Pre GE2025 Ruvuma: Naibu Waziri na Madiwani Mbinga wamshukuru Rais Samia kwa kuimba na kupiga magoti

Pre GE2025 Ruvuma: Naibu Waziri na Madiwani Mbinga wamshukuru Rais Samia kwa kuimba na kupiga magoti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Salam Wakuu,

Aisee tunawasema akina Mwijaku kila mara kuwa chawa utafikiri hawana ubongo, kubwa zaidi ni viongozi wa CCM. Aisee, na Rais anashukuru kabisa, kukubali yeye kajenga miradi, yeye katoa hela, etc. Bila wananchi kulipa kodi zingtoka wapi?

Pia soma:

Yaani kila kiongozi ni kujikomba tu ili apate uhakika wa kuonwa na Mama, 2025 mambo yatakuwa balaa, kuna watu naona watauza roho zao mradi tu waonekane! Ni huzuni!

Kwenye video ni Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga na Madiwani wakitetea ugali wao, baada ya Jenista wa kugarauka kuonesha njia.


Pia soma: Rais Samia anazindua jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Mbinga
 
Ngoja nipite zangu wima wima nisije nikachezea ban siku imekaa ovyo sana hii mods wana stress
 
Wazungu wako sahihi,muafrica ni nyani
Unadhani wazungu nao kuna tofauti..., ukiona Republicans wanavyomtetea Trump na kujitoa ufahamu utagundua kwamba this day and age politicians wote ni wachumia matumbo...
 
Aisee mashemeji zangu hao.

Watu humble sana.
 
Sijajua mila zao zipoje, ila kama ni mila ya asili siwashangai, sababu tunatofautiana mahali na chimbuko tunapotokea

Wengine ni desturi yao, na sio uchawa

Mfano issue ya kugalagala kwa watu wa kusini, au wengine kulala uwakanyage ni ishara ya heshima sio uchawa
 
Sijajua mila zao zipoje, ila kama ni mila ya asili siwashangai, sababu tunatofautiana mahali na chimbuko tunapotokea

Wengine ni desturi yao, na sio uchawa

Mfano issue ya kugalagala kwa watu wa kusini, au wengine kulala uwakanyage ni ishara ya heshima sio uchawa
:KEKWlaugh::KEKWlaugh::KEKWlaugh: we nawe bwana kwani ni mpaka uambiwe kila kitu?🤣
 
Sijajua mila zao zipoje, ila kama ni mila ya asili siwashangai, sababu tunatofautiana mahali na chimbuko tunapotokea

Wengine ni desturi yao, na sio uchawa

Mfano issue ya kugalagala kwa watu wa kusini, au wengine kulala uwakanyage ni ishara ya heshima sio uchawa
mbona hawafanyi hivyo kumfanyia aliyewaumba na kuwapa hewa ya bure kila siku..? ni laana hizi kwa unayefanyiwa, lazima ukatae!
 
Back
Top Bottom