mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,275
Mbona mange anaropoka kule instagram hamuendi kumkamata au instagram ipo mbinguniOngea mengine ila ishu ya kuhisisha walinzi wa mkuu wa nchi kuwa ni wanyarwanda iache Mara moja,
Usidhani jf ni mbinguni.
Hawo si watanzania ni wao wenyewe wanojifanya watanzania ili kuonyesha tunawogopa.I
Ila sisi watanzania ni waoga sana, unakuta MTU ana mke na watoto anawaogopa hawa wanyarwanda, ivi kwa nn? Mnawaogopa hawa jamaaa. Ngoja nikutoe wasisi kwamba kuna wanyarwanda wengi waliozaliwa apa Tanzania na wana uraia wa Tanzania, sisi tunaokaaa maeneo ya kagera kuna wanyarwanda wengi tuuu, mbona tunaishi nao tokea kitambo sana, na tumezaliana nao sasa wewe kaa uendelee kuogopa ogopa. Mambo ya jiografia uwezi kufanya chochote hayo ni maswala ya jiografia
Ni sawa na wamakonde wa mtwara na msumbiji
Ni sawa na wamasai wa arusha na Kenya
Ni sawa wahaya wa mtukula na waganda Wa maeneo ya mbarara wanafanana
Ni sawa na wajaruo wa mkoa wa Mara na wakenya
Ni saw a na wasomari Wa Tabora na wasomalia
Ni sawa na wahindi Wa Tanzania na waliopo India
Ni sawa na wasubi wa Tanzania na warundi wa Burundi.
Haya makabila yaliopo pembezoni chimbuko lake ni nchi izo za njee na ndio Maana marehemu Nyerere alisema mikoa mikubwa ya pembeni aiwezi kutoa kiongozi Mkubwa kwa sababu ya jiografia yake na nchi izo
Kwa iyo kijana punguza kuogopa ogopa wanyarwanda. Ni watu wa kawaida sana,
Huyo ni wa hukohuko anajaribu kutia hofu hakuna mtz anayejitambua atawaogopa hao jamaa tuoche kuwaopa wakenya ambayo waka mbele yetu tuogope taifa maskiniMambo usiyoyajua na yasiyokuhusu yaache kama yakuvyo na hasa kama hayana manufaa kwako binafsi.
Unachokiwaza ww hapo wenzio walishakitambua zaman sana.
Hyo ni hofu yako tu
Kwenye red: Hiyo mbinu wamekuwa nayo kwa karne nyingi. Ukioa mtutsi ilhali wewe siyo, atabebeshwa mimba na mtutsi mwenzake. Utaambiwa ooh watoto wamefanana na wajomba zao kumbe mjomba ndiye baba yao wa ukweli.Habari!
Rwanda iko mbele sana kiintelejensia. Wameweza kutoa masomo ya kiintelejensia kwa karibia vijana wao wote.
Simaanishi wote ni watumishi wa Chombo cha usalama wa Taifa la Rwanda ila wengi ni maagent.
-Rwanda hesabu ya wendawazimu wote inajulikana , wamepewa watu maalumu wa kuwaangalia. Ukienda kichwakichwa kujifanya chizi utadakwa haraka.
- Ukioa Mrwanda jua kuwa mtoto wa kwanza atazaa na Mrwanda mwenzake ili azae Mrwanda atakayekulia ugenini bila kumjua ilhali sisi tukimhesabu ni Mwenzetu. Huyu atakuwa nchini kwa manufaa yao.
Nitaleta hints zaidi nikitulia sasa niko busy kidogo. Nasikia hadi mabody guards wa wakuu kadhaa wa nchi za nje ya Rwanda wengi wao ni Wanyarwanda.
Mimi sishabikii mleta mada ila nikuulize: Je, mkuu wa mkoa wa Singida anajua wananchi wake wanachokula kila siku? Acha mzaha!Hebu kuwa serious, unatumia akili za wapi mkuu, unafananisha na nchi gani east africa
Rwanda ni kama mkoa wa singida so ni rahisi kujua nini wananchi wanakula kila siku.
pumbavu sana wewe pimbi, kwani mtu akisema "inahisiwa mkuu wa nchi analindwa na wanyarwanda "kuna ubaya gani?Ongea mengine ila ishu ya kuhisisha walinzi wa mkuu wa nchi kuwa ni wanyarwanda iache Mara moja,
Usidhani jf ni mbinguni.
