Rwanda Extends a Helping Hand to Haiti After Devastating Earthquake

Rwanda Extends a Helping Hand to Haiti After Devastating Earthquake

Nyie kaeni tu msije kusikia watu wanazamia kwenda Rwanda! shoot!
wapwa zangu wawili walienda 2008, ni waalimu wa primary school: mishahara yao tz haikuzidi 400,000! i've bn tld wanalipwa two to three x in Rwanda!!!!!!!
 
TANZANIA IMEKOSA VIONGOZI NDIO TATIZO labda JK aende Kingston kupanda bembea za kijamaika na mama Kikwete , it is big embarrssment leo Rais hana hata watu wa kuongoza Protocol pale Ikulu anaaibika hapo hapo nyumbani na kushindwa kukabidhi msaada wa Ambullance hile ni lack of leadership. Nitawakumbusha mara moja JK alitembelea Washington na kukutana na Watanzania nyumbani kwa BAlozi basi nilikaa na Mzungu mmoja nikaambiwa huyu ni Balozi wetu wa Heshima kule Chicago , nikauliza hii protocol ikoje mbona watoto wa Kijiweni wa Washington DC wamekaaa na RAIs iweje huyu BAlozi wetu wa heshima akae na sisi mpaka yule Mzungu alipotambulishwa kwa kwa RAIS aliuliza imekuaje huyu mtu hakupewa hata kiti cha kukaaa RAIS alimwita kwenye high table kukaa nae na kumshukuru kwa kujitolea kuitangaza TZ kule Chicago.
Hii ndio Bongo yetu,
 
bila kujali nini wala nini...mafano tu kila Inchi hapa Duniani Kupitia UN ikitoa dola 100,000$ itakua jambo zuri sana...

Mambo yamebadilika..dunia sasa kama kijiji... tatizo la Haiti ni letu sote...
Ipo siku yana weza kutukuta yalio wakuta Haiti
 
TANZANIA IMEKOSA VIONGOZI NDIO TATIZO labda JK aende Kingston kupanda bembea za kijamaika na mama Kikwete , it is big embarrssment leo Rais hana hata watu wa kuongoza Protocol pale Ikulu anaaibika hapo hapo nyumbani na kushindwa kukabidhi msaada wa Ambullance hile ni lack of leadership. Nitawakumbusha mara moja JK alitembelea Washington na kukutana na Watanzania nyumbani kwa BAlozi basi nilikaa na Mzungu mmoja nikaambiwa huyu ni Balozi wetu wa Heshima kule Chicago , nikauliza hii protocol ikoje mbona watoto wa Kijiweni wa Washington DC wamekaaa na RAIs iweje huyu BAlozi wetu wa heshima akae na sisi mpaka yule Mzungu alipotambulishwa kwa kwa RAIS aliuliza imekuaje huyu mtu hakupewa hata kiti cha kukaaa RAIS alimwita kwenye high table kukaa nae na kumshukuru kwa kujitolea kuitangaza TZ kule Chicago.
Hii ndio Bongo yetu,

DUH!!....Tupo kienyeji sana...
 
Tatizo la Tanzania viongozi wanataka kupewa bila yao kutoa. Kwa kanuni za utoaji hata Mungu hayupo hivyo hivyo sijui vipi hata chakula tunashindwa kutoa haya ni matatizo makubwa sana. Hivi watu wanaohusika na mambo haya hawaoni ay ndio wako katika Kampeni mwaka huu??? jamni vipi??
 
Back
Top Bottom