,055.
Tunduru Kaskazini -
Hassan Kungu (CCM)
Tunduru Kusini -
Daimu Mpakate (CCM) - Kura 26,982
Abdalah Mtutula (ACT Wazalendo) - Kura 23,968.
Peramiho -
Jenista Mhagama (CCM) - Kura 27,479
Silvester Mapunda (CHADEMA) - Kura 3,440
Namtumbo -
Vita Kawawa (CCM)
Madaba -
Joseph Kizito Mhagama - amepita bila kupingwa
Mbinga Mjini -
Jonas William Mbunda (CCM) - Kura 26,698
Efrem Milinga (CCM) - 5,243
Mbinga Vijijini -
Benaya Kapinga (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Ruvuma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Ruvuma una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9 ambayo ni:-
Songea Mjini -
Dkt. Damas Ndumbaro(CCM) - Kura 39,783
Aden Mayala(CHADEMA) - Kura 15,146
Nyasa:
Eng. Stella Manyanya (CCM) - Kura 34,937
Casberth Kiwango(CHADEMA) - Kura 4,055.
Tunduru Kaskazini -
Hassan Kungu (CCM)
Tunduru Kusini -
Daimu Mpakate (CCM) - Kura 26,982
Abdalah Mtutula (ACT Wazalendo) - Kura 23,968.
Peramiho -
Jenista Mhagama (CCM) - Kura 27,479
Silvester Mapunda (CHADEMA) - Kura 3,440
Namtumbo -
Vita Kawawa (CCM)
Madaba -
Joseph Kizito Mhagama - amepita bila kupingwa
Mbinga Mjini -
Jonas William Mbunda (CCM) - Kura 26,698
Efrem Milinga (CCM) - 5,243
Mbinga Vijijini -
Benaya Kapinga (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.