TANZANIA IMEKOSA VIONGOZI NDIO TATIZO labda JK aende Kingston kupanda bembea za kijamaika na mama Kikwete , it is big embarrssment leo Rais hana hata watu wa kuongoza Protocol pale Ikulu anaaibika hapo hapo nyumbani na kushindwa kukabidhi msaada wa Ambullance hile ni lack of leadership. Nitawakumbusha mara moja JK alitembelea Washington na kukutana na Watanzania nyumbani kwa BAlozi basi nilikaa na Mzungu mmoja nikaambiwa huyu ni Balozi wetu wa Heshima kule Chicago , nikauliza hii protocol ikoje mbona watoto wa Kijiweni wa Washington DC wamekaaa na RAIs iweje huyu BAlozi wetu wa heshima akae na sisi mpaka yule Mzungu alipotambulishwa kwa kwa RAIS aliuliza imekuaje huyu mtu hakupewa hata kiti cha kukaaa RAIS alimwita kwenye high table kukaa nae na kumshukuru kwa kujitolea kuitangaza TZ kule Chicago.
Hii ndio Bongo yetu,