Tetesi: Rwanda inaongoza kwa Mambo ya kiintelejensia Afrika.

Tetesi: Rwanda inaongoza kwa Mambo ya kiintelejensia Afrika.

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
4,580
Reaction score
7,943
Habari!
Rwanda iko mbele sana kiintelejensia. Wameweza kutoa masomo ya kiintelejensia kwa karibia vijana wao wote.

Simaanishi wote ni watumishi wa Chombo cha usalama wa Taifa la Rwanda ila wengi ni maagent.

-Rwanda hesabu ya wendawazimu wote inajulikana , wamepewa watu maalumu wa kuwaangalia. Ukienda kichwakichwa kujifanya chizi utadakwa haraka.

- Ukioa Mrwanda jua kuwa mtoto wa kwanza atazaa na Mrwanda mwenzake ili azae Mrwanda atakayekulia ugenini bila kumjua ilhali sisi tukimhesabu ni Mwenzetu. Huyu atakuwa nchini kwa manufaa yao.

Nitaleta hints zaidi nikitulia sasa niko busy kidogo. Nasikia hadi mabody guards wa wakuu kadhaa wa nchi za nje ya Rwanda wengi wao ni Wanyarwanda.
 
Hata
Habari!
Rwanda iko mbele sana kiintelejensia. Wameweza kutoa masomo ya kiintelejensia kwa karibia vijana wao wote. Simaanishi wote ni watumishi wa Chombo cha usalama wa Taifa la Rwanda ila wengi ni maagent.
-Rwanda hesabu ya wendawazimu wote inajulikana , wamepewa watu maalumu wa kuwaangalia. Ukienda kichwakichwa kujifanya chizi utadakwa haraka.
- Ukioa Mrwanda jua kuwa mtoto wa kwanza atazaa na Mrwanda mwenzake ili azae Mrwanda atakayekulia ugenini bila kumjua ilhali sisi tukimhesabu ni Mwenzetu. Huyu atakuwa nchini kwa manufaa yao.
*Nitaleta hints zaidi nikitulia sasa niko busy kidogo. Nasikia hadi mabody guards wa Mkurlu wengi wao ni Wanyarwanda.
Ngoja niachane na hayo mambo nimepiga kelele sana wacha tutafunwe
 
Tetesi ni kiashiria cha ukuda na umbeaumbea tu
acha kuharibu uzi wa mwenzio. fungua wako. ungekuwa unajua lolote basi ungeandika cha maana: either kusapoti rwanda au kupinga hoja ya mkulu kulindwa na warwanda.
 
naona pia watanzania weng wanawakimbilia san a wanawake wa kinyarwanda awajui whats next mtaan tunao wengi sana wanajifanya watanzania dam dam
 
Ongea mengine ila ishu ya kuhisisha walinzi wa mkuu wa nchi kuwa ni wanyarwanda iache Mara moja,
Usidhani jf ni mbinguni.
 
Ongea mengine ila ishu ya kuhisisha walinzi wa mkuu wa nchi kuwa ni wanyarwanda iache Mara moja,
Usidhani jf ni mbinguni.
May be ana facts, that's why we dare to speak openly!
 
I
Habari!
Rwanda iko mbele sana kiintelejensia. Wameweza kutoa masomo ya kiintelejensia kwa karibia vijana wao wote.

Simaanishi wote ni watumishi wa Chombo cha usalama wa Taifa la Rwanda ila wengi ni maagent.

-Rwanda hesabu ya wendawazimu wote inajulikana , wamepewa watu maalumu wa kuwaangalia. Ukienda kichwakichwa kujifanya chizi utadakwa haraka.

- Ukioa Mrwanda jua kuwa mtoto wa kwanza atazaa na Mrwanda mwenzake ili azae Mrwanda atakayekulia ugenini bila kumjua ilhali sisi tukimhesabu ni Mwenzetu. Huyu atakuwa nchini kwa manufaa yao.

