DOKEZO Ruvuma: Souwasa mnatupiga sana bila hata huruma

DOKEZO Ruvuma: Souwasa mnatupiga sana bila hata huruma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Sep 23, 2024
Posts
64
Reaction score
43
mamlaka ya maji Safi Na usafi WA mazingira Songea(SOUWASA) mnawaumiza sana wateja wenu bill mnazotoa Ni kubwa kuliko matumizi. Nyumba ambayo imefungwa maji hayatumiki Kwa mwezi nzima mnatoa bill kuwa mteja anadaiwa laki tatu na themanini na Saba wakati matumizi yake Kwa mwezi hayajawahi kufika hata elfu 30 na miundo mbinu ya maji kuingia nyumbani kwake hakuna sehemu maji yanavuja.

Na wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu suala la bill kutoka tofauti Na matumizi Na hakuna majibu yoyote Zaidi ya kutakiwa kulipa deni.
Basi kabla hamjatoa hizo bill fuatilieni matumizi ya mteja kila mwezi ili muweke ulinganifu walau unaokaribia ukweli.
 

Attachments

  • Screenshot_20250222-103417.png
    Screenshot_20250222-103417.png
    93 KB · Views: 2
Umewahi kwenda ofisi zao na kuangalia ikiwa kuna deni?
 
Mbona vilio ni vingi sana kuhusu bill za maji? Dooh
 
mamlaka ya maji Safi Na usafi WA mazingira Songea(SOUWASA) mnawaumiza sana wateja wenu bill mnazotoa Ni kubwa kuliko matumizi. Nyumba ambayo imefungwa maji hayatumiki Kwa mwezi nzima mnatoa bill kuwa mteja anadaiwa laki tatu na themanini na Saba wakati matumizi yake Kwa mwezi hayajawahi kufika hata elfu 30 na miundo mbinu ya maji kuingia nyumbani kwake hakuna sehemu maji yanavuja.

Na wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu suala la bill kutoka tofauti Na matumizi Na hakuna majibu yoyote Zaidi ya kutakiwa kulipa deni.
Basi kabla hamjatoa hizo bill fuatilieni matumizi ya mteja kila mwezi ili muweke ulinganifu walau unaokaribia ukweli.
Jaribu kuwasiliana na Mamlaka kuna uwezekano mkubwa kulikuwa na uvujaji wa maji kwenye miundombinu ya mbele ya mita yako. Hata wewe unaweza kufuatilia kwa sababu kwenye hiyo bili yako inaonyesha usomaji wa mita wa sasa hivyo ni rahisi kulinganisha na usomaji kwenye mita yako.
 
mamlaka ya maji Safi Na usafi WA mazingira Songea(SOUWASA) mnawaumiza sana wateja wenu bill mnazotoa Ni kubwa kuliko matumizi. Nyumba ambayo imefungwa maji hayatumiki Kwa mwezi nzima mnatoa bill kuwa mteja anadaiwa laki tatu na themanini na Saba wakati matumizi yake Kwa mwezi hayajawahi kufika hata elfu 30 na miundo mbinu ya maji kuingia nyumbani kwake hakuna sehemu maji yanavuja.

Na wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu suala la bill kutoka tofauti Na matumizi Na hakuna majibu yoyote Zaidi ya kutakiwa kulipa deni.
Basi kabla hamjatoa hizo bill fuatilieni matumizi ya mteja kila mwezi ili muweke ulinganifu walau unaokaribia ukweli.

mamlaka ya maji Safi Na usafi WA mazingira Songea(SOUWASA) mnawaumiza sana wateja wenu bill mnazotoa Ni kubwa kuliko matumizi. Nyumba ambayo imefungwa maji hayatumiki Kwa mwezi nzima mnatoa bill kuwa mteja anadaiwa laki tatu na themanini na Saba wakati matumizi yake Kwa mwezi hayajawahi kufika hata elfu 30 na miundo mbinu ya maji kuingia nyumbani kwake hakuna sehemu maji yanavuja.

Na wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu suala la bill kutoka tofauti Na matumizi Na hakuna majibu yoyote Zaidi ya kutakiwa kulipa deni.
Basi kabla hamjatoa hizo bill fuatilieni matumizi ya mteja kila mwezi ili muweke ulinganifu walau unaokaribia ukweli.
hawawezi kumpambikia mteja bili hiyo nyumba itakuwa na mvujo mahali. mwambie akague miundo mbinu yake alafu atuletee feedback hapa
 
Back
Top Bottom