Tetesi: Rwanda inaongoza kwa Mambo ya kiintelejensia Afrika.

Ongea mengine ila ishu ya kuhisisha walinzi wa mkuu wa nchi kuwa ni wanyarwanda iache Mara moja,
Usidhani jf ni mbinguni.
Sasa vitisho vya nini ndugu. Si ufikishe ushauri wako kirafiki tu?
 
Soma historia ya watutsi kutoka kwa wanahistoria ili ujue mbinu mbalimbali walizotumia kung'oa na kutawala himaya za jamii mbalimbali katika maeneo waliyopita.
 

Kwenye red: Uko sahihi mkuu.
Hawa wanaokanusha habari za watutsi ni watutsi wenyewe ambao hawapendi mambo yao yawekwe wazi. Kagame alipopindua serikali halali ya Rwanda kwa msaada wa US, UK, Canada, Australia, Israeli, Uganda, etc.; kuna watutsi waliokuwa wana hodhi nafasi mbali mbali serikalini hapa Tz walitoroka wakaachia nafasi hizo na kwenda Rwanda kuitumikia nchi yao. Kumbuka walisoma bure kwa kodi za watanzania wakiaminika ni watanzania kumbe mioyo yao inasoma tofauti. Ambao hawakurudi kwao walibaki kimkakati kwa ajili ya manufaa ya nchi yao (nchi ya moyoni yaani Rwanda). Baadhi yao ndio kama akina "Gentamycine"! Hawana mchezo, wana uzalendo wa hali ya juu kwa nchi yao (Rwanda).

Mbinu nyingine watutsi wanayotumia kujiimarisha ni hii: Kuingia ubia na watanzania katika kufungua makampuni ambamo wafanyakazi wanaotumwa kutoka Rwanda ni maafisa wa jeshi lake ambao wanajihusisha na shughuli za kijasusi na kuendelea kutuma taarifa nyeti za kiusalama ambazo ni muhimu kwa ajili ya mipango yao mibaya dhidi ya nchi jirani ikiwemo Tanzania.

Ipo njia nyingine pia: Kutumia mabinti warembo wa kitutsi ambao ni majasusi wakijifanya makahaba ili kufanya ngono na viongozi waandamizi serikalini na katika vyombo vya ulinzi na usalama. Kumbuka waliwahi kukamatwa huko Grape City (Dodoma) huko nyuma. Kwa njia hii hupata na kutuma taarifa nyeti za kiusalama ambazo ni muhimu kwa ajili ya mipango yao mibaya dhidi ya nchi jirani ikiwemo Tanzania.

Wanazo njia nyingi, mojawapo ndio hizo.

Nasisitiza na kurudia tena, " hawa wanaopinga habari za watutsi kila zinapoandikwa hapa JF au mahali popote, ni watutsi kwani hawataki ukweli kuwahusu ujulikane bayana"!
 
Ndugu sijazungumzia chama nimezungumzia Taifa,wale ambao wakijulikana kuwa wamechanganya mataifa wasipewe nyadhifa nyeti serika,lini ili kulilindaTaifa na wajanja Wa nje,ni Mara 100 mtz aiuze nchi yake kwa tamaa yake kuliko eti Siri iuzwe na mlowezi aliyejipenyeza serikalini,kazi ziko nyingi atafute kazi nyengine sio ajiingize kwenye siasa zetu
Nalog off
 
Rwanda haiwezi kuifikia Egtypt (Misri) au SouthAfrica kwa maswala ya Kiinteljensia....Mtoa mada we ni Muongo namba moja
 