Nitaleta hints zaidi nikitulia sasa niko busy kidogo. Nasikia hadi mabody guards wa Mkurlu wengi wao ni Wanyarwanda.
Ila sisi watanzania ni waoga sana, unakuta MTU ana mke na watoto anawaogopa hawa wanyarwanda, ivi kwa nn? Mnawaogopa hawa jamaaa. Ngoja nikutoe wasisi kwamba kuna wanyarwanda wengi waliozaliwa apa Tanzania na wana uraia wa Tanzania, sisi tunaokaaa maeneo ya kagera kuna wanyarwanda wengi tuuu, mbona tunaishi nao tokea kitambo sana, na tumezaliana nao sasa wewe kaa uendelee kuogopa ogopa. Mambo ya jiografia uwezi kufanya chochote hayo ni maswala ya jiografia
Ni sawa na wamakonde wa mtwara na msumbiji
Ni sawa na wamasai wa arusha na Kenya
Ni sawa wahaya wa mtukula na waganda Wa maeneo ya mbarara wanafanana
Ni sawa na wajaruo wa mkoa wa Mara na wakenya
Ni saw a na wasomari Wa Tabora na wasomalia
Ni sawa na wahindi Wa Tanzania na waliopo India
Ni sawa na wasubi wa Tanzania na warundi wa Burundi.
Haya makabila yaliopo pembezoni chimbuko lake ni nchi izo za njee na ndio Maana marehemu Nyerere alisema mikoa mikubwa ya pembeni aiwezi kutoa kiongozi Mkubwa kwa sababu ya jiografia yake na nchi izo
Kwa iyo kijana punguza kuogopa ogopa wanyarwanda. Ni watu wa kawaida sana,
 
naona pia watanzania weng wanawakimbilia san a wanawake wa kinyarwanda awajui whats next mtaan tunao wengi sana wanajifanya watanzania dam dam
Hawa dawa yao ni kunyimwa uongozi Wa aina yoyote ule,hata kama amesoma/atasoma mpaka kumaliza vitabu vyote,kuanzia huyo MTANZANIA aliyezaa na mgeni mpaka kizazi chake chote.
Tanzania kwanza
Nalog off
 
naona pia watanzania weng wanawakimbilia san a wanawake wa kinyarwanda awajui whats next mtaan tunao wengi sana wanajifanya watanzania dam dam
Hawa dawa yao ni kunyimwa uongozi Wa aina yoyote ule,hata kama amesoma/atasoma mpaka kumaliza vitabu vyote,kuanzia huyo MTANZANIA aliyezaa na mgeni mpaka kizazi chake chote.
Tanzania kwanza
Nalog off
 
Hawa dawa yao ni kunyimwa uongozi Wa aina yoyote ule,hata kama amesoma/atasoma mpaka kumaliza vitabu vyote,kuanzia huyo MTANZANIA aliyezaa na mgeni mpaka kizazi chake chote.
Tanzania kwanza
Nalog off
mkuu na wanavyojua kujituma kwenye kamati makanisani,vikao vya mtaaa na chama tawala daaaah wanashika tu nyadhifa taratibu tena ni wanawake wabaya san hawa

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Habari!
Rwanda iko mbele sana kiintelejensia. Wameweza kutoa masomo ya kiintelejensia kwa karibia vijana wao wote.

Simaanishi wote ni watumishi wa Chombo cha usalama wa Taifa la Rwanda ila wengi ni maagent.

-Rwanda hesabu ya wendawazimu wote inajulikana , wamepewa watu maalumu wa kuwaangalia. Ukienda kichwakichwa kujifanya chizi utadakwa haraka.

- Ukioa Mrwanda jua kuwa mtoto wa kwanza atazaa na Mrwanda mwenzake ili azae Mrwanda atakayekulia ugenini bila kumjua ilhali sisi tukimhesabu ni Mwenzetu. Huyu atakuwa nchini kwa manufaa yao.