Tehehehehehe... mbona kinana hawamwogopi na wakati ni msomali? ukiona watu wanaogopa ujue kuna tatizo mkuu.I
Ila sisi watanzania ni waoga sana, unakuta MTU ana mke na watoto anawaogopa hawa wanyarwanda, ivi kwa nn? Mnawaogopa hawa jamaaa. Ngoja nikutoe wasisi kwamba kuna wanyarwanda wengi waliozaliwa apa Tanzania na wana uraia wa Tanzania, sisi tunaokaaa maeneo ya kagera kuna wanyarwanda wengi tuuu, mbona tunaishi nao tokea kitambo sana, na tumezaliana nao sasa wewe kaa uendelee kuogopa ogopa. Mambo ya jiografia uwezi kufanya chochote hayo ni maswala ya jiografia
Ni sawa na wamakonde wa mtwara na msumbiji
Ni sawa na wamasai wa arusha na Kenya
Ni sawa wahaya wa mtukula na waganda Wa maeneo ya mbarara wanafanana
Ni sawa na wajaruo wa mkoa wa Mara na wakenya
Ni saw a na wasomari Wa Tabora na wasomalia
Ni sawa na wahindi Wa Tanzania na waliopo India
Ni sawa na wasubi wa Tanzania na warundi wa Burundi.
Haya makabila yaliopo pembezoni chimbuko lake ni nchi izo za njee na ndio Maana marehemu Nyerere alisema mikoa mikubwa ya pembeni aiwezi kutoa kiongozi Mkubwa kwa sababu ya jiografia yake na nchi izo
Kwa iyo kijana punguza kuogopa ogopa wanyarwanda. Ni watu wa kawaida sana,
Log in mkuuHawa dawa yao ni kunyimwa uongozi Wa aina yoyote ule,hata kama amesoma/atasoma mpaka kumaliza vitabu vyote,kuanzia huyo MTANZANIA aliyezaa na mgeni mpaka kizazi chake chote.
Tanzania kwanza
Nalog off
Kazi ipoKwenye red: Hiyo mbinu wamekuwa nayo kwa karne nyingi. Ukioa mtutsi ilhali wewe siyo, atabebeshwa mimba na mtutsi mwenzake. Utaambiwa ooh watoto wamefanana na wajomba zao kumbe mjomba ndiye baba yao wa ukweli.
Sio kweli.Kwenye red: Hiyo mbinu wamekuwa nayo kwa karne nyingi. Ukioa mtutsi ilhali wewe siyo, atabebeshwa mimba na mtutsi mwenzake. Utaambiwa ooh watoto wamefanana na wajomba zao kumbe mjomba ndiye baba yao wa ukweli.
Hivi mtu akikuambia "Mimi nimekula wali kwa samaki" utaomba tena source ya taarifa yake?.Leta Source.
Inawezekana wanakuzwa au kuna watu wenye vijinasaba vya hukoo kwa kagame watumia platform hii wataka kujulikana ( kutambulika)[emoji23]I
Ila sisi watanzania ni waoga sana, unakuta MTU ana mke na watoto anawaogopa hawa wanyarwanda, ivi kwa nn? Mnawaogopa hawa jamaaa. Ngoja nikutoe wasisi kwamba kuna wanyarwanda wengi waliozaliwa apa Tanzania na wana uraia wa Tanzania, sisi tunaokaaa maeneo ya kagera kuna wanyarwanda wengi tuuu, mbona tunaishi nao tokea kitambo sana, na tumezaliana nao sasa wewe kaa uendelee kuogopa ogopa. Mambo ya jiografia uwezi kufanya chochote hayo ni maswala ya jiografia
Ni sawa na wamakonde wa mtwara na msumbiji
Ni sawa na wamasai wa arusha na Kenya
Ni sawa wahaya wa mtukula na waganda Wa maeneo ya mbarara wanafanana
Ni sawa na wajaruo wa mkoa wa Mara na wakenya
Ni saw a na wasomari Wa Tabora na wasomalia
Ni sawa na wahindi Wa Tanzania na waliopo India
Ni sawa na wasubi wa Tanzania na warundi wa Burundi.
Haya makabila yaliopo pembezoni chimbuko lake ni nchi izo za njee na ndio Maana marehemu Nyerere alisema mikoa mikubwa ya pembeni aiwezi kutoa kiongozi Mkubwa kwa sababu ya jiografia yake na nchi izo
Kwa iyo kijana punguza kuogopa ogopa wanyarwanda. Ni watu wa kawaida sana,
Kula wali na samaki si umekula wewe peke yako hamjala kijiji kizima? So huu mfano wako ni invalid kwa suala uliloliongelea. Tukenda kwenye data kwa mfano mdogo tu labda Google tukatafuta hicho ulichoandika Je tunaweza kuupata ukweli? Reliable source ni muhimu katika kuproove unachosema otherwise ni majungu tu kama hao wengine wanaoamini eti Magufuli kawekwa kwenye urais na Rwanda au museveni amewekwa ikulu na Kagame.Hivi mtu akikuambia "Mimi nimekula wali kwa samaki" utaomba tena source ya taarifa yake?.
Si kila taarifa inabidi iainishiwe source. That's why imeandikwa mahali panapoitwa tetesi.