LGE2024 Ruvuma: Mkuu wa Mkoa Ahmed Abas ashiriki kwenye zoezi la kupiga kura Songea

LGE2024 Ruvuma: Mkuu wa Mkoa Ahmed Abas ashiriki kwenye zoezi la kupiga kura Songea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Leo Novemba 27,2024 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas akiwa ameongozana Mkewe Bi.Riziki kwa pamoja wameungana na Watazania Wengine kushiriki katika zoezi la kupiga kura za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kituo Ofisi ya Kata Namba Moja kilichopo Mtaa wa Mahenge Manispaa ya Songea .

Kanali Ahmed amewasihi na kuwahimiza Wananchi wote Mkoani humo ambao bado hawajakamilisha zoezi ilo la kupiga kura za Uchaguzi wa Serikali za mitaa waendelee kujitokeza kwa wingi katika Vituo vyao walivyojiandikisha

 
Leo Novemba 27,2024 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas akiwa ameongozana Mkewe Bi.Riziki kwa pamoja wameungana na Watazania Wengine kushiriki katika zoezi la kupiga kura za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kituo Ofisi ya Kata Namba Moja kilichopo Mtaa wa Mahenge Manispaa ya Songea .

Kanali Ahmed amewasihi na kuwahimiza Wananchi wote Mkoani humo ambao bado hawajakamilisha zoezi ilo la kupiga kura za Uchaguzi wa Serikali za mitaa waendelee kujitokeza kwa wingi katika Vituo vyao walivyojiandikisha

View attachment 3163357
Asante RC tumekupata vilivyo na hongera kwa miongozo yako na kwa kuonyesha mfano
 
Back
Top Bottom