Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Nikidhawhi kuandika humu kuwa Rwanda Ina silaha za nuclear pia. Nikasema namuona Paul Kagame Kama Putin wa East Africa. Wahuni wakatikwa povu. Sasa subirini.
Wewe ni she??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikidhawhi kuandika humu kuwa Rwanda Ina silaha za nuclear pia. Nikasema namuona Paul Kagame Kama Putin wa East Africa. Wahuni wakatikwa povu. Sasa subirini.
Hiyo satelaiti inapeleleza hadi chumbani kwako. Msibeze maendeleo hayo. Akitaka kukupiga au kumega sehemu ya nchi anakuwa amejua weakess zako anakufanya atakacho.Kenya Wana satellites zaidi ya Moja imeidhuru nini TZ?
Zimbabwe Wana satellite inewasaidia nini?
Mnajua satellite is basically minara ya mawasiliano tu unless mnaogopa hata minara ya mawasiliano.
Kwa hiyo Kagame anataka kuuona utaalam wangu wa kuzama Chumvini? nampa RUKHSA!inapeleleza hadi chumbani kwako.
Umeongea kiroyo tuwa sanaRwanda wanataka satellite for communication purposes, "The minister noted that Rwanda is in talks with a host of nations to help develop its space capabilities in possible deals that will potentially add impetus to the country’s Information and Communication Technology (ICT) ambitions"
Sio Kila satellite inahusiana na mambo ya jeshi matter of fact satellites za nchi nyingi duniani ni kwaajili ya mawasiliano.
Kenya Wana satellite sijui mbili nini kimetokea? Kati ya Kenya na Rwanda nani anaweza hata kuijaribu TZ?
Zimbabwe Wana satellite inewasaidia nini kama hata mlo mmoja kwa siku unawashinda?
Djibouti nao wapo in plans za kuwa na satellite nao mnawaogopa?
Mitanganyika mna inferiority complex Hadi aibu.
Unafanya kazi kwenye idara zao za usalama?Kenya Wana satellites zaidi ya Moja imeidhuru nini TZ?
Zimbabwe Wana satellite inewasaidia nini?
Mnajua satellite is basically minara ya mawasiliano tu unless mnaogopa hata minara ya mawasiliano.
Kwani hata huo ujamaa unafuatwa basi..yani mpka sasa hii nchi haieleweki sera zake...sio ujamaa..sio ubepari...tupo tupo tuSera mbovu za Ujamaa zimetukwamisha sana mpaka nchi ndogo kama Rwanda inatupita kimaendeleo.
Anaongelea hawa wanaosema wale kwa urefu wa kamba zao.Viongozi wapi??hawa wanao lambishana asali??
#MaendeleoHayanaChama
hi
Hizo danadana za rwanda kupata publicity zisikusumbue. Nchi hiyo bado imo nyuma ila wanapenda ku put a show kuzuka kama wana mafanikio makubwa kimaendeleo. Hiyo kigali inang'aa ila toka nje utaona kwanza hawana mji zaidi ya kigali pia wala nchi haing'ari chochote.Wewe ni she??
Toa maoni na ushauri kuliko vijembe na kejeli haisaidii lolote, ulinzi wa taifa ni jukumu la kila mtu kutokana na nafasi yake.Huku yupo busy na vijembe vya kwenye taarabu za kwao.
Huo ndio ukweli Rwanda ni overrated sana na watu wasioijua ila bado sana kuilinganisha na Tanzania, tofauti na Kigali miji yake mingi iko nyuma sanaaHizo danadana za rwanda kupata publicity zisikusumbue. Nchi hiyo bado imo nyuma ila wanapenda ku put a show kuzuka kama wana mafanikio makubwa kimaendeleo. Hiyo kigali inang'aa ila toka nje utaona kwanza hawana mji zaidi ya kigali pia wala nchi haingari chochote.
Tanzania hatuendelei kwa kutojali proffessionalism project yeyote ile lazima watu waingize kujuana na kutaka kupiga pesa.Hiyo satelaiti inapeleleza hadi chumbani kwako. Msibeze maendeleo hayo. Akitaka kukupiga au kumega sehemu ya nchi anakuwa amejua weakess zako anakufanya atakacho...
Ulinzi wa nchi ni classified sana ndio maana hata bungeni kuna mipaka yake. Taifa kama Rwanda halijafikia uwezo wa kuwa threat kwa Tanzania.Chamsingi ni kuwana na RADAR zetu mikoa ya mipaka na nchi zisizoelwweka kama Kenya, Malawi na Rwanda.
Baada ya hapo kuwekeza kwenye silaha za kujilinda na kushambulia
Kenya na wengineo waliorusha kwani wameshatuweka hatarini?