Rwanda inarusha Satelaiti ya Kijeshi. Je, Tuko Salama?

Wabongo wanajishtukia Hahaha
Acha sisi tuendele na uchawa,ubish wa simba na yanga,
Mimba ya nandy....kajala konde
Steve Nyerere kuwa mwakilishi wa matukio muhimu ya nchi

Ova
 
Kwani walikuwa malaika hao???

Hiyo siyo ishu, ishu ni kwamba hakuna mwenye uwezo na jeuri ya kumshambulia Mwalimu Nyerere live Tanzania na akapeta na yoyote anayejaribu hata kwa kuteleza tu huomba msamaha hata kama hamaanishi, hivyo wanyarwanda ndio wenye power sasa hivi Tanzania, na atakayemgusa atakiona cha moto, …
 
Viongozi wetu wangefanya kila jitihada kuyafanya haya wanayoyafanya Rwanda maana usalama wetu utakuwa mashakani hawa jirani zetu wakiwa na hii teknolojia
Kujikweza tu hilo dude halina maana yoyote kwa sasa sisi tujisisitize kwenye uwekezaji, viwanda kilimo cha kisasa, Jeshi la kisasa, zana za kijeshi za kisasa inatosha sana.
 
Nikidhawhi kuandika humu kuwa Rwanda Ina silaha za nuclear pia. Nikasema namuona Paul Kagame Kama Putin wa East Africa. Wahuni wakatikwa povu. Sasa subirini.
HAKUNA LOLOTE, WANA CHADEMA BANA.
 
Serious brain against politically brain....
 
LIES
 
Labda unachanganya na panyarwandanist!
Wewe Mhutu umeingia juzi juzi,Watutsi na Wamanyema wako Tanzania kabla ya kuitwa Tanganyika

Jenerali alikuwa Msumbiji kuikomboa kutoka kwenye makucha ya Wareno.

Kwanini unakataa UpanAfrikanist wake.
 
Jeshi letu lita tumia google map [emoji81][emoji81]
 
HAKUNA LOLOTE, WANA CHADEMA BANA.
CCM ndiyo zenu kubisha na kupinga maono ya wenye akili toka chadema.

Si unaona ishu ya katiba mpya imehubiriwa na wanachadema kwa muda na ccm wamekuwa wakipinga.

Kwahiyo hata hili hamuwezi kuliona.
 
Wewe Mhutu umeingia juzi juzi,Watutsi na Wamanyema wako Tanzania kabla ya kuitwa Tanganyika

Jenerali alikuwa Msumbiji kuikomboa kutoka kwenye makucha ya Wareno.

Kwanini unakataa UpanAfrikanist wake.

Wewe ukiubali inakutosha, mimi kwangu ni evil!
 
Mimi najua kuna chuki kati ya Wahutu na Watutsi.

Jenerali Ulimwengu humuwezi utajiumiza roho bure.

Isidori Mpango ni Mhutu lakini Watutsi hawana Nongwa nae.

Nijiumize roho sababu ya huyo psychopath?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…