Nitaleta hints zaidi nikitulia sasa niko busy kidogo. Nasikia hadi mabody guards wa wakuu kadhaa wa nchi za nje ya Rwanda wengi wao ni Wanyarwanda.
Huu ni ujinga usiotakiwa ....!!! Stop hadith za alfu ulela ulela .....!!! Ukileta mada ndani ya GT ..hakikisha umejipanga ....sio watuletea umbea aisee .....!!!..[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Hawa dawa yao ni kunyimwa uongozi Wa aina yoyote ule,hata kama amesoma/atasoma mpaka kumaliza vitabu vyote,kuanzia huyo MTANZANIA aliyezaa na mgeni mpaka kizazi chake chote.
Tanzania kwanza
Nalog off
ACHA UBAGUZI, HAUTAKUSAIDIA POPOTE, HAUONI MATAIFA MAKUBWA KAMA UK WATOTO WA WAGENI WALIOZALIWA APA PIA WANASHIKA NAFASI KUBWA KUBWA KAMA VIONGOZI WA UHAMIAJI NA MAGAVANA, WABUNGE NK, KAMA TUTAENDELEA NA DHAMBI YA UBAGUZI ( KUWAACHA WASOMI KWA SABABU YA MAKABILA AU WAZAZI WAO SI WAZALIWA WA APA) BASI TAMBUA TUTAKUA NI MIONGONI MWA NCHI MASKINI MILELE, tunawaacha wasomi watanzania halisi tunachagua mazweta ambao hawajui chochote kwa sababu tu ni chama FLANI
 
I

Ila sisi watanzania ni waoga sana, unakuta MTU ana mke na watoto anawaogopa hawa wanyarwanda, ivi kwa nn? Mnawaogopa hawa jamaaa. Ngoja nikutoe wasisi kwamba kuna wanyarwanda wengi waliozaliwa apa Tanzania na wana uraia wa Tanzania, sisi tunaokaaa maeneo ya kagera kuna wanyarwanda wengi tuuu, mbona tunaishi nao tokea kitambo sana, na tumezaliana nao sasa wewe kaa uendelee kuogopa ogopa. Mambo ya jiografia uwezi kufanya chochote hayo ni maswala ya jiografia
Ni sawa na wamakonde wa mtwara na msumbiji
Ni sawa na wamasai wa arusha na Kenya
Ni sawa wahaya wa mtukula na waganda Wa maeneo ya mbarara wanafanana
Ni sawa na wajaruo wa mkoa wa Mara na wakenya
Ni saw a na wasomari Wa Tabora na wasomalia
Ni sawa na wahindi Wa Tanzania na waliopo India
Ni sawa na wasubi wa Tanzania na warundi wa Burundi.
Haya makabila yaliopo pembezoni chimbuko lake ni nchi izo za njee na ndio Maana marehemu Nyerere alisema mikoa mikubwa ya pembeni aiwezi kutoa kiongozi Mkubwa kwa sababu ya jiografia yake na nchi izo
Kwa iyo kijana punguza kuogopa ogopa wanyarwanda. Ni watu wa kawaida sana,
Mpe somo mjomba..mijitu mizima inakua miogaaaa!
 
Habari!
Rwanda iko mbele sana kiintelejensia. Wameweza kutoa masomo ya kiintelejensia kwa karibia vijana wao wote.

Simaanishi wote ni watumishi wa Chombo cha usalama wa Taifa la Rwanda ila wengi ni maagent.

-Rwanda hesabu ya wendawazimu wote inajulikana , wamepewa watu maalumu wa kuwaangalia. Ukienda kichwakichwa kujifanya chizi utadakwa haraka.

- Ukioa Mrwanda jua kuwa mtoto wa kwanza atazaa na Mrwanda mwenzake ili azae Mrwanda atakayekulia ugenini bila kumjua ilhali sisi tukimhesabu ni Mwenzetu. Huyu atakuwa nchini kwa manufaa yao.

Nitaleta hints zaidi nikitulia sasa niko busy kidogo. Nasikia hadi mabody guards wa wakuu kadhaa wa nchi za nje ya Rwanda wengi wao ni Wanyarwanda.
Mambo usiyoyajua na yasiyokuhusu yaache kama yakuvyo na hasa kama hayana manufaa kwako binafsi.
Unachokiwaza ww hapo wenzio walishakitambua zaman sana.
Hyo ni hofu yako tu
 
Experience is the best teacher ever!
 
Back
Top Bottom