Rwanda awa mfano wa kuigwa kwa kupeleka wanajeshi 1,000 Msumbiji, huku waoga wakiendelea kusuasua

Rwanda awa mfano wa kuigwa kwa kupeleka wanajeshi 1,000 Msumbiji, huku waoga wakiendelea kusuasua

Ni kweli kabisa Rwanda imeaibisha nchi kubwa na pamoja na kwenda huko hutoona magaidi wanavamia vyuoni na kuuwa wanafunzi wala hutosikia kambi ya Rwanda imevamiwa na askari kubakwa na kuuwawa
Ni ngumu sana magaidi kuvamia Rwanda due to its geographical location same to Zambia ila Tanzania happened to be within their range by accident n the surprised attack on them after attack our village go ask about in the Mozambican village at the border they will tell you. Sisi Tanzania huwa we don't brag you clawns.
 
Ni ngumu sana magaidi kuvamia Rwanda due to its geographical location same to Zambia ila Tanzania happened to be within their range by accident n the surprised attack on them after attack our village go ask about in the Mozambican village at the border they will tell you. Sisi Tanzania huwa we don't brag you clawns.
We fofo hujanywa supu kiti-mtu yakutosha. Unless you live in ze land outside your brain.
Who doesnt know what happened on ze
September eleven in new york??
Bragging my azz!!
 
Halafu Rwanda wametia aibu majitu yote ya SADC, kazi kuongea ongea huko ilhali mikia mumekunja.....hehehe Kagame bana, huwa namkubali sana jamaa, huwa hatanii, kainchi kadogo size ya mkoa lakini ndio kanaskika Afrika yote.


Kanchi kadogo ili kajulikane inabidi kajitutumue katika mambo mengi.

Kanatafuta kicks za misaada kutoka USA (on war against terrorism). Kagame mjanja.
 
Sasa Tanzania tunaingiaje hapo man, we Foo nn, wacha kiherehere, y you Kenyans obsessed with Tanzania
Huwa mnajiita wakombozi wa Afrika, iweje muogope sasa...
 
Anastahili kuwa rais wa Afrika, mjasiri hana uwoga na tena ana sera nzuri sana za kiuchumi...
Huu uzi hapa chini utakufundisha kitu Kwanini nchi ya Rwanda imeendelea kuliko Mkoa wa Kagera?


Sio sahihi kulinganisha Rwanda na mkoa wa Kagera, Rwanda ni nchi kagera ni mkoa ndani ya nchi, Rwanda ina Wakazi takriban 7millions wakati kagera ni hardly 2millions, Rwanda inapewa misaada na mikopo ya maendeleo ya kimataifa wakati kagera inategemea vyanzo vya halmashauri na serikali kuu inayohudumia mikoa zaidi ya 20 kila mmoja unafanana na Rwanda kwa ukubwa, sio sahihi kuilinganisha Rwanda na mkoa wa Tz, Rwanda ilinganishwe na Gambia, Burundi, Lesotho, Malawi, nchi ya Zanzibar nk.
 
Halafu Rwanda wametia aibu majitu yote ya SADC, kazi kuongea ongea huko ilhali mikia mumekunja.....hehehe Kagame bana, huwa namkubali sana jamaa, huwa hatanii, kainchi kadogo size ya mkoa lakini ndio kanaskika Afrika yote.
Huwezi kuingia kwenye vita ambayo adui yako haeleweki.....
unafikiri Tz ni Kenya kumbafu kabisa....
 
Huwezi kuingia kwenye vita ambayo adui yako haeleweki.....
unafikiri Tz ni Kenya kumbafu kabisa....
Mnachekesha sana nyie watu, yaani wale tayari walishaingia kwenye vita na ninyi, wamechinja wanavjiji wenu, ila kwa uwoga wenu mnasema hamtaki kuingia kwenye vita nao, maana kwamba wanajeshi wenu ni wa mapambo tu.
 
Kuchinja wanavijiji ndiko unaita kusumbua, huu uwoga wenu utawacost sana, hao wa huko Amboni walikua watoto waliolewa mipombe na bangi, hawakua wamefikia hadhi ya mashababi bin shetwan ambao hujitoa mhanga, hivyo pambaneni na ugaidi acheni misifa ya kijinga bado hamjakumbana na shughuli yenyewe, bora kuizuia mapema.
1.Brother Tanzania ni Amani tu

2. Unajua nini kinaendelea behind the enemy line ? kazi ya TPDF special forces ni ku eliminate enemy behind the enemy line .
 
Ww huwaga pumbavu flani hivi, Nashangaa wanaokazana kukujibu
Eti wanachinjwa [emoji1][emoji1] huyu jamaa mk254 atakuwa na mtindio wa ubongo .Ana haraka ya mambo hasa ,anafikili vita ni kuamka na kupigana .
 
Nimekuelewa

Wanajeshi kwenye nchi yoyote ile lazima wawe busy, hata kama itabidi wapasue matofali kuonyesha ubabe na kupiga minazi mabomu, wakikaa idle huwa hatari. Lakini huwa hovyoo pale mshambuliwe na magaidi kiholela halafu wasifanye chochote zaidi ya kupita pita na madifenda na magari yao.
 
Wanajeshi kwenye nchi yoyote ile lazima wawe busy, hata kama itabidi wapasue matofali kuonyesha ubabe na kupiga minazi mabomu, wakikaa idle huwa hatari. Lakini huwa hovyoo pale mshambuliwe na magaidi kiholela halafu wasifanye chochote zaidi ya kupita pita na madifenda na magari yao.
Si kama Kenya mnavyouawa kila siku .
 
Si kama Kenya mnavyouawa kila siku .

Hongereni nimeona vyombo vyenu vya habari vimeanza kufanya kazi kwa kutoa taarifa zenu kama zilivyo bila kuogopa ogopa, mlikua mumeanza kuishi kama Korea Kaskazini, yaani maovu yanafichwa ndani kwa ndani.

Sasa hivi matukio yenu yanaangazwa balaa, ndani ya wiki moja tu mara mwanamke kamchoma jamaa ndani ya nyumba, mara jamaa fulani amefyatua marisasi na kuua kisa kadaiwa bill ya bar, mambo kama haya mliyaficha sana na kukomalia yakitangazwa ya Kenya....

 
Hongereni nimeona vyombo vyenu vya habari vimeanza kufanya kazi kwa kutoa taarifa zenu kama zilivyo bila kuogopa ogopa, mlikua mumeanza kuishi kama Korea Kaskazini, yaani maovu yanafichwa ndani kwa ndani.

Sasa hivi matukio yenu yanaangazwa balaa, ndani ya wiki moja tu mara mwanamke kamchoma jamaa ndani ya nyumba, mara jamaa fulani amefyatua marisasi na kuua kisa kadaiwa bill ya bar, mambo kama haya mliyaficha sana na kukomalia yakitangazwa ya Kenya....

Kwani huwa wanatoa taarifa za wapi kabla.
 
Kwani huwa wanatoa taarifa za wapi kabla.

Mliwaminya sana walikua wanatoa taarifa za hali ya anga na sijui mara Diamond mara Kiba, ila sasa wameachiwa fulu, mtaanikwa kwa vyote.
 
Back
Top Bottom