Rwanda inatuingilia katika mambo yetu ya ndani sasa.

Rwanda inatuingilia katika mambo yetu ya ndani sasa.

hivi wewe elimu yako ya vidudu? nguruvi3, jina linafanana na mawazo yako, usipost hapa, jf ni forum ya great thinkers si ya wenye hoja nyepesi kama makuri
Watanzania lazima wawe makini sana na hawa Wanyarwanda.
Sioni sababu ya kushabikia kila kitu wanachokitupa mtandaoni.

Suala kama la elimu haliwahusu wao kulizungumzia.
Wanatakiwa waongelee Utusi unavyowamaliza wahutu kwasababu hilo ni tatizo lao.

Kagame amekiri kuwa hataki vikosi vya SADC kule Congo ili aendelee kufanya mauaji na uhuni.
Mkumbuke kuwa Kagame amezaliwa kati kati ya milio ya risasi na hivyo harufu ya damu ya mwanadamu kwakwe ni kama chocolate au Coffee.

Anachokifanya hapa ni kutafuta kitu cha kuwachonganisha Watanzania ili waondoe focus katika DRC na yeye aweze kuendeleza utusi na umumiyani.

Narudia, Kagame hakuzaliwa hospitali amezaliwa kati kati ya risasi hivyo sauti anayoijua zaidi ni risasi na harufu anayoijua ni damu.

Watanzani mkianza ku-entertain hoja za hawa watu ,watatafuta kitu ambacho kinaweza kuwachonganisha watanzania wenyewe. Wanachotaka ni kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa katika vurugu kama za DRC ili Kagame aendeleze kiu yake ya mauaji dhidi ya Wahutu.

Jihadharini sana na habari kutoka Rwanda. Elimu si tatizo lao, na kama ni ushauri mbona wao hawataki kusikia ushauri wa kuzngumza na FDL. Mnyarwanda hawezi kushauri kuhusu elimu wakati ambapo hataki kushauriwa kuhusu amani.

Soma hapa chini uone Kagame anavyohangaika hovyo! na bado SADC itakamlia koo ataachia tu.
http://www.dailynews.co.tz/index.ph...asks-us-for-inclusion-in-dr-congo-peace-talks

cc JokaKuu Jasusi EMT
 
hivi wewe elimu yako ya vidudu? nguruvi3, jina linafanana na mawazo yako, usipost hapa, jf ni forum ya great thinkers si ya wenye hoja nyepesi kama makuri
Sawa sawa tuonyeshe wepesi wa hoja na tupe mtazamo wako. Kama hutaweza kujibu hoja ningekuomba usi post kwasababu utakuwa huna hoja kama makuli.
 
Is this the reason Kikwete is urging Kagame to talk to FDLR rebels?

Article by Louis Charbonneau via REUTERS

UNITED NATIONS (Reuters) - Rwanda is accusing the United Nations' new intervention brigade in eastern Congo of discussing collaboration with Hutu rebels linked to the Rwandan genocide of 1994, thereby jeopardizing regional peace efforts.

In a letter to U.S. Ambassador Rosemary DiCarlo in her role as this month's president of the U.N. Security Council that was released on Monday, Rwandan U.N. Ambassador Eugene-Richard Gasana said MONUSCO intervention brigade commanders have met with FDLR rebels, the remnants of Hutu killers who carried out the 1994 genocide of Tutsis and moderate Hutus in Rwanda.

U.N. peacekeeping troops have been in mineral-rich eastern Democratic Republic of the Congo for more than a decade. The world body's MONUSCO force there is currently 17,000 strong, the largest force of U.N. peacekeeping troops in the world.

The complex conflict has dragged on, killing millions of people through violence, famine and disease since the 1990s. That has led the United Nations to create a new "intervention brigade" - part of the MONUSCO force but assigned the task of not merely peacekeeping but taking active steps to neutralize rebel groups.

The force, comprised of troops from South Africa and Tanzania as well as from Malawi are

due in Congo later this month or in August, has already begun patrolling and is approaching full strength.

"Rwanda has credible, reliable and detailed information that various forms of tactical and strategic collaboration with the FDLR were discussed during those meetings," Gasana said in the letter.

"Their actions, implicating senior United Nations commanders picking sides among the very armed groups whose military activities they are meant to deter, are of serious concern," he wrote.

Gasana also supported an allegation contained in the latest report by the U.N. Group of Experts that units of the Congolese army (FARDC) have been cooperating with the FDLR.

'GRATUITOUS ACCUSATIONS'

The Congolese government disputed Gasana's claims.

"These are allegations which are not backed up by any proof," Congolese government spokesman Lambert Mende told a news conference in Kinshasa. "Rwanda is making gratuitous accusations to justify the attacks they are carrying out at the moment."

Mende said Rwanda is supporting the M23 rebels who clashed with the Congolese army at Mutaho on Sunday. Fighting continued on Monday.

Gasana said FARDC-FDLR collaboration often occurs with the knowledge - or even support - of MONUSCO intervention brigade contingents.

"We have reliable information that indicates several instances of FDLR units or commanders being integrated in FARDC commando units near the border with Rwanda," the Rwandan envoy said. "In some instances, certain Force Intervention Brigade commanders are aware and supportive of such instances."

The Group of Experts, which monitors compliance with U.N. sanctions for Congo, also said in its interim report that M23 rebels in Congo continue to recruit fighters in neighboring Rwanda with the aid of sympathetic Rwandan military officers. Rwanda has denied the group's allegations, accusing it of bias.

Gasana said that "there are increased patterns of large quantities of weapons and ammunition being delivered to FDLR by FARDC officers, which have taken place with the knowledge and support of (MONUSCO) Force Intervention Brigade commanders."

"The above-mentioned activities and patterns are developments that my government takes seriously, as they constitute a serious threat to the security of my country but also put into question the credibility of MONUSCO and its peacekeeping operations," he said.

Gasana added that "any hidden agenda driven by political and/or economic interests" would undermine the push for peace in the region.

The U.N. peacekeeping department declined to comment.

Separately, the head of U.N. peacekeeping, Herve Ladsous, told Reuters on Sunday in an interview in Paris that MONUSCO will soon have unarmed surveillance drones to monitor developments on the ground in eastern Congo.

(Additional reporting by Bienvenu-Marie Bakumanya in Kinshasa; Editing by Will Dunham)


 
Back
Top Bottom