wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kwahio ameshindikana kung'olewa mpk wasubiri afe sio?Kagame kama vile Mobutu na Wahuni Wengine Nature too will take control one day!! Atoishi Milele.Ipo Siku Rwanda itaamka na kukuta Mungu ameshafanya yake na Kazi ya Kalima haiingiliwi atakalo Mola....
Ulidanganywa na Nani?Dude la C-130 siku hizi ndio linatumika kubebea zana zao, wanatumia la mshirika wao Jeshi la Qatar.Hata kupeleka vifaa vya kijeshi Mozambique kutokea Rwanda walitumia dude Hilo Hilo.Bandarini labda wapitishe zana za kawaida tu ambazo nchi zote tu zinajulikana kua nazo.Hizi Technologies ni kama additional Stuffs wakati wa maankuli yaani kama pilipili, chumvi au chachandu azitomsaidia kuleta faida ya maana nchini kwake.Awezi mzidi Tanzania kwa lolote kwani Akuna kunachoingia Rwanda kwa bahari bila kupitia TZ
Hao Rwanda wanahatarisha usalama wetu, tuwafanyie kama Urusi alichofanya kwa UkraineViongozi wetu wangefanya kila jitihada kuyafanya haya wanayoyafanya Rwanda maana usalama wetu utakuwa mashakani hawa jirani zetu wakiwa na hii teknolojia
Naunga mkono hoja,apigweeeeeeeeeeeeHao Rwanda wanahatarisha usalama wetu, tuwafanyie kama Urusi alichofanya kwa Ukraine
Kagame ni Putin wa Africa ni mtu hatari sn"Umoja" upi mjomba?
Viongozi wetu wanatakiwa kuacha kuwaza mambo madogo kama kuzuia wapinzani wasifanye shughuli zao za kisiasa kinyume cha sheria.
Badala yake wajikite kwenye kuendeleza taifa letu kiteknolojia, wajue namna ya kufanya counter attack za hizo attempt za huyo jamaa.
Hatuwezi kukaa tu tumelala halafu tunamuona jirani "much know" anafanya mambo yake, huku sisi tunajiliwaza na nyimbo zetu za "Umoja"
Ninaamini, hiyo rocket moja wapo ya kazi yake ni kuangalia usalama wa Rwanda dhidi ya majirani zake, itatuchungulia hiyo.
Hatari snRwanda ni shushushu wa mabeberu nahis atakuja kuharibu East Africa nadhani tunajua mipango ya hao West huyu ndo kibaraka wao. Naona kuanguka kwa EAC soon. Huyu dogo ameanza dharau anatakiwa ashughulikiwe mapema
Rwanda hata wajibaraguze kivipi na mbwembwe zao hawatufikii hata nusu,hata Kenya walishasalimu amri kwetu.Rwanda to launch satellite constellation by end of 2023
Rwanda will join the list of African countries that have successfully orbited satellites, including Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, South Africa, Morocco, Egypt, Ghana and Nigeria.
Rwandan Minister of ICT and Innovations Paula Ingabire has announced that the country will be conducting a beta launch for the Cinnamon-217 and Cinnamon-937 satellite constellation.
In October 2021, Rwanda Space Agency filed a request to acquire these satellites, but the Minister noted that the number had increased to seven satellites. According to her, the full satellite launch should be by the end of 2023.
Rwanda is in talks with a number of countries to assist in the development of its space capabilities, in the hopes of securing accords that will support the countrys Information and Communication Technology (ICT) objectives.
The countrys space ambitions have attracted interest from countries such as Japan, Israel, and the United Arab Emirates, the Minister of ICT and Innovations told The New Times.
The proposed mid to long-term partnerships with these countries, she said, range from the use of geospatial data to the design and manufacturing of satellites. For example, Rwanda and Israel signed an agreement in 2020, effectively laying the grounds for pursuing this cooperation.
In 2019, Rwanda and Japan teamed up to build the first cube satellite (RwaSat-1), which was launched from Japans Tanegashima Space Centre and deployed to the Low Earth Orbit (LEO) from the International Space Station.
Under the partnership with Japan, Ingabire disclosed that 20 Rwandans are currently undergoing training in designing and producing minisatellites.
Rwanda recently approved the law establishing its space agency as the Chamber of Deputies voted. The Chamber of Deputies is the lower house of Rwandas national legislature.
Safi kabisa mahali palipo na umoja,upendo na mshikamano Amani hudumu bila hata kurusha hizo Satelite au rundo la silaha.Umoja wetu ndio mtaji wetu na ndio usalama wetu
Hamna kitu,kumbuka sisi siyo CONGO."Umoja" upi mjomba?
Viongozi wetu wanatakiwa kuacha kuwaza mambo madogo kama kuzuia wapinzani wasifanye shughuli zao za kisiasa kinyume cha sheria.
Badala yake wajikite kwenye kuendeleza taifa letu kiteknolojia, wajue namna ya kufanya counter attack za hizo attempt za huyo jamaa.
Hatuwezi kukaa tu tumelala halafu tunamuona jirani "much know" anafanya mambo yake, huku sisi tunajiliwaza na nyimbo zetu za "Umoja"
Ninaamini, hiyo rocket moja wapo ya kazi yake ni kuangalia usalama wa Rwanda dhidi ya majirani zake, itatuchungulia hiyo.
Sera mbovu za Ujamaa zimetukwamisha sana mpaka nchi ndogo kama Rwanda inatupita kimaendeleo.
Hiyo satelaiti inapeleleza hadi chumbani kwako. Msibeze maendeleo hayo. Akitaka kukupiga au kumega sehemu ya nchi anakuwa amejua weakess zako anakufanya atakacho.
Huwezi kuendelea kwa kumchukia tajiri bali utaendelea kwa juhudi alizopitia yeye.
Tanzania ijikite kupata wataalam ili kwenda na wakati.
Itafika wakati Bahima empire itafufuliwa tu
Unafanya kazi kwenye idara zao za usalama?
Naona umekariri tu kwa ajili ya mawasiliano, kuna satellite kwa ajili ya ku "spy" mfano Kennan & Bigbird.
Sasa kama Kenya wanazo , kwanini tumuogope Rwanda? Labda kwa sababu Rwanda na Kenya wanazo, tufanye urafiki nao watatupa ujirani mwema."Umoja" upi mjomba?
Viongozi wetu wanatakiwa kuacha kuwaza mambo madogo kama kuzuia wapinzani wasifanye shughuli zao za kisiasa kinyume cha sheria.
Badala yake wajikite kwenye kuendeleza taifa letu kiteknolojia, wajue namna ya kufanya counter attack za hizo attempt za huyo jamaa.
Hatuwezi kukaa tu tumelala halafu tunamuona jirani "much know" anafanya mambo yake, huku sisi tunajiliwaza na nyimbo zetu za "Umoja"
Ninaamini, hiyo rocket moja wapo ya kazi yake ni kuangalia usalama wa Rwanda dhidi ya majirani zake, itatuchungulia hiyo.
Umesahau unafikiSisi siasa ndio kipaumbele chetu na porojo nyingiii mdomoni
Kwa hiyo unataka kusema Jenerali ndie kapewa Rimoti ya hiyo Satelite ili aielekeze sehemu za kutushambulia sisi akina Yakhe?.Ulimwengu
[emoji16][emoji16][emoji16]Labda nyuki wa asali.