Mimi jana nimeshangaa sana,
kule syria,gari lilokuwa limewabeba askari 7 wa serikali limelipuka na kuwaua wote,lilikuwa limetegwa bomu,

sasa hao askari 7 ni wanatoka kwenye kikosi kile kinachosimamia launcher moja ya S-200,
hiyo ndo ileile iliyodungua ndege ya israel miezi 2 iliyopita,na hao askari ndo walewale siku hiyo ndo waliidungua ile ndege,

sasa unajiuliza israel iliwatambua vipi? Hadi itume watu kuwamaliza?,

jibu ni kuwa ndani ya nchi za kiarabu kuko heavily inflitrated,
kuna watu ukiwaangalia utamuona ni mwarabu,ila moyoni myahudi,ndo hao kina al baghdad,na wanatuma taarifa nchini kwao mda wowote ukitakiwa,

hawa ndo sawa na hao wanyarwanda
 
Kuna vitu mnachekesha sana kuhusu Rwanda , mambo meng mnajitungia

Huyu huyu Kagame aliyetaka kumpimdua Nkurunzinza akashindwa , sababu ( ) waliingilia kati Leo mnampaisha hadi kero

Rwanda ni wazuri kwa ,Burundi ,Kongo n.k lakini sio Africa

Baba wa maziwa makuu anajulikana
 

Kwahiyo mwanamuziki AY kala hasara daah akipata mtoto wake wa kwanza lazima ampekue sana
 

Hovyoo
 
Kwahiyo mwanamuziki AY kala hasara daah akipata mtoto wake wa kwanza lazima ampekue sana
Amkague haswa.
Zamani vijana walikuwa wanapewa elimu ya asili ya kujua mtoto ni wako au la!
Mimi mtoto hata akiwa mchanga kama si wangu nitajua within a minute.
 
Upo sahihi mkuu Kuna mkoa unaitwa kigoma wamejaa tele pia wanasoma shule nimejaribu kufuatilia kama wana nyaraka za kuishi nchini na kufanya shughuli zao hususani ufugaji Lkn jibu ni kwamba viongozi wanavuta tu mkwanja maana ng'ombe wao wame jazana katika hifadhi ya wanyama pori ya akiba MOYOWOSI inayozunguka vijiji kama BUSUNZU kifura, kisogwe pia watoto wao wanasoma hapa nchini Mwisho wa siku wakimaliza masomo utasikia wamejiunga na jeshi la kujenga taifa mpk Jwtz, uhamiaji, police na kwingineko ambapo ni hatari kwa taifa letu Huku tukiebdelea kuhujumiwa maana sio wa kwetu...... Kuna kipindi mifugo yao ilikamatwa ktk eneo la hifadhi Lkn bado Yupo nchini na anaendele kufanya akitakacho ni dharau tosha kwa wa tz na inauma pia tatizo Lipo kwa baadhi ya viongozi kutosikiliza wananchi wanasema nn kwakuwa wametufundisha kuwafuata ukisema unaitwa mjuaji Lkn inauma kwa nchi yangu ngoja tuwe wananchi wa kuwafuata..tubaki uchi kwa watoto japo mtoto nae akikua Huwa mzazi Lkn hawezi kumzidi mzazi..... NAKUPENDA TANZANIA
 
Ni sahihi ndugu kuwa Kuna interaction baina ya watu nchi na nchi Lkn taarifa za kiusalama hukusanywa kupitia hao hao ulio waamini ni wema Kwako kwa kuwa Umeoa au kuolewa Kwako Lkn kumbuka TRUST WILL GET YOU KILLED
 
Well said
 
Mkuu Kumbe Gentamycine nae ni jirani.... Humega pande zote mbili..... Naomba kujua wasifu wake
Acha umaarufu wake humu Jf mwenye kumjua vzr Msaada tafadhari
 
Kwani Tanzania hawakujipanga vema kuhusiana na hilo?
Namwamini Mbongo pamoja na Muisrael ktk upelelezi tu.
 
[QUOTE="Mpelengana, post: 27001208, member: 388820"

- Ukioa Mrwanda jua kuwa mtoto wa kwanza atazaa na Mrwanda mwenzake ili azae Mrwanda atakayekulia ugenini bila kumjua ilhali sisi tukimhesabu ni Mwenzetu. Huyu atakuwa nchini kwa manufaa yao..[/QUOTE]

Hakika, Ujumbe umfikie AY [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…